Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

Hizi ni nondo haswa! Mubashari bin takatifu! Yaani ni Ubashite bashite kila mahali. Big up Meya wangu meseji sent
 
MAGUFULI TUMBUA HUYU MTU.

NI AFADHALI KUBEBA GUNIA LA MISUMARI KULIKO KUMBEBA DAUDI ALBERT BASHITE.

Kama alijua hana hadhi ya kukalia hicho kiti angetulia tu, si kuwachonganisha wenzie.

Aliniuzi zaidi alipotaka kumchonganisha MZEE SIRRO KWA Waziri Mkuu. Nikajisema huyu safari yake fupi.
 
Aha kumbe ni huyu boniface jacob meya inaonesha unahasira naye kunizidi mimi huyo bashite...... Ni wengi wanao tumia majina ya watu si huyo bashite tuuuu ili iwe mfano...
Una maana ni kosa kutumia jina la mtu mwingine angetumia ya wanyama?Simba,Sungura,Mbogo,Faru na ndama mtoto wa ng'ombe, au ya vinywaji km Pombe,Manji,Moshi,ya Soda nk au ya samaki mf sato,mafuru,Dagaa?
 
Meya wa ubungo toka chama makini hawezi kuvimbirwa uhuru wa maoni kiasi hiki. Yaani mpaka mtu unashindwa kutofautisha. Kaa!
 
Meya wa ubungo toka chama makini hawezi kuvimbirwa uhuru wa maoni kiasi hiki. Yaani mpaka mtu unashindwa kutofautisha. Kaa!
 
Muda mwingine mnajivua nguo na kuonesha ukilaaaza wenu kuliko hata huo wa Bashite. Uhalali wa kufanya kazi katika ofisi ya umma unamuhusu nini mteule wa Rais? Duh, jamani kweli uelewa mzuri. Pamoja na Pasco kuwapa elimu bado tuu? Kama hata utumishi wa umma haufahamu mambo mengine utayafahamu kweli wewe?
Wewe ndio Bashite mwenyewe?
Dear
Daudi Albert Bashite.

Naanza na salamu na badala ya salamu ni kujua kama umeamka vizuri hapo kwako Masaki,na shemeji yetu naye natumaini ni mzima wa Afya.

Kwa uchache wa Muda naomba niende moja kwa moja kwenye dhumuni langu la kukuandikia ujumbe huu,hakika ujue sikupi pole sababu mambo Mengi umejitakia katika safari yako ya kisiasa,iliyo jaa vishindo na mbwembwe za kila aina.

Vijana wenzio tulibahatika kufanya kazi na wewe Daudi, kwakweli hatukuwahi kujua siri ya "kiburi" chako na "majivuno" yako uliyatoa wapi? Kwa jinsi ulivyokuwa kijana wa "Mission impossible" katika kila matendo ya vijana wa kaida yanayotarajiwa wewe ulitenda yale ambayo watu wasinge tarajia kuona,

Na hayo ndiyo yakawa maisha yako,hukujali wakubwa wanastahili heshima,hukujali kila binadamu anastahili staha,huku jali viongozi kama Mawaziri wa kuu au majaji wataafu walipaswa kulindwa na kuhifadhiwa.

Leo kabla Dunia haijaona mwanzo mpya au mwisho wa safari yako,kwakuwa Kwa namna yoyote vile tuta ulilokutana nalo Masihani mwako halitakuacha kama awali,utabadilika tuh utake usitake Hata kama mabadiliko yako yawe ya Nafasi au Nafsi yanakukuta kwa aibu na fedheha.

Walio karibu yako Daudi wanadai unawakati Mgumu,tukuombee,sitaki kuwa mnafki kwako,Daudi nikwambie tuh sitokuombea bali kabla ujamaliza kujutia Nafsi yako nikukumbushe tuh machache ili uyaingize kwenye sala ya toba.

1.Akilini kwako unamkumbuka baba wa watu? Mkurugenzi injinia mussa Natty,ulivyo muandama mpaka kusimamishwa kazi ulipokuwa DC KINONDONI? huku jali elimu yake aliyosomeshwa na wazazi wake masikini huko shinyanga,kwa UBASHITE WAKO ukamuumiza yeye na familia yake.

2.Je unawakumbuka wahandisi wa Halmashauri ya manispaa ya Kinondoni?,uliowasemea Mbele ya mheshimiwa Rais,siku ile Pale Biafra,wenzio wakasimamishwa kazi,na kuhamishiwa vijijini,hukujali elimu yao ya kweli si kama yako,waliyo ipata kwa shida wala familia zao masikini zilizo wategemea,Kwa UBASHITE WAKO ukawatokomeza na kuwaharibia majina na kazi zao.

