chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,206
- 20,964
Ni mwendelezo wa mahaba ya wanachadema kwa uungwana na urahimu wa CCM.
Meya Boniphace katika ukurasa wake wa twitter ameonekana "kukunwa" na uungwana wa Wana CCM baada ya kupewa hifadhi wakati wanakimbia kipondo kikali na Cha haja kutoka kwa Polisi.
Meya Boniphace Jackob na Mbowe pamoja na timu nzima ya CDM iliyoingia barabarani kutaka kuvuruga amani na kuleta vita, ilipoumana na dola, Mbowe na viongozi wenzake walitoka nduki kwa spidi ya sauti na walienda kujihifadhi katika Ofisi za CCM huku wakitweta kwa hofu.
CCM itabaki kuwa chama Cha amani na chama kiongozi, hata wale wanaokishambulia wanakikimbilia pale wanapolemewa.
John Heche na yeye alijihifadhi katika maduka yaliyo katika Ofisi za CCM.
Long live CCM !
Meya Boniphace katika ukurasa wake wa twitter ameonekana "kukunwa" na uungwana wa Wana CCM baada ya kupewa hifadhi wakati wanakimbia kipondo kikali na Cha haja kutoka kwa Polisi.
Meya Boniphace Jackob na Mbowe pamoja na timu nzima ya CDM iliyoingia barabarani kutaka kuvuruga amani na kuleta vita, ilipoumana na dola, Mbowe na viongozi wenzake walitoka nduki kwa spidi ya sauti na walienda kujihifadhi katika Ofisi za CCM huku wakitweta kwa hofu.
CCM itabaki kuwa chama Cha amani na chama kiongozi, hata wale wanaokishambulia wanakikimbilia pale wanapolemewa.
John Heche na yeye alijihifadhi katika maduka yaliyo katika Ofisi za CCM.
Long live CCM !