kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Si kweliHakuna dawa ya kunguni nzuri kuliko mazingira ya usafi. Utapiga dawa za makemikali lkn kama mazingira ni machafu watarudi tu. Ni kama panya. Kama nyumba na mazingira yanayoizunguka ni safi. Forget panya. Kama mazingira ni machafu hata upige DDT utakula sumu mwenyewe