Juzi nilikuwa nasoma article moja nikakutana
na msemo wa kiarabu.......
Al funuuni majuununi.....
Maana yake kila mwendawazimu ana fani yake...
Imenifanya niwe nina kiu ya kujua zaidi methali na misemo ya kiarabu..
Anaejua zaidi aweke hapa...
yess...