Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Ni denti halafu. Na hana utakatifu wo wote typical ya hawa jamaa ambao hudhani kuwa eti kwa vile wanasali Jumamosi basi mbingu ni yao na wengine wote wamepotea. Enzi zile nipo Jukwaa la Wakubwa alikuwa anarusha vitu regularly...ngono mtindo mmoja. Na wakati huo huo huku pia anarusha vitu vya utakatifu wa wasabato. Unafiki uliopitiliza.

Kama ni memba wa Jukwaa la Wakubwa nenda kamtafute huko unless kama alishafuta video na picha za wanawake aliokuwa akigegeda regularly.
ba2c780d428a29a6c8bb299f699dd1b7.jpg
Mimi nilidhani uliporudi nyumbani roman catholic ndo umekuwa mtakatatifu. Maana umeponda usabato ukidai kumejaa ngono ndiyo maana ukaondoka. Hapa naona unasifia mambo yenu huko ya ngono. Kumbe tatizo halikuwa kwa wasabato bali tatizo unalo mwenyewe,jiangalie.
 
Mimi nilidhani uliporudi nyumbani roman catholic ndo umekuwa mtakatatifu. Maana umeponda usabato ukidai kumejaa ngono ndiyo maana ukaondoka. Hapa naona unasifia mambo yenu huko ya ngono. Kumbe tatizo halikuwa kwa wasabato bali tatizo unalo mwenyewe,jiangalie.
Wewe uelewa wako wa mambo ni mdogo mno. Kujibizana nawe ni kupoteza muda tu. Paragraph moja hiyo umeshindwa kuielewa, hoja na mada nzito nzito utaziweza? Pathetic!

Mimi siyo Roman Catholic lakini pia nakiri kuwa ni mtenda dhambi tu. Mimi siyo mtakatifu kama wewe msabato mnafiki unayejifanya mtakatifu wa bandia na kuhukumu wengine kisa tu eti unasali Jumamosi. Ni sawa na huyu mnafiki mwenzio aliyeanzisha huu uzi wakati ukiangalia thread zake zingine ni uozo mtupu. Niliondoka Jukwaa hilo karibu mwaka sasa lakini huyo msabato mwenzio ndo alikuwa kinara huko. Na post yangu hapo juu ililengwa kuakisi undumilakuwili wenu huo wa kujifanya watakatifu kumbe nanyi ni wanafiki tu na watenda dhambi wakubwa kama binadamu wengine!

Hamtakwenda mbinguni kwa sababu eti mnasali Jumamosi. Usabato hauokoi bali neema ya Mungu na damu ya mwokozi wetu iliyomwagika pale msalabani. Kazi za mikono yenu, matendo yenu na usabato wenu ni bure mbele ya Mungu. Fools !!!
 
Tatizo mmeaminishwa kuwa Padre ni kama Mungu.
na itakuwa aliyetuaminisha, si mwingine ila ni BI ELLEN G WHITE

hulijui kanisa katoliki, utamjuaje padre ??????

"awasikilizaye ninyi ananisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma," ----Lk 10:16

kwa taarifa yako
Padre ni mtumishi wa Mungu anayejitoa sadaka kwa ajili ya wokovu wa watu wa Mungu.
Licha ya sadaka hiyo, padre ni mwanadamu kama wanadamu wengine, aliyetwaliwa kati ya watu kwa mambo ya muhusuyo Mungu,
nanukuu Ebr 5:1-3.
"maana kila kuhani mkuu aliyetwaliwa katika wanadamu amewekwa kwa ajili ya wanadamu katika mambo yamhusuyo Mungu, ili atoe matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi; awezaye kuwachukulia kwa upole wao wasiojua na wenye kupotea, kwa kuwa yeye mwenyewe yu katika hali ya udhaifu; na kwa sababu hiyo imempasa, kama kwa ajili ya watu, vivyo hivyo kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi, "

Padre hata baada ya upadrisho wake anaendelea kuwa mwanadamu. Na hali ya kibinadamu ni hali ya unyonge, uchovu, kushawishika pamoja na kukata tamaa.

