Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Mstahiki Meya wa Jiji na Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha Mhe.Kalist Lazaro,leo amemtembelea Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe.Godbless Lema aliyeko Magereza Kisongo.
Mstahiki Meya aliongozana na Naibu Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Viola Likindikoki pamoja na Viongozi wa Chadema wilaya ya Arusha Mjini.
Wote kwa pamoja walifanikiwa kuzungumza Mambo kadha wa kadha na Mbunge huyo wa Arusha Mjini,"Zaidi na zaidi anawasalimu sana wapiga kura wake amewaambia yupo imara tuendelee kumuombea" Alieleza hayo Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha,na katika kuhitimisha ujumbe wake Mhe. Lema amewataka wananchi kusoma maneno ya Mungu kupitia biblia Takatifu katika vitabu vya Yeremia 20:7,Daniel 5:19-20 na 25 pia Isaya 51:7
Imetolewa na
Afisa habari-Kanda ya kaskazini.
Pia mimi mwenyewe nilipata nafasi ya kukuona Lema nimejifunza mengi kupitia kwa Lema amesema hatonyamaza kimya kuendelea kuona demokrasia inakandamizwa.
Mstahiki Meya aliongozana na Naibu Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Viola Likindikoki pamoja na Viongozi wa Chadema wilaya ya Arusha Mjini.
Wote kwa pamoja walifanikiwa kuzungumza Mambo kadha wa kadha na Mbunge huyo wa Arusha Mjini,"Zaidi na zaidi anawasalimu sana wapiga kura wake amewaambia yupo imara tuendelee kumuombea" Alieleza hayo Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha,na katika kuhitimisha ujumbe wake Mhe. Lema amewataka wananchi kusoma maneno ya Mungu kupitia biblia Takatifu katika vitabu vya Yeremia 20:7,Daniel 5:19-20 na 25 pia Isaya 51:7
Imetolewa na
Afisa habari-Kanda ya kaskazini.
Pia mimi mwenyewe nilipata nafasi ya kukuona Lema nimejifunza mengi kupitia kwa Lema amesema hatonyamaza kimya kuendelea kuona demokrasia inakandamizwa.