Jenerali wa Israel: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo
Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.

Meja Jenerali (Mstaafu), Israel Ziv ambaye alikuwa Kamanda wa Kikosi cha Operesheni cha jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa indhari hiyo kama radimali yake kwa hali ya taharuki iliyotanda katika kijiji cha Ghajar kilichoko katika mpaka wa Israel na Lebanon.

Kamanda huyo mwandamizi wa zamani wa Israel amemtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjain Netanyahu kuchukua hatua za kuzuia makabiliano yoyote mapya ya kijeshi.

Amesema taharuki katika uzio wa mpaka baina ya Lebanon na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel imeulazimisha utawala wa Tel Aviv kufuatilia sera ya kujizuia, ili kujiepusha na kile alichokitaja kuwa uchokozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

Ziv amedai kuwa, "Hizbullah na Iran zinatathmini na kufuatilia hali ndani ya Israel, na zinahisi kuwa Waisraeli wanapitia kipindi cha udhaifu hivi sasa."

[https://media]Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah

Kabla ya hapo, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah aliwaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba, mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon dhiai ya raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.

Nasrullah hivi karibuni alionya pia kwa kusema, utawala huo wa Kizayuni utarejeshwa nyuma mamilioni ya miaka hadi enzi za mawe, iwapo utaingia katika vita vipya na Lebanon.
 
Screenshot_20230513-214154.png
 
Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo
Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.

Meja Jenerali (Mstaafu), Israel Ziv ambaye alikuwa Kamanda wa Kikosi cha Operesheni cha jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa indhari hiyo kama radimali yake kwa hali ya taharuki iliyotanda katika kijiji cha Ghajar kilichoko katika mpaka wa Israel na Lebanon.

Kamanda huyo mwandamizi wa zamani wa Israel amemtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjain Netanyahu kuchukua hatua za kuzuia makabiliano yoyote mapya ya kijeshi.

Amesema taharuki katika uzio wa mpaka baina ya Lebanon na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel imeulazimisha utawala wa Tel Aviv kufuatilia sera ya kujizuia, ili kujiepusha na kile alichokitaja kuwa uchokozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

Ziv amedai kuwa, "Hizbullah na Iran zinatathmini na kufuatilia hali ndani ya Israel, na zinahisi kuwa Waisraeli wanapitia kipindi cha udhaifu hivi sasa."

[https://media]Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah

Kabla ya hapo, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah aliwaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba, mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon dhiai ya raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.

Nasrullah hivi karibuni alionya pia kwa kusema, utawala huo wa Kizayuni utarejeshwa nyuma mamilioni ya miaka hadi enzi za mawe, iwapo utaingia katika vita vipya na Lebanon.
Lengo pekee la kundi la kigaidi Hamas ni kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia. Hivyo, Israel ili waendelee kuwepo wana option moja tu, kuangamiza hamas..
1696854534039.png
 
Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo
Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.

Meja Jenerali (Mstaafu), Israel Ziv ambaye alikuwa Kamanda wa Kikosi cha Operesheni cha jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa indhari hiyo kama radimali yake kwa hali ya taharuki iliyotanda katika kijiji cha Ghajar kilichoko katika mpaka wa Israel na Lebanon.

Kamanda huyo mwandamizi wa zamani wa Israel amemtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjain Netanyahu kuchukua hatua za kuzuia makabiliano yoyote mapya ya kijeshi.

Amesema taharuki katika uzio wa mpaka baina ya Lebanon na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel imeulazimisha utawala wa Tel Aviv kufuatilia sera ya kujizuia, ili kujiepusha na kile alichokitaja kuwa uchokozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

Ziv amedai kuwa, "Hizbullah na Iran zinatathmini na kufuatilia hali ndani ya Israel, na zinahisi kuwa Waisraeli wanapitia kipindi cha udhaifu hivi sasa."

[https://media]Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah

Kabla ya hapo, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah aliwaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba, mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon dhiai ya raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.

Nasrullah hivi karibuni alionya pia kwa kusema, utawala huo wa Kizayuni utarejeshwa nyuma mamilioni ya miaka hadi enzi za mawe, iwapo utaingia katika vita vipya na Lebanon.
Hahaha, Israel haikuwepo kabla ya 1947, ilikuwa wapi hapa duniani?
 
Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo
Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.

