Mfadhaiko

Mh Fidel hupitwi weye? wataka kujua yaliyotokea nyuma ya pazia ah!! mwenzio ndo maana akaishia hapo ambapo ni haki yako kujua lol

hahahaha nilitaka kujua mchezo kama alionja na TG au alipewa ulikuwa mwendelezo tu maana watoto wengi pale Mlimani kwa kutoa hii kitu ni balaaa sijui siku ya kuzaa itakuwaje unaweza ona mtoto anatokea sehemu sio yenyewe.
 
Hayo bwana we acha tu mi nikiona tu hata mapigo ya moyo iwa yanaenda kwa kusua sua napata hata taaabu kupumua haswaa lile linalo tepeta mmmh safi sana kwa TG.maana linakuwa lainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

inaitwa BOFULO au MOFA
yaani kalio la kukalia
 
Hahahaha umeniacha hoi mi ni mzee wa kule kuleeeeeeee kama kawa unajipendelea tu na umoto umoto wa kule mzee usipime.

Ah kwa hiyo kaka ukiliona tu tayari unapeleka mawazo ya ' niko chumbani na mtoto huyu ..... ah TiGo express yourself!! Kaaaazi kwerikweri
 
Shost hebu waulize watujuze haikawii mtu kukuvua nguo pasipo we kujua. Watembea barabarani kumbe jitu linakukodolea macho wesereee lako huku likiwaza mambo ya faragha ah. Wana mana hawa? (Joke)

Hii kitu Mwana we acha tu sawa na yule aliyezimika kifua cha jamaa yaani kama sumaku vile mate yanaweza kukutoka.....
 
...mara nyingine nakuwaga na vipindi virefu bafuni (vya kutafakari) kila nionapo MKIA ulionona walah

.. ehe kweli kabisa 'watafakari na kutafakuri' duh asa hata kama umeuona asubuhi kazini we bado jioni utatafakari eh?
 
.. ehe kweli kabisa 'watafakari na kutafakuri' duh asa hata kama umeuona asubuhi kazini we bado jioni utatafakari eh?

...halafu nashindwa kuelewa kwa nini kila ninapooga sabuni humalizika haraka mno....
enewei mmemuona she yahaya, alikwenda kutibiwa firigisi na maini kule india. Mnajua kwa nini??? MBOLEA alikuwa anila kwa pupa ila wadau wa kizazi kipya twaila ki aste aste ili kukwepa madhara ukubwani
 
...halafu nashindwa kuelewa kwa nini kila ninapooga sabuni humalizika haraka mno....
enewei mmemuona she yahaya, alikwenda kutibiwa firigisi na maini kule india. Mnajua kwa nini??? MBOLEA alikuwa anila kwa pupa ila wadau wa kizazi kipya twaila ki aste aste ili kukwepa madhara ukubwani

.........................Hivo eh?

Asa hujui haba na haba hujaza kibaba Msanii? Sasa hivi tutasikia nawe uko India. Afu Fidel anafuata akimalizia Masanilo.
 
Mama mmoja alikuwa office mate na alikuwa ana WOWOWO lakukata na shoka, basi jamaa walikuwa wanamtarget sana kwenye madaladala. Sasa siku moja wakati anashuka pale posta mpya njemba likamwambia 'Ahsante sana dada'. Akabaki kapigwa na mshangao kupewa ahsante na njemba asiyemjua, lakini kwa jinsi alivyobanwa kwenye basi akahisi kuna mtu alikuwa anashughulika. Basi akaamua kupeleka mkono sehemu ya wowowo yake hapo ndipo alipogundua ahsante ile ilikuwa ni ya nini maana jamaa alikuwa amemchafua kwa karibu kikombe kizima cha nanino. Inaelekea jamaa alitoa dudu yake mpaka kuweza kumchafua kiasi kile....Naam hizi ndiyo raha na karaha za Bongo
 
Mama mmoja alikuwa office mate na alikuwa ana WOWOWO lakukata na shoka, basi jamaa walikuwa wanamtarget sana kwenye madaladala. Sasa siku moja wakati anashuka pale posta mpya njemba likamwambia 'Ahsante sana dada'. Akabaki kapigwa na mshangao kupewa ahsante na njemba asiyemjua, lakini kwa jinsi alivyobanwa kwenye basi akahisi kuna mtu alikuwa anashughulika. Basi akaamua kupeleka mkono sehemu ya wowowo yake hapo ndipo alipogundua ahsante ile ilikuwa ni ya nini maana jamaa alikuwa amemchafua kwa karibu kikombe kizima cha nanino. Inaelekea jamaa alitoa dudu yake mpaka kuweza kumchafua kiasi kile....Naam hizi ndiyo raha na karaha za Bongo

...napendekeza kina mama watembee na nyembe, ...wakijiskia friction bila sababu auzungushe tu mkono,'chwaaaaaaaaa!'
 
