OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,698
Yaani meya anamzingua mkuu wa mkoa wake,kweli ukiwa na vyeti feki unanyanyasika
adam mchomvu ndio kwanza anamsema " DAUDI................DAUDI WA KOTA"clouds nawao kimya hata hawamsaidii boss wao
Kama namuona Masoud KP. Anataka kuchora lakini kibarua kinam'banaclouds nawao kimya hata hawamsaidii boss wao
Nilijua tu kwambwembwe zile bichwa zero ...Bashite anajiona mungu mtu wa dar es salaam, wakati sisi wananchi tunamuona kama Kijana wa Vyeti feki ambavyo hataki kukanusha au kuthibitisha
Mkuu tembeza tu bakuli tutakuchangia mi nitakuchangia tsh laki 5 naamini tupo wengi tutakaokuchangia it is a good ideaNingekuwa na fedha za kuchezea,ningeweza kulipia milioni kumi na kuchongesha number plate yenye jina BASHITE halafu nibandike kwenye gari langu
Okay....u r right what about the other......Sidhani kama ni busara kwa meya kuandika haya.Yeye ni.kiongozi alipaswa kutofanya siasa kwenye japo hili.Japo napingana sana na vyeti fake,ila sioni ni busara kwa meya kuandika haya
siasa inafanywa ktk madawa ya kulevya sembuse vyeti feki?Sidhani kama ni busara kwa meya kuandika haya.Yeye ni.kiongozi alipaswa kutofanya siasa kwenye japo hili.Japo napingana sana na vyeti fake,ila sioni ni busara kwa meya kuandika haya