Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,819
- 2,942
Kiongozi lazima mkemeane pia kwa maandishi ama maneno. Mbona Daudi Bashite alimkemea yule mama afisa ardhi alikemewa na makondakita tena hadharani?? Watu wanaona wanayatunza moyoni tuu ndio mlipuko ushatokea tayariKama kweli Boni ameandika haya basi kumbe kijana bado, bado hajaiva kabisaaaa. Meya wa ubungo hakutakiwa kuingia katika siasa za namna hii. Duh, sijui, sijui labda kama hakuna maelekezo ya namna ya kuishi na kutenda ukiwa na wadhifa ndani ya chama.