Meja Jenerali (Mstaafu), Israel Ziv ambaye alikuwa Kamanda wa Kikosi cha Operesheni cha jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa indhari hiyo kama radimali yake kwa hali ya taharuki iliyotanda katika kijiji cha Ghajar kilichoko katika mpaka wa Israel na Lebanon.

Kamanda huyo mwandamizi wa zamani wa Israel amemtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjain Netanyahu kuchukua hatua za kuzuia makabiliano yoyote mapya ya kijeshi.

Amesema taharuki katika uzio wa mpaka baina ya Lebanon na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel imeulazimisha utawala wa Tel Aviv kufuatilia sera ya kujizuia, ili kujiepusha na kile alichokitaja kuwa uchokozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

Ziv amedai kuwa, "Hizbullah na Iran zinatathmini na kufuatilia hali ndani ya Israel, na zinahisi kuwa Waisraeli wanapitia kipindi cha udhaifu hivi sasa."

[https://media]Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah

Kabla ya hapo, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah aliwaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba, mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon dhiai ya raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.

Nasrullah hivi karibuni alionya pia kwa kusema, utawala huo wa Kizayuni utarejeshwa nyuma mamilioni ya miaka hadi enzi za mawe, iwapo utaingia katika vita vipya na Lebanon.
wanaongea tu ili kuwafurahisha.
 
Kipigo walichokipata Hamas kwa siku 3 mfululizo kimetoa somo kubwa !! Gaza imezingirwa na hao Hamas waliosalia wamekimbilia kambi za wakimizi, mashuleni na hosptali. Msako unaendelea dadeq.

Mbaya zaidi GAZA iko controlled kwenye anga, maji na umeme - maisha kwa siku tatu Gaza imekuwa kama miaka 20.

Stay turned....

Hali ya leo asubuhi pale Gaza !!


1696923509917.png
 
Kipigo walichokipata Hamas kwa siku 3 mfululizo kimetoa somo kubwa !! Gaza imezingirwa na hao Hamas waliosalia wamekimbilia kambi za wakimizi, mashuleni na hosptali. Msako unaendelea dadeq.

Mbaya zaidi GAZA iko controlled kwenye anga, maji na umeme - maisha kwa siku tatu Gaza imekuwa kama miaka 20.

Stay turned....
Unaripoti kutoka mtaa gani hapo Gaza?
 
Kipigo walichokipata Hamas kwa siku 3 mfululizo kimetoa somo kubwa !! Gaza imezingirwa na hao Hamas waliosalia wamekimbilia kambi za wakimizi, mashuleni na hosptali. Msako unaendelea dadeq.

Mbaya zaidi GAZA iko controlled kwenye anga, maji na umeme - maisha kwa siku tatu Gaza imekuwa kama miaka 20.

Stay turned....
Waisraeli 1000 vs wapalestina 400+nani hapo kapokea kipigo kikali sasa?ushabiki unapungua uwezo wa kufikiri.
 
Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo
Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.

Meja Jenerali (Mstaafu), Israel Ziv ambaye alikuwa Kamanda wa Kikosi cha Operesheni cha jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa indhari hiyo kama radimali yake kwa hali ya taharuki iliyotanda katika kijiji cha Ghajar kilichoko katika mpaka wa Israel na Lebanon.

Kamanda huyo mwandamizi wa zamani wa Israel amemtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjain Netanyahu kuchukua hatua za kuzuia makabiliano yoyote mapya ya kijeshi.

Amesema taharuki katika uzio wa mpaka baina ya Lebanon na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel imeulazimisha utawala wa Tel Aviv kufuatilia sera ya kujizuia, ili kujiepusha na kile alichokitaja kuwa uchokozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

Ziv amedai kuwa, "Hizbullah na Iran zinatathmini na kufuatilia hali ndani ya Israel, na zinahisi kuwa Waisraeli wanapitia kipindi cha udhaifu hivi sasa."

[https://media]Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah

Kabla ya hapo, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah aliwaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba, mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon dhiai ya raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.

Nasrullah hivi karibuni alionya pia kwa kusema, utawala huo wa Kizayuni utarejeshwa nyuma mamilioni ya miaka hadi enzi za mawe, iwapo utaingia katika vita vipya na Lebanon.
Nchi inaajiri mashoga na wabadili jinsia jeshini unategemea nini??View attachment 2776860
images%20(10).jpg
 
Back
Top Bottom