109: Ubora wa SIMU chaji sio salio wala hadhi yake 110: Kila chaja ina simu yake; si kila chaja inachaji simu yeyote 111: Udogo wa umbo si hoja; hoja ni namna ya kulitumia hilo umbo
Ni methali nzuri sana, maana unaweza kutumia shillingi 250 kutoka posta mpaka ubungo kwa mudas wa dakika 15, kama ungeamua kuchukua tax ungeweza kutumia sh.15000, kwa muda huo huo, sasa ndugu hujaona uzuri wa daladala?