"kama ningekutana na malaika pamoja na Padre, ningeweza kumsalimia kwanza Padre, kwani Malaika ni rafiki wa Mungu, na Padre ni Mhudumu wa Mungu."----by saint Francisco
"acha eneo na sehemu yoyote bila Padre kwa miaka ishirini, matokeo yake watu wataanza kuabudu wanyama."-----by saint Yohane Maria Viane

"awasikilizaye ninyi ananisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma," ----Lk 10:16


Wewe endelea kukaririshwa misale.
wewe ulitaka tukakaririshwe hivi vitabu chini ???????
Tumaini kuu, ,
Afya na Raha
Siri ya Ushindaji,
Vita Kuu
pendo lisilo kifani

ni vya nani UTAJUA MWENYEWE....................

Mapadri nimekaa nao,nimekula nao,nimecheza nao mpira kwa wale vijana na istoshe naendelea kuwasiliana nao na tunajadili neno la Mungu
SO, kwa hiyo labda ulitaka tukusaidie nini ?????????????
 
Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya Usabato huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?

Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani na kahaba mkuu wa Ufunuo lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Mbona siwaoni mkiwachimba mf. Mormons au Jehova's Witness? Why Catholics only? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?

Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists, kiundi chenye mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia.

Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnasherehekea mwaka mpya)! Naona mwaka mpya Wasabato mmeuanza vizuri na Wakatoliki aisee mpaka waombe poo . Post zaidi ya 7 hivi za kuanika ushetani wa Papa na ukatoliki tangu 2017 uanze. Ingekuwa mnashambulia let's say Uislamu naamini threads zenu zingekuwa zinafutwa. Komaeni na "mashetani" na "makahaba" wa kikatoliki mpaka kieleweke ila tu hakikisheni kuwa na nyie mko sawa kiimani!
Tatizo nyinyi hamsomi biblia,mnaenda kanisani kusomewa tu,ukisoma biblia ukihusianisha na historia ya ulimwengu utagundua kanisa katoliki ndilo lililofanya machafuko hayo ikiwa ni pamoja na mauaji ya wanaoshika amri za Mungu,catechsm imebadili hata amri za Mungu,linganisha amri zilizo kwenye catechsm na bublia halafu soma daniel 7:25

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Acha kurukaruka Kitaja jibu kwa hoja.

Hivi unafahamu kuwa Biblia ni kazi ya Wakatoliki.....?

Sasa iweje waache vitabu/kitabu ambacho/ambavyo leo hii kinakuwa fimbo kwao...?

Unajua kuwa Wakatoliki walianza kuisoma biblia kabla ya kundi lolote lile,ie Walutheri,Waanglikana,Wasabato nk.

Hebu jibu hoja za Pd Amigu ukimaliza mjibu benchecs sio kurukaruka.

Hao Mapadri,Mashemasi,Brothers wanaokubali mnyama ni Papa sio Wakatoliki ni Wakisabato.
Acha uongo wewe,unaposema biblia ni kazi ya wakatoliki una maanisha nini,biblia ni kazi ya Mungu mwenyewe,
Kanisa katoliki ndie adui mkubwa wa biblia
Mafungu mengi ya biblia yanabadilishwa taratibu na kwa siri sana kwa kupitia kanisa katoliki
Amri za Mungu zilizotolewa pale sinai zimebadilishwa na kanisa hili
Katechsm inasema wazi"kwa mamlaka ya kanisa tumeamua kuibadili sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili"
Soma amri kumi za Mungu zilizo kwenye catechsm na zilizo kwenye biblia utaona uchakachuaji uliopo mule
Kuna amri zimeondolewa na nyingine kugawanywa ili kutimiza amri kumi ambazo sasa sio zile halisi alizotoa Mungu
Kanisa katoliki halina mamlaka ya kubadili maagizo ya Mungu[amri zake kwa namna yoyote ile.
Sheria ya Mungu haibadiliki.
Soma mathayo 5:17-19,1 yohana 2:3-5,1 yohana 5:3
Soma maandiko kwa makini sana utaigundua siri ya kuasi ambayo imewadanganya wengi kwakuwa inatenda mambo yake kwa siri sana
Acha kurukaruka Kitaja jibu kwa hoja.

