Silaha ya refa mechi za mchangani ni MBIO
kuzikwa kwa kwa mjadala wa Richmond...........kuzaliwa upya kwa Edu
hayo umeyasema wewe.hizi mthali zina ridhaa ya BAKITA?
hayo umeyasema wewe.
bakita imelala, tunajaribu kuiamsha.
hizi mthali zina ridhaa ya BAKITA?
mi naamini wahenga walimaliza kesi. Haya mengine ni misemo tu, au unasemaje
Itakuwa hivi:
Wahenga walisema "The only problem with Africans is implementation and maintenance"
lete mingine ili uibuke muhenga 'nguli'!lol
Biakama?
Binti Maringo au Penny01 kwa jina la zamani ndio wewe hapo kwenye avatar yako au? LOL! Let us know our in law please manake he's enjoying