3.Je unawakumbuka Maafisa ardhi? ukitoa amri wakamatwe kule Wazo mivumoni tuh kwa sababu walichelewa kufika eneo la tukio baada yako,hukujali Elimu zao na utaalamu wao wa ardhi waliosotea mashuleni na vyuoni ,kitichako kilikuwa na mamlaka ya kuwalaza wote sita mahabusu kituo cha mabatini KWA UBASHITE WAKO ukajiona wewe ni alpha na omega.

4.Je unamkumbuka yule dada Afisa ardhi uliye Muita "Tahira" kule kwenye mkutano wako mabwepande? Tena mbele za Tv na Radio zikiwa Mubashara,Hukujali mwenzio ana vyeti halali na amepimwa kwenye mitihani na amefaulu, KWA UBASHITE WAKO ukaona hakuna atakacho kufanya wala pakukimbilia.

5.Je unakumbuka ile kauli yako kwamba wewe ufanyalo Dar es salaaam,na kuliamua juu yake ni kwamba ameamua Mungu,Hata watu walipo toa miguno ya kulewa kwako madaraka hukuwahi kujutia kijivika utukufu wa Mungu,wala kujifananisha naye au kujipa unabii juu ya Dar es salaam,KWA UBASHITE WAKO ulidhani na yeye Mungu alipata zero? Au Mungu alinunua vyeti?

6.Je unaikumbuka ile kauli yako ya mara kwa mara uliyopenda kuitoa kwamba "Mimi nimbabe wa vita" ulimaanisha vita vya kufeli na kufanya "manuva" vita ya kutorudia au kukariri Darasa? Na ukazani umevishinda vita kwa kununua jina jipya, KWA UBASHITE WAKO,Ukasahau kuwa wazungu wanasema "There is no short cut in alife" isipokuwa wewe ukazani umeyapitia Denge maisha,wenzio wasome wafaulu,wewe ufeli ujekuwa boss wao.

7.Je unakumbuka Ile kauli yako ya kuwa ofisi ya mkuu wa mkoa Dar es salaam nzima inawafanyakazi 4,wengine wote ni mizigo? ,sasa utawaonea wivu hao mizigo kwakuwa wenzio wanavyeti na walifaulu wapo kihalali serikalini basi huenda utawaacha hapo na wewe mzigo namba moja utaondoka badala yao.KWA UBASHITE WAKO uliona kila mtu aliyesoma vigezo siyo kusoma ila ujanja kama uliotumia wewe.

Na mengine Mengi sababu ya Muda Nikuache na hayo,Niwache na boss wako muamue Mpangiane kazi gani nyingine,na kwa bahati mbaya mfumo wa nchi yetu,mwenye division zero,hastahili kuwa hata Dereva serikalini.

Fedheha na aibu imepanda gari lako la kifahari,imeingia ndani ya jumba lako hapo masaki,walinzi wote polisi na wanajeshi wameshindwa kuizuia,ipo mpaka sebuleni na sasa ujue Dar es salaam haitokubali itawaliwe na kuongozwa na KILAZA.......KUSOMA RAHA SANA

Na
BONIFACE JACOB
Senior councilor ubungo
Mstahiki meya
Manispaa ya ubungo

Kwanza ume quote lote hilo la nini ?! Uwe na aibu sometimes, watu wametumbuliwa kwa kuhakikiwa vyeti vyao, wengine walikuwa wamekaribia kustaafu lakini wamelimwa panga leo kwa Bashite unakuwa kinyonga ?!

Ndiyo tunarudi kwa mleta mada aliposema MKUKI NI KWA NGURUWE ungemwelewa .

Njia ni rahisi Bashite athibitishe uhalali wake wa kufanya kazi ktk ofisi za umma
 
Dear
Daudi Albert Bashite.

Naanza na salamu na badala ya salamu ni kujua kama umeamka vizuri hapo kwako Masaki,na shemeji yetu naye natumaini ni mzima wa Afya.

Kwa uchache wa Muda naomba niende moja kwa moja kwenye dhumuni langu la kukuandikia ujumbe huu,hakika ujue sikupi pole sababu mambo Mengi umejitakia katika safari yako ya kisiasa,iliyo jaa vishindo na mbwembwe za kila aina.

Vijana wenzio tulibahatika kufanya kazi na wewe Daudi, kwakweli hatukuwahi kujua siri ya "kiburi" chako na "majivuno" yako uliyatoa wapi? Kwa jinsi ulivyokuwa kijana wa "Mission impossible" katika kila matendo ya vijana wa kaida yanayotarajiwa wewe ulitenda yale ambayo watu wasinge tarajia kuona,

Na hayo ndiyo yakawa maisha yako,hukujali wakubwa wanastahili heshima,hukujali kila binadamu anastahili staha,huku jali viongozi kama Mawaziri wa kuu au majaji wataafu walipaswa kulindwa na kuhifadhiwa.