Hivi unafahamu kuwa Biblia ni kazi ya Wakatoliki.....?

Sasa iweje waache vitabu/kitabu ambacho/ambavyo leo hii kinakuwa fimbo kwao...?

Unajua kuwa Wakatoliki walianza kuisoma biblia kabla ya kundi lolote lile,ie Walutheri,Waanglikana,Wasabato nk.

Hebu jibu hoja za Pd Amigu ukimaliza mjibu benchecs sio kurukaruka.

Hao Mapadri,Mashemasi,Brothers wanaokubali mnyama ni Papa sio Wakatoliki ni Wakisabato.
Acha uongo wewe,unaposema biblia ni kazi ya wakatoliki una maanisha nini,biblia ni kazi ya Mungu mwenyewe,
Kanisa katoliki ndie adui mkubwa wa biblia
Mafungu mengi ya biblia yanabadilishwa taratibu na kwa siri sana kwa kupitia kanisa katoliki
Amri za Mungu zilizotolewa pale sinai zimebadilishwa na kanisa hili
Katechsm inasema wazi"kwa mamlaka ya kanisa tumeamua kuibadili sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili"
Soma amri kumi za Mungu zilizo kwenye catechsm na zilizo kwenye biblia utaona uchakachuaji uliopo mule
Kuna amri zimeondolewa na nyingine kugawanywa ili kutimiza amri kumi ambazo sasa sio zile halisi alizotoa Mungu
Kanisa katoliki halina mamlaka ya kubadili maagizo ya Mungu[amri zake kwa namna yoyote ile.
Sheria ya Mungu haibadiliki.
Soma mathayo 5:17-19,1 yohana 2:3-5

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo nyinyi hamsomi biblia,mnaenda kanisani kusomewa tu,ukisoma biblia ukihusianisha na historia ya ulimwengu utagundua kanisa katoliki ndilo lililofanya machafuko hayo ikiwa ni pamoja na mauaji ya wanaoshika amri za Mungu,catechsm imebadili hata amri za Mungu,linganisha amri zilizo kwenye catechsm na bublia halafu soma daniel 7:25

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Uliyoandika hapa yanahusianaje na niliyosema hapo juu? Na kwa nini una-assume kuwa kila mtu anayehojiana nanyi ni Mkatoliki? Mimi siyo Mkatoliki ila nimekulia katika Usabato na nimesoma kila uchafu wa Ellen mpaka nilipong'amua kuwa kumbe nilikuwa nafuata cult inayofuata mafundisho ya nabii feki tena mwehu mwenye matatizo ya ubongo, na kwamba mafundisho yake mengi ni ya kishetani japo yamepambwa kwa lugha tamu iliyojaa taswira za kutisha na njozi za kupumbaza. Kokotaneni na huyu nabii wenu mwenye hallucinations huku mkidanganyana kuwa mtakwenda mbinguni kwa kuwa tu eti mnasali Jumamosi. Blind fools!
 
Tatizo mmeaminishwa kuwa Padre ni kama Mungu. Kwa taarifa yako mapadre wengi ni marafiki zangu. Shule niliyosoma ilikuwa ya kanisa katoliki kabla ya kutaifishwa na serikali hvyo tulikuwa karibu kabisa na kanisa katoliki na makazi ya mapadri. Mapadri nimekaa nao,nimekula nao,nimecheza nao mpira kwa wale vijana na istoshe naendelea kuwasiliana nao na tunajadili neno la Mungu. Wewe endelea kukaririshwa misale.
Nakuuliza una hadhi ya hata ya kupishana na Padre...???
 
