TANZIA Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

tunawapa pole familia na kuwatakia yalio mema katika muendelezo wa biashara za mzee wao . bidhaa zake haswa mafuta ya kula ni muhimu mno kwa taifa letu hivyo sio muhimu biashara hii ife kisa mzee amefariki.
 
Ukimkuta kitumbini pale hachagui mteja naye anakuhudumia,biashara na kauli nzuri ya biashara alikuwa nayo
Syo mbongo akishaona ana hela anaanza kuleta dharau
Jamaa wateja wanunuz wengi wa mkoani aliwakamata

Ova
Hawa ndio wafanyabiashara wenyewe yani ukitajiwa biashara zake unaziona kabisa hizi hapa na unazitumia kila siku. Sio wale wabongo mikogo mingi ila ukitafuta kazi zake mpaka usimuliwe kwa nguvu
 
Bora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
Angefariki kipindi Cha jiwe tungesema account zake za benki zimefungwa na kodi kapigiwa mahesabu makubwa ya kulipia

Kodi halali+kodi ya dhuluma=biashara zimekufa
 
Unataka kumsema Yule Kijana Vunja bei au?? Mana kila siku media...siku akiyumba Kidogo atawakoma wabongo...Hata Media hataionja

Vunja bei ana duka sinza tu na dodoma la nguo nchi nzima anajulikana na vijana. Hawa kina zakaria wanauza mafuta korie na sabuni za foma miaka na miaka kila duka nchi nzima lina bidhaa zake na kila mtanzania amewahi zitumia ila tajiri sio maarufu
 
Bwana alitwaa Haroon Zakaria, bwana ametwaa; jina lake lihimidiwe
 
Daaah, Mzeee alikuwa Tycoon aliyeshika sawa sawa Soko la Bidhaa za Sukari, Mafuta ya kula nk.
Nitakumbuka sana Foleni za Dukani kwake hapo Kitumbini Daaaslam wakati wa Ujana wangu nikipambana na Maisha. Mungu amuweke mahala Pema.
Huyu si ndie aliyeshika soko la sukari karibu viwanda vyote yeye ndo super agent au kuna mwingine?
 
Back
Top Bottom