Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Nini hiki
Katika kipindi cha wiki moja Serikali na Chama vimepitia katika mazingira yanayotasfiriwa kama usanii fulani hivi. Kwanza kabisa kulikuwa na ujio wa Mfalme wa Morocco akiambatana na timu kubwa na watu zaidi ya mia na hamsini. Ugeni huu ulikuwa na maandalizi ya shamrashamra za hali ya juu sana katika kiwango cha kupokelewa na Rais mwenyewe. Kabla hata hatujafika mbali vyombo vya habari kipenzi cha chama kikataka kupotosha idadi ya wageni. Ikatangazwa kuwa mfalme amewasili na delegates takribani 1500.
Ghafla baada ya Mfalme kuondoka stori ikaishia hapo. Upepo mkali umepita siku mbili hizi kana kwamba watu hawaamini kilichoahidiwa na mfalme. Kwamba mfalme aliahidi kujenga Misikiti Mkubwa na Uwanja wa Mpira, sijui mfalme katuonaje, kwamba sisi tunashida sana na misikiti? Aidha lifestyle ya mfalme imeanza kutia mashaka juu ya ujio wake, watu wameanza kuhoji alikuja kwenye HAPA KAZI TU ama alikuja kula bata?

Kabla wiki kukatika chama kikataka kuingizwa chaka na vyombo vya habari vikatangaza kuwa katika mtandao wa Forbes Rais Magufuli anaongozo kwa kura kama Raisi anayekubalika zaidi Afrika. Chama kikatuma vijana kuhamasisha na pia kikajiandaa kuitisha vyombo vya habari kukazia. Laah haula, kumbe mtandao feki?!!!!
Baba kuwa makini na baadhi ya wageni. Pia kuwa makini na walionyuma yako, baadhi wanatengeneza mazingira ya kukuchoresha

Photo-of-the-King-on-Vacation-Receives-Many-Comments-on-Social-Media.jpg

King-Mohammed-VI-magufuli.jpg

images
nini hiki?
 
Katika kipindi cha wiki moja Serikali na Chama vimepitia katika mazingira yanayotasfiriwa kama usanii fulani hivi. Kwanza kabisa kulikuwa na ujio wa Mfalme wa Morocco akiambatana na timu kubwa na watu zaidi ya mia na hamsini. Ugeni huu ulikuwa na maandalizi ya shamrashamra za hali ya juu sana katika kiwango cha kupokelewa na Rais mwenyewe. Kabla hata hatujafika mbali vyombo vya habari kipenzi cha chama kikataka kupotosha idadi ya wageni. Ikatangazwa kuwa mfalme amewasili na delegates takribani 1500.
Ghafla baada ya Mfalme kuondoka stori ikaishia hapo. Upepo mkali umepita siku mbili hizi kana kwamba watu hawaamini kilichoahidiwa na mfalme. Kwamba mfalme aliahidi kujenga Misikiti Mkubwa na Uwanja wa Mpira, sijui mfalme katuonaje, kwamba sisi tunashida sana na misikiti? Aidha lifestyle ya mfalme imeanza kutia mashaka juu ya ujio wake, watu wameanza kuhoji alikuja kwenye HAPA KAZI TU ama alikuja kula bata?

Kabla wiki kukatika chama kikataka kuingizwa chaka na vyombo vya habari vikatangaza kuwa katika mtandao wa Forbes Rais Magufuli anaongozo kwa kura kama Raisi anayekubalika zaidi Afrika. Chama kikatuma vijana kuhamasisha na pia kikajiandaa kuitisha vyombo vya habari kukazia. Laah haula, kumbe mtandao feki?!!!!
Baba kuwa makini na baadhi ya wageni. Pia kuwa makini na walionyuma yako, baadhi wanatengeneza mazingira ya kukuchoresha

Photo-of-the-King-on-Vacation-Receives-Many-Comments-on-Social-Media.jpg

King-Mohammed-VI-magufuli.jpg

images
Mbuta nanga nyi kyikyi ikyi heee hizo picha mbona naona maruweruwe ndio style hiyo au zile laana zilizoandikwa ndani ya Biblia Takatifu duu .
 
Hata viongozi wana maisha binafsi ya kiraia na wana haki ya kuwa huru. Sio kila saa Misuti na mitai
 
Katika kipindi cha wiki moja Serikali na Chama vimepitia katika mazingira yanayotasfiriwa kama usanii fulani hivi. Kwanza kabisa kulikuwa na ujio wa Mfalme wa Morocco akiambatana na timu kubwa na watu zaidi ya mia na hamsini. Ugeni huu ulikuwa na maandalizi ya shamrashamra za hali ya juu sana katika kiwango cha kupokelewa na Rais mwenyewe. Kabla hata hatujafika mbali vyombo vya habari kipenzi cha chama kikataka kupotosha idadi ya wageni. Ikatangazwa kuwa mfalme amewasili na delegates takribani 1500.
Ghafla baada ya Mfalme kuondoka stori ikaishia hapo. Upepo mkali umepita siku mbili hizi kana kwamba watu hawaamini kilichoahidiwa na mfalme. Kwamba mfalme aliahidi kujenga Misikiti Mkubwa na Uwanja wa Mpira, sijui mfalme katuonaje, kwamba sisi tunashida sana na misikiti? Aidha lifestyle ya mfalme imeanza kutia mashaka juu ya ujio wake, watu wameanza kuhoji alikuja kwenye HAPA KAZI TU ama alikuja kula bata?

Kabla wiki kukatika chama kikataka kuingizwa chaka na vyombo vya habari vikatangaza kuwa katika mtandao wa Forbes Rais Magufuli anaongozo kwa kura kama Raisi anayekubalika zaidi Afrika. Chama kikatuma vijana kuhamasisha na pia kikajiandaa kuitisha vyombo vya habari kukazia. Laah haula, kumbe mtandao feki?!!!!
Baba kuwa makini na baadhi ya wageni. Pia kuwa makini na walionyuma yako, baadhi wanatengeneza mazingira ya kukuchoresha

Photo-of-the-King-on-Vacation-Receives-Many-Comments-on-Social-Media.jpg

King-Mohammed-VI-magufuli.jpg

images
We know you are very good in negative publicity but, just take a few minutes to do a simple research. All resources are available to enable you look credible at least for once. Otherwise, you expose your idocy to every Tom, Dick and Harry. You are a disgrace to Tanzania.
 
Hata kama dunia imetuchoka, basi isitufanyie hivi!!

Kipindi cha JK tulishuhudia viongozi wenye nguvu kubwa ya uchumi na kijeshi kutoka marekani, China na mataifa mengine wakitua Tanzania.

Hakika zilikuwa ziara nzito kwa nchi hii na ziliipeleka Tanzania kilometa milioni kwenye dunia ya diplomasia.

Baadae awamu hii tukaacha kwenda nje ya nchi,serikali nzima ikaacha kwenda nje ya nchi. Matokeo yake tukaanza kupata wageni ambao ni kichekesho kwa taifa.

Jamani tujirekebishe
FB_IMG_1477715422436.jpg
FB_IMG_1477715422436.jpg
 
Back
Top Bottom