Mimi nilidhani uliporudi nyumbani roman catholic ndo umekuwa mtakatatifu. Maana umeponda usabato ukidai kumejaa ngono ndiyo maana ukaondoka. Hapa naona unasifia mambo yenu huko ya ngono. Kumbe tatizo halikuwa kwa wasabato bali tatizo unalo mwenyewe,jiangalie.
Kambi za ngono bado zipo...?
 
na itakuwa aliyetuaminisha, si mwingine ila ni BI ELLEN G WHITE

hulijui kanisa katoliki, utamjuaje padre ??????

"awasikilizaye ninyi ananisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma," ----Lk 10:16

kwa taarifa yako
Padre ni mtumishi wa Mungu anayejitoa sadaka kwa ajili ya wokovu wa watu wa Mungu.
Licha ya sadaka hiyo, padre ni mwanadamu kama wanadamu wengine, aliyetwaliwa kati ya watu kwa mambo ya muhusuyo Mungu,
nanukuu Ebr 5:1-3.
"maana kila kuhani mkuu aliyetwaliwa katika wanadamu amewekwa kwa ajili ya wanadamu katika mambo yamhusuyo Mungu, ili atoe matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi; awezaye kuwachukulia kwa upole wao wasiojua na wenye kupotea, kwa kuwa yeye mwenyewe yu katika hali ya udhaifu; na kwa sababu hiyo imempasa, kama kwa ajili ya watu, vivyo hivyo kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi, "

Padre hata baada ya upadrisho wake anaendelea kuwa mwanadamu. Na hali ya kibinadamu ni hali ya unyonge, uchovu, kushawishika pamoja na kukata tamaa.

"kama ningekutana na malaika pamoja na Padre, ningeweza kumsalimia kwanza Padre, kwani Malaika ni rafiki wa Mungu, na Padre ni Mhudumu wa Mungu."----by saint Francisco
"acha eneo na sehemu yoyote bila Padre kwa miaka ishirini, matokeo yake watu wataanza kuabudu wanyama."-----by saint Yohane Maria Viane

"awasikilizaye ninyi ananisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma," ----Lk 10:16



wewe ulitaka tukakaririshwe hivi vitabu chini ???????
Tumaini kuu, ,
Afya na Raha
Siri ya Ushindaji,
Vita Kuu
pendo lisilo kifani

ni vya nani UTAJUA MWENYEWE....................


SO, kwa hiyo labda ulitaka tukusaidie nini ?????????????
Hahahahaha....Terehe 14 bado haijafika mkuu
 
Nmechoka kujibu hawa watu mana hoja zangu hawajibu wanazunguka kwny maneno yaleyale na kujipa tumaini lile lile.inaonekana mko so obssessed na ukatoliki na upapa na wala hamlet neno la Mungu zaid n kuponda tu
Hawana cha kujibu...ni mbumbumbu tuu
 
Roman catholic ndio MAMA WA MAKAHABA ,

HAO LUTHERAN, MASHAHID WA YEHOVA ,N.K NI MABINTI ZAKE

BIBLIA INAWAITA BINTI ZA KAHABA MKUU

SASA NIKUULIZE UPAGANI HUU WA ROMA NDIO UKRISTO?

fa73d9da604f8086877dbde0087691f4.jpg


Na HUU UPAGANI UMERITHIWA NA MABINTI ZAKE

HIVO TUNAPODILI NA KAHABA MKUU( ROMA) HATA MABINT ZAKE WANAFUNGUKA

8895f07413784d278560ff5fc60c3fe1.jpg

Rc mna kazi duh, kumbe mna mabint kama Lutheran, Anglican, TaG ha ha haaa jamaa ana deal na mama watoto watafuata tu; khkkikikikiki
 
Unaweza kuwa mpinzani wa dhehebu fulani hili halina shida,lakini kuanza kudanganya ni jambo la ajabu na lisilokubalika maana kuna watu wanaweza kuamini maneno yako...

