King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Vunja bei ana duka sinza tu na dodoma la nguo nchi nzima anajulikana na vijana. Hawa kina zakaria wanauza mafuta korie na sabuni za foma miaka na miaka kila duka nchi nzima lina bidhaa zake na kila mtanzania amewahi zitumia ila tajiri sio maarufu
Biashara hizo mara nyingi ni za kuzugia behind the scenes ni makontena na donkey.
Ndio kama kina masanja kuonyesha wanalima mpunga huku wakiendesha bmw x6 kumbe behind the scenes wanapiga fedha chafu.