Ama kweli,nimejifunza kila unachopanda utakuja kuvuna
Bashite skillfully and cunningly managed to full the President!
Ama kweli,nimejifunza kila unachopanda utakuja kuvuna
Aiseeeee siji kuanzisha ugomvi wa mawe wakati najua naishi katika nyumba ya vioo, dah najaribu kuwaza hapa ikitokea katumbuliwa (Japo siombei iwe hivyo) ina mana atarudi uswahilini kuishi na aliokuwa anawadharau, je masheikh watamnyenyekea tena? GSM wataendelea kumpa ufadhili?? ulinzi alionao sa hivi ataendelea kuwa nao?? kama ameweza kuwatuhumu marafiki zake hadharani bila ushahidi je atakua rafiki wa nani??
Tatizo la kisheria ni kwamba kasoma masomo ya juu bila kuwa na sifa. Ni hilo tu. Matokeo yake ya kidato cha nne Kama Bashite hayampi fursa ya kusomea yale aliyosomea. Kwa hiyo vyeti vinavyofuatia hata kama ni vyake ni batiri.
kwamba pasco ndo reference yako,kwamba mtumishi wa umma anaeteuliwa na rais anatumia standard order tofauti na watumishi wengine? Kigezo cha kwanza Tanzania cha mtu kuwa mtumishi wa umma ni elimu ya kidato cha NNE,kama makonda hana,basi hana budi kumsaidia kazi rais wetu kwa kujiuzuru mwrnyewe