Ng'wamagigisi
Member
- Jan 3, 2011
- 35
- 1
Katika pitapitaa ndani ya magazeti yasiyo na mlengo wowote bali kuelisha jamii nimekuta na newz kuwa wafadhili wakuu wa REDET ambayo imekua ikishutumiwa kwa kuchakachua matokeo ya tafiti zake ili kuridhisha matakwa ya mkuu wa kaya na chama chake wamejitoa. Hawa jamaa wamekua wakifadhiliwa na Denmark kupitia shirika lake la DANIDA.
Mdau mkuu wa REDET anadai DANIDA wamejitoa sababu ya mabadiliko yao ya sera. Sera zao mpya zapingana na majukumu na malengo ya REDET.
Tafadhali wana-jf wenye newz kamili kuhusu hawa REDET atujuze. Tafiti zao zina utata sana, zaidi kuna tetesi kuwa laenda kufumuliwa lote ingawa wenyewe wajisifu sana katika utendaji. Nikweli kuwa kizuri huwa chafumuliwa?!
Mdau mkuu wa REDET anadai DANIDA wamejitoa sababu ya mabadiliko yao ya sera. Sera zao mpya zapingana na majukumu na malengo ya REDET.
Tafadhali wana-jf wenye newz kamili kuhusu hawa REDET atujuze. Tafiti zao zina utata sana, zaidi kuna tetesi kuwa laenda kufumuliwa lote ingawa wenyewe wajisifu sana katika utendaji. Nikweli kuwa kizuri huwa chafumuliwa?!