Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

Aiseee huyo Daud nao anahali mbaya sidhani kama anakula anashiba kabisa hahahahaaaaa kusoma raha qweli
 
Kihiyo alipiga kampeni kuwa amesoma DIT wakati si kweli, alivuliwa ubunge kwa kudanganya umma katika kampeni zake. Makonda kateuliwa na Rais, jambo la kufanya ni kufahamu kama rais alimteua kwa sifa za ulaghai au alimteua kwa vile anavyochapa kazi kama yeye. Maana humu kuna waumini wa 'ku deliver' na cheti ni karatasi! Tukifahamu kuhusu rais alimteuaje hapo labda, lakini utawala wa sheria hauturuhusu kuhoji uteuzi wowote wa Mh Rais na ukuu wa mkoa hauna sifa zaidi ya kujua kusoma na kuandika na utanzania
Kulikuwa na haja gani kuverify vyeti na kufukuza watu kumbe wapo watu wenye vyeti feki wamekaa offisini???? basi wote warudishwe kazini tuanze moja
 
Hapo ndipo unapokosea, mimi simzungumzii Makonda, nazungumzia uelewa wako! Siamini kama hufahamu utumishi wa umma ukoje. Kama ungefahamu labda ungesema kingine na si hicho ulichoki komenti kuhusu utumishi wa umma na vyeti kumuhusu Makonda aka Bashite
Hata kama utumishi wa umma unaruhusu kuajiri vilaza ila Boss wako ni muhalifu achukuliwe sheria ndipo aludi kuwa Mungu!

Milton Mahanga RC MAKONDA JISAFISHE NA KASHFA HII AU JIUZULU

Hii ndio CV ya Boss wako[emoji23] [emoji23]
 
Ndugu zangu bakizeni Maneno Jaman, huyu ndugu naye ni mwanandamu, muoneeni huruma. Imetosha sasa!

Ungesema aonewe huruma mtu anayefanya mema tungekuelewa, sio huyu anayeita wenzake machizi mama mzima na watoto wanamuangalia. Kilaza kama huyu hawezi kuonewa huruma hata siku moja.
 
Hata kama utumishi wa umma unaruhusu kuajiri vilaza ila Boss wako ni muhalifu achukuliwe sheria ndipo aludi kuwa Mungu!

Usipoteze mjadala kwa kuanza ku personalize ishu! Utumishi wa umma ukoje? Ukaguzi wa vyeti kwa watumishi wa umma unawahusu wakuu wa mikoa? Hayo ndio mambo mimi nimeona uyafahamu, kwangu makonda sio ishu, ishu na uelewa wako juu ya utumishi wa umma. Ungefahamu taratibu zilizvyo kwanza ndipo ungekuwa na uwanja mpana wa kujadili au kukiwasilisha hicho ulichotaka kukiwakilisha. Kuwakilisha jambo ambalo hulifahamu sawasawa si vyema, pengine ulikuwa na mawazo mazuri lakini kwa kuwa hufahamu vitu fulani fulani basi uwasilishaji wako ukavizwa. Makonda ni muda tu, nae atapita lakini taratibu zetu za kuongoza nchi zikoje basi? Zina ubora na uimara kiasi gani? Je kwanza tunazifahamu uzuri?
 
CDM wanafiki sana, kwa Mbowe walisema cheti sio inshu sasa hivi na wao wameshapiga gia ya angani, bwana Meya anza kuomba cheti cha Mwenyekiti wako Mbowe usilete unafiki hapa.
 
Mwandishi anahitaji darasa la Uandishi...kama ni kiongozi basi ni mtihani.
 
Shule ina faida nyingi sana, makonda angekuwa/angetumia akili kidogo kama mkuu wa mkoa, haya yote yasingemkuta
Nimesikitishwa sana na ukilaza wa huyu ndugu, kweli ccm wametuchoka, makonda kuwa mkuu wa mkoa
Mtu anaepata division zero hivi ndio viwango vyake, dharau, kiburi, majivuno nk usitegemee mtu anaeshindwa kupata D hata 3 anaweza kutumia akili. Akili alizonazo ni za kuvukia barabara na si za kuishi na watu, wafanyakazi, nk.
 
Kulikuwa na haja gani kuverify vyeti na kufukuza watu kumbe wapo watu wenye vyeti feki wamekaa offisini???? basi wote warudishwe kazini tuanze moja

Bado huelewi. Muhasibu wa wilaya ni lazima awe mtaalamu wa fani hiyo. Hali kadhalika wafanyakazi wa kada nyingine. Mkuu wa Mkoa akijua kusoma na kuandika inatosha. Mkuu wa Mkoa hateuliwi kwa kuangalia vyeti. Paul Makonda aliyeteuliwa anafahamika unless huyo mwingine aje adai ni yeye kateuliwa. Sasa shida iko wapi? Kilichomuweka pale si cheti bali ni personality yake ambao wewe na mimi tunaijua na hata mahakamani wanaifahamu hiyo na ndio maana walipoenda kumshitaka summons alipelekewa yeye. Rais alimteua yeye hata kama ni bashite lakini ni yeye, mtu mwenye maamuzi na maono kama yale. Makonda si muajiriwa wa serikali
 
Kukata mzizi wa fitina Makonda itisha mkutano na waandishi wa habari kama kawaida yako elezea elimu yako.

Tusiwe wanafiki na double standard, rais alishasema hata kama Mama Jessica anahusishwa na tuhuma lakini achanguzwe.

Kuita masheikh na kuanguka mwenye miguu ya Pengo nadhani haina uhusiano wowote na vyeti.

Fanya hivyo Mkuu wetu wa Mkoa.
Thubutuuu! as per Gwajima hata darasa la nne alifeli! Failure wa STD 4 si anakuwa hajui kusoma!!!
 
Kulikuwa na haja gani kuverify vyeti na kufukuza watu kumbe wapo watu wenye vyeti feki wamekaa offisini???? basi wote warudishwe kazini tuanze moja
Wanawaonea Manesi na Walimu kama Makonda ataendelea kuwa ofisini na wao warudi watu wamekimbia hadi familia zao kwa ajili ya vyeti. Watanzania tuungane kwa hili baba zetu na mama zetu wanadhalilishwa lakini kuna mjanja mmoja amekalia kiti kisichokuwa chake anafumbiwa macho.
 
Back
Top Bottom