Najua matatizo ya kanisa katoliki lakini usidanganye watu...

Naomba uweke na ushahidi wa kila kimoja hapo kuwa kwanza kimeruhusiwa na kanisa katoliki na pia ni kosa kimaandiko....

Jambo mkuu! Mada za hivi hua unafungua turbo kbs..hongera
 
Acha kutoka povu mkuu. Soma post yangu uielewe. Niwachukie Jehova's Witness ili iweje? Wewe umeweka copy and paste ya kutoka Brooklyn ulitaka watu tukae kimya? Hii ni JF where we dare to talk openly (japo tunazuiwa) na maswali yote niliyoyauliza hapo juu yanagusia moja kwa moja misingi mikuu ya imani ya Jehova's Witness. Wewe huwezi kuyajua haya kwa sababu huruhusiwi kujisomea nje ya box na pengine hata huijui historia yenye giza ya hawa "Mashahidi wa Jehova"

Naamini wewe ni Jehova's Witness lakini kwa vile huna uhuru wa kujisomea mambo wala kujibu maswali nje ya vipeperushi vya kutoka makao makuu Brooklyn mijadala kama hii inakuwa mizito sana kwako. Haya mambo waachie Wasabato mkuu. Wao tangu kuanzishwa kwao wanatabiri tabiri kurudi kwa Yesu, kutimia kwa unabii na mapambano yasiyoisha dhidi ya Papa na ukatoliki huku wakifuata mawaidha ya Nabii wao Bibi Ellen G. White.
Kweli kabisa maandiko yapo wazi kuwa mpinga Kristo hukataa Yesu kuwa ni Kristo.Swali hao Wakatoliki hufanya hivyo? Kama sio nani basi ni mpinga Kristo? Nawashauri wasabato waache uchochezi wamtafute Mungu sabato ni namna tu ya kuabudu siyo tiketi ya mbinguni.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na mauzauza ni mtazamo wako binafsi, usitake kumuaminisha kwa lazima kila mtu unachoamini wewe. Anyway , sikutegemea kuungwa mkono na kila mtu.


Kwa mtu aliyetulia akasoma mada kwa umakini lazima ameona utofauti wa hoja katika mada kuu na article niliyoleta mimi.

Kwa heri.
Kwani wewe biblia si imekuambia uwe na amani na watu wote na huo utakatifu ambao hakuna atakayemwona Mungu bila huo? Wewe ushakuwa mtakatifu? Kama bado utafute maana huo ndo utakufanya umwone Mungu,na wala siyo usabato maana wapo wasabato wenzio masalia ambao hata ulaya walishindwa kufika.


Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
badala ya kuandaa list ya maovu yako na kuyaungama upate ufalme wa Mbingu,unahangaika kuandaa listi ya Wasabato watu ambao ni Mboni ya jicho la Mungu duniani
Ee Mungu mimi sikulaumu, lakini kwa nini unajificha mpaka wasabato wanakusingizia kuwa mboni yako ya jicho ni wao tu?
Ila najua neno lako linasema jinsi hii uliupenda ulimwengu wala halikusema uliwapenda Wasabato.
Sisi tutakutafuta acha wao wajisifu

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa maandiko yapo wazi kuwa mpinga Kristo hukataa Yesu kuwa ni Kristo.Swali hao Wakatoliki hufanya hivyo? Kama sio nani basi ni mpinga Kristo? Nawashauri wasabato waache uchochezi wamtafute Mungu sabato ni namna tu ya kuabudu siyo tiketi ya mbinguni.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Wasabato siyo Wakristo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom