Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 249
Lila na fila havichangamani
nimeipenda hii mkuu.Fikra sahihi huja kwa lugha sahihi
Una maana gani mkuu.kiswahili si lugha ya mtanzania,wenye lugha hii wapo wengi
2. Michezo ya bata kuku haiwezi
3. Mganga haagizi samaki
kiswahili ni muunganiko wa lugha kadha,na kinatofautiana kutokana na mahaliUna maana gani mkuu.
msemo au methalimh!!!