...napendekeza kina mama watembee na nyembe, ...wakijiskia friction bila sababu auzungushe tu mkono,'chwaaaaaaaaa!'

Ha ha ha ha ha Sasa hili litageuzwa kwamba kuna kina dada wanatembea na nyembe kwenye madaladala ili kusaka nanino za njemba kwa ajili ya ushirikina. Abiria wa kiume chunga nanino yako kwenye daladala ha ha ha ha LOL!
 
Ha ha ha ha ha Sasa hili litageuzwa kwamba kuna kina dada wanatembea na nyembe kwenye madaladala ili kusaka nanino za njemba kwa ajili ya ushirikina. Abiria wa kiume chunga nanino yako kwenye daladala ha ha ha ha LOL!

Mkuu kuna akina mama wengine iwa wanakutegeshea mi niliwahi tegeshewa mpaka nikaiingia majaribuni yaaani wowowo lilikuwa balaaa mapigo ya moyo yalikuwa yanakufa ganzi kabisaaaa haya mambo jamani nyie achani tu wanawake wenyewe wanatutega jamani wewe unajua unamaumbile makubwa nyuma kwa nini uvae kinguo kinacho bana.
 
Mkuu kuna akina mama wengine iwa wanakutegeshea mi niliwahi tegeshewa mpaka nikaiingia majaribuni yaaani wowowo lilikuwa balaaa mapigo ya moyo yalikuwa yanakufa ganzi kabisaaaa haya mambo jamani nyie achani tu wanawake wenyewe wanatutega jamani wewe unajua unamaumbile makubwa nyuma kwa nini uvae kinguo kinacho bana.

Unajua nimepata jina jipya la haya matungunya yanayotupigisha midundiko ya moyo. kwa jina jengine yaitwa FUKO LA UTAMADUNI. CULTURAL SACK
mwanajamii one upoooo.
Usirushe ngumi tu.
 
hahahaha nilitaka kujua mchezo kama alionja na TG au alipewa ulikuwa mwendelezo tu maana watoto wengi pale Mlimani kwa kutoa hii kitu ni balaaa sijui siku ya kuzaa itakuwaje unaweza ona mtoto anatokea sehemu sio yenyewe.
Acheni izo!
Kutokea kwingine vinahusu?

Hivi ni kwanini hili suala kwa miaka hii limeshika chati sana? Halafu watu hao hao wanaofagilia hii tabia chafu, ndiyo wa kwanza kuwatukana wenzao kuwa wanatoa ......balaa!( Mimi nafikiri huenda wala hii tabia haijaenea kiivo ila ni tusi jipya la kuwatukania watu!)

Humu Jamvini kuna watu wanajifanya wanaupenda huo mchezo lakini mioyoni mwao wanachukia vibaya sana.Sasa hawa wanawachochea wale ambao hawafanyi waone ni kitu trendy ambacho wanapaswa kujaribu.
NB : Kama hujafanya hicho kitu ndugu, basi usijaribu maana siyo vizuri na wala hutakosa lolote kwa kutokufanya.
 
...Haya mwana akililia wembe mpe....

hii methali imepitwa na makali yake.
siku hizi tunasema mtoto akililia wembe we mkate nao kwani ukimpa atakukata wewe
nasisitiza nataka kujaribu ili kuona kama ntakosa chochote nitakachokipata
 
Hivi makalio yetu yanawazingua nini zaidi?

Ni necha ya mtu tu ambayo huwezi kuibadilisha. Wazungu wanaiita fixation, yaani mtu anavutiwa na kiungo fulani cha mwenzake regardless of jinsia. Kuna kleptomaniacs-ambao hupata hisia za kimapenzi kwa kuiba kitu, kuna fetishism-ambao hupata hisia za kimapenzi kwa kutazama kitu kilichovaliwa na mwingine, etc. so makalio ya wanawake kwa wanaume ndio yana asilimia kubwa zaidi especially kwa wanaume wa kibantu. Yanavutia kuangalia na kuyagusa pia thats y wanaume wanapata mifadhaiko ndani ya madaladala
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom