Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
- Thread starter
- #421
TATIZO UNA MIX MAMBOMimi nnao uwezo wa kukuelezea huyo mnyama vichwa vyake saba na pembe kumi na nkavitaja kila kichwa hadi huyo mnyama wa pili na kahaba tokea kwny biblia had historia...ukinijibu ntaendelea kukufunulia kimoja baada ya kingine...mm ntatumia maswali tokea kwmy hoja zako kma nlvoanza kukuulza hapo juu utakapojbu tutaendelea..ukikwepa ntakusibr
KAA UTULIE UFUNZWE,haya mambo tatizo mapadri hawezi kuwaambia maana watawapoteza wakose sadaka
Falme hizo zinawakilishwa na Pembe 10 (Dan. 7:8). "Pembe"
ni "Wafalme" au "Falme" (Dan. 7:24). Falme 10 zilijikomboa toka
ukoloni wa Kirumi ulipoangushwa mwaka 476 B.K. na mataifa ya
kipagani ya Ulaya Kaskazini. Falme 10 ni Uingereza, Ufaransa,
Ujerumani, Uswisi (Switzerland), Ureno, Hispania, Italia,
Heruli, Wavandali (Vandals), na Waostrogothi (Ostrogoths).
Katika Danieli 2 zimewakilishwa na Vidole 10 vya Nyayo (Dan.
2:41,42). Kuhusu ukatili wao soma historia. Zilimsaidia, tena
zitamsaidia papa kuua watakatifu (Ufu.17:12-14).
HAYA MATAIFA YATAKAYOMSAIDIA , NADHANI UNAYAJUA SASA , NADHANI UNAONA HARAKATI ZA PAPA KUZURU HAYO MATAIFA
YHWH IS GOOD