ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,786
Leo hii watu wa dini wakizisoma habari za Suleiman kwenye vitabu wanadhani labda alikuwa Ni mfalme kweli kweli Tena tajiri lakini ukweli ni kwamba zamani Ni tofauti na sasa hivi.
Nyakati zile mtu hata ukiwa na punda 50 tayari wewe Ni tajiri Kijiji chote so wanakupa na ufalme kabisa.
Tawala zote hizo Ni Visa vya kuchekesha Sana Hakuna Cha mfalme daudi Wala Suleiman wote hao hawakuwa na maajabu sana kuzidi matajiri wa Sasa
Ushauri wangu tunaposoma biblia tuwe tunakumbuka kusoma na history of the world Tena Kama hii ya kina Suleiman imehifadhiwa kabisa hata Wikipedia tu unaikuta tuwe tunajiongeza.
Kazi ya dini na elimu ya sayansi au history Ni kutujibia maswali yetu ya Jana Leo na kesho.
Sasa Kama andiko au stori IPO kwenye Bible na haina majibu ya kesho yetu Yanini Kuendelea kuishikilia?
Nyakati zile mtu hata ukiwa na punda 50 tayari wewe Ni tajiri Kijiji chote so wanakupa na ufalme kabisa.
Tawala zote hizo Ni Visa vya kuchekesha Sana Hakuna Cha mfalme daudi Wala Suleiman wote hao hawakuwa na maajabu sana kuzidi matajiri wa Sasa
Ushauri wangu tunaposoma biblia tuwe tunakumbuka kusoma na history of the world Tena Kama hii ya kina Suleiman imehifadhiwa kabisa hata Wikipedia tu unaikuta tuwe tunajiongeza.
Kazi ya dini na elimu ya sayansi au history Ni kutujibia maswali yetu ya Jana Leo na kesho.
Sasa Kama andiko au stori IPO kwenye Bible na haina majibu ya kesho yetu Yanini Kuendelea kuishikilia?