ElonMusk
Senior Member
- May 2, 2017
- 151
- 178
duuuuh ukabila tena bro. nahisi uyu alkua mtanzania zaidi ya mkabilaWachagga Ni wachapakazi na mahodari...
Angalia Hata Alivyokuwa Lyatonga Wizara ya Mambo ya ndani.
duuuuh ukabila tena bro. nahisi uyu alkua mtanzania zaidi ya mkabilaWachagga Ni wachapakazi na mahodari...
Angalia Hata Alivyokuwa Lyatonga Wizara ya Mambo ya ndani.
General Msuguri yupo mpaka leo na bashasha nilimuona nilipotembelea Butiama, wataalam wa utunzi wa vitabu wangeweza kupita kupata a,b,c,d kwa kumbukumbu za vizazi vijavyosiyo kweli wapo Generali Kiwelu, Generali Msuguri, Major general Msuya hawa ndiyo mashujaa wa vita ya kagera ninao wakumbuka na ambao wako hai hadi leo
Unamjua vema? Au umeamua kuandika tu Mkuu!!???? Tulio ishi na kufanya kazi nae ndo tuna mjua Bgd G Kimario kamanda Mbogo Ni SHUJAA wa TAIFA LETUHuyu si ndiye aliifilisi CDA? Yeye na akina Feruzi na Aden Rage? Anaweza kasema ni mzarendo kwa kuipigania nchi yake, vipi kuliibia taifa kisa mjeda, haiingii akilini, hayupo kwenye kundi la mashujaa
Halafu si 84, kwani 84-87 mkurugenzi alikuwa mtu fulani Parker. Huyu alikuwa mkurugenzi miaka ya 90 na alisimamishwa kimakosa Kisha akarejeshwa na akalipwa kutokana na uzembe wa waliohusika. Huyu ndie aliye ifanya CDA kuonekana MAMLAKA YA USTAWISHAJI badala ya MAMLAKA YA UZOROTESHAJI KAMA AMBAVYO WALIOTE1984 mkuu, alikuwa ndiye Mkurugenzi wa CDA na walisimamishwa kazi kwa upotevu wa karibu 20$ mil kama sijakosea, kesi uso ilikuja kwisha kipindi cha mwinyi na wakatimuliwa , mijengo yake ipo pale Dom karibu na SIDO na ukumbi pale Makole karibu na CBE
Mimi nilikuwa mtumishi was CDA 1991~1996. General Kimario akiwa DG, CDA ilifanya kazi nzuri ya kuijenga Dodoma, na hakukuwa na ufisadi. Nawakumbuka wakurugenzi was idara za CDA kina Maddata/Ilonga- Finance & administration, Temu- Design & construction, Mtei- Horticulture & conservation, Mwaipopo- nimesahau idara yake na Mpoli- planning.Huyu si ndiye aliifilisi CDA? Yeye na akina Feruzi na Aden Rage? Anaweza kasema ni mzarendo kwa kuipigania nchi yake, vipi kuliibia taifa kisa mjeda, haiingii akilini, hayupo kwenye kundi la mashujaa
Babu shikamooMimi nilikuwa mtumishi was CDA 1991~1996. General Kimario akiwa DG, CDA ilifanya kazi nzuri ya kuijenga Dodoma, na hakukuwa na ufisadi. Nawakumbuka wakurugenzi was idara za CDA kina Maddata/Ilonga- Finance & administration, Temu- Design & construction, Mtei- Horticulture & conservation, Mwaipopo- nimesahau idara yake na Mpoli- planning.
Unamjua vema? Au umeamua kuandika tu Mkuu!!???? Tulio ishi na kufanya kazi nae ndo tuna mjua Bgd G Kimario kamanda Mbogo Ni SHUJAA wa TAIFA LETU
..... was a formidable team.Mimi nilikuwa mtumishi was CDA 1991~1996. General Kimario akiwa DG, CDA ilifanya kazi nzuri ya kuijenga Dodoma, na hakukuwa na ufisadi. Nawakumbuka wakurugenzi was idara za CDA kina Maddata/Ilonga- Finance & administration, Temu- Design & construction, Mtei- Horticulture & conservation, Mwaipopo- nimesahau idara yake na Mpoli- planning.
Marahaba. Niko mid-fiftiesBabu shikamoo
Alikuwa anaishi Msalato. Nilikuwa Dodoma nikiwa mtumishi wa CDA.Marehemu Meja Jenerali Muhidin Mfaume Kimario aliwahi kuhudumu kama Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu(CDA) Dodoma ila sina hakika kama alikua anaishi Msalato
Hakika mkuu.Mimi nilikuwa mtumishi was CDA 1991~1996. General Kimario akiwa DG, CDA ilifanya kazi nzuri ya kuijenga Dodoma, na hakukuwa na ufisadi. Nawakumbuka wakurugenzi was idara za CDA kina Maddata/Ilonga- Finance & administration, Temu- Design & construction, Mtei- Horticulture & conservation, Mwaipopo- nimesahau idara yake na Mpoli- planning.
Soma HISTORIA Alijivua huo U RC akaungana na jeshi mstari wa mbele kupigana kwa ajili ya Mama TANZANIAMengi yaliyoandikwa huku sio sahihi.
Vita vya Kagera Kimaryo alikuwa RC Mwanza
Kimaryo amekuwa Waziri wa home affairs kwa ten years
Aliingia vitani na akapewa jina la kamanda Mbogo
Hyo 1991 Nina mwaka MMOJAMarahaba. Niko mid-fifties
Mkuu kopolo Nini? hahahahaaaamagenerali wapumzike, leteni sifa za makoplo na masagent, msiwasahau.
We jamaa Niamkie na Mimi nilikuwa darasa la 7 mwaka huoDuh! 1991 nina miaka 6, hata la kwanza sijaanza! Nimeanza darasa la kwanza 1993! Shikamoo Babu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Shusha shikamoo Kama kumi tafadhali Mkuu. Nakuzidi SanaHyo 1991 Nina mwaka MMOJA
Cheo hicho,, we upo dunia gani?Mkuu kopolo Nini? hahahahaaaa
NAJUA Ni cheo mkuu nimeuliza au wewe kopolo Nini mkuu?(katika Hali ya utani)Cheo hicho,, we upo dunia gani?
Ndo huyo huyo baadae wakaja wakavuliwa vyeo na Al Hassan.....ndo huyo hana uzalendo wowoteHuyu si ndiye aliifilisi CDA? Yeye na akina Feruzi na Aden Rage? Anaweza kasema ni mzarendo kwa kuipigania nchi yake, vipi kuliibia taifa kisa mjeda, haiingii akilini, hayupo kwenye kundi la mashujaa
ok nimekupata.NAJUA Ni cheo mkuu nimeuliza au wewe kopolo Nini mkuu?(katika Hali ya utani)
Makopolo tunasahaulikaNAJUA Ni cheo mkuu nimeuliza au wewe kopolo Nini mkuu?(katika Hali ya utani)