Leo kabla Dunia haijaona mwanzo mpya au mwisho wa safari yako,kwakuwa Kwa namna yoyote vile tuta ulilokutana nalo Masihani mwako halitakuacha kama awali,utabadilika tuh utake usitake Hata kama mabadiliko yako yawe ya Nafasi au Nafsi yanakukuta kwa aibu na fedheha.

Walio karibu yako Daudi wanadai unawakati Mgumu,tukuombee,sitaki kuwa mnafki kwako,Daudi nikwambie tuh sitokuombea bali kabla ujamaliza kujutia Nafsi yako nikukumbushe tuh machache ili uyaingize kwenye sala ya toba.

1.Akilini kwako unamkumbuka baba wa watu? Mkurugenzi injinia mussa Natty,ulivyo muandama mpaka kusimamishwa kazi ulipokuwa DC KINONDONI? huku jali elimu yake aliyosomeshwa na wazazi wake masikini huko shinyanga,kwa UBASHITE WAKO ukamuumiza yeye na familia yake.

2.Je unawakumbuka wahandisi wa Halmashauri ya manispaa ya Kinondoni?,uliowasemea Mbele ya mheshimiwa Rais,siku ile Pale Biafra,wenzio wakasimamishwa kazi,na kuhamishiwa vijijini,hukujali elimu yao ya kweli si kama yako,waliyo ipata kwa shida wala familia zao masikini zilizo wategemea,Kwa UBASHITE WAKO ukawatokomeza na kuwaharibia majina na kazi zao.

3.Je unawakumbuka Maafisa ardhi? ukitoa amri wakamatwe kule Wazo mivumoni tuh kwa sababu walichelewa kufika eneo la tukio baada yako,hukujali Elimu zao na utaalamu wao wa ardhi waliosotea mashuleni na vyuoni ,kitichako kilikuwa na mamlaka ya kuwalaza wote sita mahabusu kituo cha mabatini KWA UBASHITE WAKO ukajiona wewe ni alpha na omega.

4.Je unamkumbuka yule dada Afisa ardhi uliye Muita "Tahira" kule kwenye mkutano wako mabwepande? Tena mbele za Tv na Radio zikiwa Mubashara,Hukujali mwenzio ana vyeti halali na amepimwa kwenye mitihani na amefaulu, KWA UBASHITE WAKO ukaona hakuna atakacho kufanya wala pakukimbilia.

5.Je unakumbuka ile kauli yako kwamba wewe ufanyalo Dar es salaaam,na kuliamua juu yake ni kwamba ameamua Mungu,Hata watu walipo toa miguno ya kulewa kwako madaraka hukuwahi kujutia kijivika utukufu wa Mungu,wala kujifananisha naye au kujipa unabii juu ya Dar es salaam,KWA UBASHITE WAKO ulidhani na yeye Mungu alipata zero? Au Mungu alinunua vyeti?

6.Je unaikumbuka ile kauli yako ya mara kwa mara uliyopenda kuitoa kwamba "Mimi nimbabe wa vita" ulimaanisha vita vya kufeli na kufanya "manuva" vita ya kutorudia au kukariri Darasa? Na ukazani umevishinda vita kwa kununua jina jipya, KWA UBASHITE WAKO,Ukasahau kuwa wazungu wanasema "There is no short cut in alife" isipokuwa wewe ukazani umeyapitia Denge maisha,wenzio wasome wafaulu,wewe ufeli ujekuwa boss wao.

7.Je unakumbuka Ile kauli yako ya kuwa ofisi ya mkuu wa mkoa Dar es salaam nzima inawafanyakazi 4,wengine wote ni mizigo? ,sasa utawaonea wivu hao mizigo kwakuwa wenzio wanavyeti na walifaulu wapo kihalali serikalini basi huenda utawaacha hapo na wewe mzigo namba moja utaondoka badala yao.KWA UBASHITE WAKO uliona kila mtu aliyesoma vigezo siyo kusoma ila ujanja kama uliotumia wewe.

Na mengine Mengi sababu ya Muda Nikuache na hayo,Niwache na boss wako muamue Mpangiane kazi gani nyingine,na kwa bahati mbaya mfumo wa nchi yetu,mwenye division zero,hastahili kuwa hata Dereva serikalini.

