LAPUA MAGNUM 338
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 431
- 1,225
Yan anakunywa maji sawa na ng'ombe au umesamix mkuu
Unataka anywe lita 200 kwa furaha gani apo nchini?Yan anakunywa maji sawa na ng'ombe au umesamix mkuu
Usiiwazie hiyo number 6 kwa binadamu utapata sana tabu kuamini, lakini fikiria ukubwa wa uke wa tembo jike.Hiyo namba 6 Mhmmm
Hata mimi najua anakunywa zaidi ya hapo!Namba 5 maji lita 40 ni uwongo anakunywa zaidi ya hapo
Kumbe tembo wanafuata dini ya mama mdogo!!!!!!!USILOLIJUA KUHUSU TEMBO.
1. Tembo, Pamoja na ukubwa wake, akitembea hana kishindo kabisa. Miguu yake kwa chini ni kama ina sponji hivi.
2. Tembo ana uzito wa tani 7
3. Tembo jike hubeba mimba miaka 2
4.Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80
5. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
6. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi kwa nyuma unaweza kuhisi ana miguu mitatu.
7. Ni moja kati ya wanyama ambao hawapendi kelele
8. Wastani wa umri wake wa kuishi ni miaka 60.
9. Tembo hufanya mapenzi kwa masaa 12.
Masaa 6 ya mwanzo huyatumia kumuandaa mwenzi wake, na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe. Na hiyo ni ile raundi ya kwanza (bao la kwanza)
10. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne
11. Akipiga bao tembo dume manii zake ni ujazo wa lita tano.
UKIAMBIWA USIMUIGE TEMBO, UWE UNAELEWA
Cc Charm Deko![]()
![]()
![]()
Huyu unayemuongelea wewe ni tembo wa Dsm zoo, sisi tunawajadili tembo wa Serengeti kwa WakuryaNumber 9 is a lie tembo anafanya mapenzi seconde 30 to 1 minute yote hiyo kumzuia asimuuize jike kutokana na uzito wake. Acha kudanganya Uma
USILOLIJUA KUHUSU TEMBO.
1. Tembo, Pamoja na ukubwa wake, akitembea hana kishindo kabisa. Miguu yake kwa chini ni kama ina sponji hivi.
2. Tembo ana uzito wa tani 7
3. Tembo jike hubeba mimba miaka 2
4.Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80
5. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
6. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi kwa nyuma unaweza kuhisi ana miguu mitatu.
7. Ni moja kati ya wanyama ambao hawapendi kelele
8. Wastani wa umri wake wa kuishi ni miaka 60.
9. Tembo hufanya mapenzi kwa masaa 12.
Masaa 6 ya mwanzo huyatumia kumuandaa mwenzi wake, na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe. Na hiyo ni ile raundi ya kwanza (bao la kwanza)
10. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne
11. Akipiga bao tembo dume manii zake ni ujazo wa lita tano.
UKIAMBIWA USIMUIGE TEMBO, UWE UNAELEWA
Cc Charm Deko![]()
![]()
![]()
Usiiwazie hiyo number 6 kwa binadamu utapata sana tabu kuamini, lakini fikiria ukubwa wa uke wa tembo jike.

Kumbe Ni Kiumbe Cha Ajabu DuuuuTembo akifa, wenzake humzika. Pia tembo hubaki hapo walipomzika walipomzika kwa siku kadhaa... kifupi Tembo huweka Matanga.
Unamana Gan...?Kumbe tembo wanafuata dini ya mama mdogo!!!!!!!