Fedheha na aibu imepanda gari lako la kifahari,imeingia ndani ya jumba lako hapo masaki,walinzi wote polisi na wanajeshi wameshindwa kuizuia,ipo mpaka sebuleni na sasa ujue Dar es salaam haitokubali itawaliwe na kuongozwa na KILAZA.......KUSOMA RAHA SANA

Na
BONIFACE JACOB
Senior councilor ubungo
Mstahiki meya
Manispaa ya ubungo
Ndugu yangu MEYA, hata wewe umejitoa ufahamu ukaamua kudandia gari kwa mbele bila kujua linakoenda? Hilo jina unalotumia la Daudi Bashite, una uhakika nalo? Je umeenda kule Baraza la Mitihani na kuhakikisha kuwa ni la huyu unayemtuhumu? Je, huyo Gwajima akiwa kanisani, alionyesha CHETI CHOCHOTE CHA ELIMU YA MAKONDA kwa wahumini ili wamwamini? Au na wewe pia unahusika kwa njia moja ama nyingine katika utumiaji wa madawa ya kulevya? Kweli PAUL MAKONDA amewashika pabaya!!
 
Mateja mna haha kujificha kwenye hiki kichaka!

mtasema weee, mtakaa kimya

sasa kumbe una gubu lako la miaka na miaka


Mods do needful
Shemeji naskia toka 2009 ndoa hadi Leo hamjabahatika kupata mtoto na Bashite?
 
... Mkuu wa Mkoa hateuliwi kwa kuangalia vyeti. ...
Acha kujifanya hamnazo! Tatizo sio ukuu wa mkoa; tatizo ni kufoji vyeti (kwa yeyote ikithibitika). NECTA walitoa hadi tangazo kuomba wananchi wasaidie kutoa taarifa za washukiwa wenye vyeti feki. Kosa la vyeti feki linamhusu yeyote - kuanzia boda boda, konda wa daladala, mkulima kule kijini, mrina asali, mfugaji, mvuvi, mchimba makaburi, hadi profesa. As long as unamiliki vyeti feki or any kind of impersonation adhabu ya forgery inakuhusu.
 
Wewe ndio Bashite mwenyewe?

Haidhuru, inawezekana mimi ndio Bashite mwenyewe, basi angalau hamu zenu zisiwazidi kiasi zikawaondoa akili na hata msiweze kufikiri. Mimi nimekuwa Bashite kuanzia majuzi baada ya wauza unga kudakwa, kabla ya hapo nilikuwa Mako. Nimeteuliwa na rais na yeye ndiye mwenye mamlaka ya kunitengua. Kwa nini hamumuulizi rais mnanifuata fuata mimi? Kwani waliodanganya kuhusu vyeti tuko wangapi? Kakangu Freeman Mbowe alikuwa hajui kama mimi ni Bshite kipindi akinilipia ada na kunisapoti? Alikuwa hajua kama mimi ni Bashite alipokuwa akinishawishi nijiunge na CHadema?

Niwe Bashite, niwe Makonda, roho ni ile ile, akili ni ile ile ni moto kwa kwenda mbele, wao wapiganie haki na mimi nipiganie haki, mwisho wa siku haki ya kweli itashinda, na itakayoshinda itajulikana. Watu mmezidiwa ashki mpaka mnataka kujaribu yanayowaondolea sifa ya jinsi zenu, kuweni na kiasi. Sishangai hata kidogo kwani hata walipoulizwa kati ya Baraba na Yesu nani asulubiwe, jibu lake ndilo mnalolijibu sasa, ninyi si wa mwanzo na wala hamuwezi kuwa wa mwisho. Ila kitu kimoja, kitu cha muhimu sana, mioyo yenu inajua ukweli, inafahamu kabisa ukweli, chuki, njaa na hasira zisizo sababu zinawafanya muzikane akili na nyoyo zenu na kuamua kushabikia uovu. Hakika mtalipwa mnachostahili kwa hilo.
 
Acha kujifanya hamnazo! Tatizo sio ukuu wa mkoa; tatizo ni kufoji vyeti (kwa yeyote ikithibitika). NECTA walitoa hadi tangazo kuomba wananchi wasaidie kutoa taarifa za washukiwa wenye vyeti feki. Kosa la vyeti feki linamhusu yeyote - kuanzia boda boda, konda wa daladala, mkulima kule kijini, mrina asali, mfugaji, mvuvi, mchimba makaburi, hadi profesa. As long as unamiliki vyeti feki or any kind of impersonation adhabu ya forgery inakuhusu.

Sasa si ndio ukaripoti huko NECTA sasa, unasubiri nini kumdai Makonda akupe vyeti wakati mahali sahihi pa kwenda unapajua? Kama madai ya ukweli kwa nini yasipelekwe NECTA na hata kuripotiwa polisi?
 
Back
Top Bottom