Kwa hiyo wewe una kibamia?
Labda baada ya kuzaa njia imepanuka anataka ze mandingo ya zamani, chunga sana bro. Haiwezekani akueleze from nowhere
Hapo ni male ego ya mshikaji(EX) kukuzidi size ama ni nini kwa mfano?
Ulikuwa hujui kwamba kuna binadamu wengine wanakuzidi? Focus on what you can control, achana na hivyo vitu ambavyo vipo tu, whether you like it or not. Love her, marry her and live happily.
Huyo dada na yeye hana busara kwani siri kama hiyo ina umuhimu gani kukuambia?
Au ni nini matumizi yake katika uhusiano wenu? Tena at the risk of hurting your feelings.
Yeye ameamua tu kunieleza eti ukweli kuhusu X-wake, eti niamini hawezi kurudiana nae.
Mpenzi wangu leo nimeona nitoe Siri yangu niliachana na mpenzi wangu wa zamani (Boyfriend )ukweli mimi na mpenzi wangu wa zamani tulipendana sana tena sana, alinionyesha upendo kama wewe, ukweli alikuwa na sifa zote kama wewe, isipokuwa katika mahusiano kuna kitu komoja kama sikuridhiana basi hili ndilo muhimu sana, ukweli mimi na yeye hatukuendana.
Kimaumbile mpenzi wangu wa zamani alikuwa na maumbile makubwa kwa hiyo kila tukikutana mimi nilikuwa napata maumivu sana mpaka nilikuwa napiga kelele yaani hata kama kuna watu nje wanasikia. ilinilazimu niende kwa kwa daktari mmoja, kabla sijaenda aliniomba nishike mimba nikakataa hapo ndipo ugomvi ulianzia kwani sikumwambia kama nilikuwa nasikia maumivu, Dakatari alinishauri nijaribu kwa mwanaume mwingine, ndiyo nikaja kwako. Hiyo ndiyo sababu ya kuachana na yeye baba na mpenzi wa zamani.
Dada huyu ni mpenzi wangu wa miaka 3, na tumepata mtoto tulipanga kuoana lkn maneno haya yananichoma sana, nataka kuachana nae, je ni sahihi? naombeni ushauri.
Ukitaka pressure na maumivu ya kichwa pitia JF MMU.
Hivi mmemuelewa mleta mada? mliomuelewa naomba mnitafsirie, maana pressure zimeshanipanada.
Ngoja nirudi jukwaa lisilo na ugonjwa moyo. Ntakuja baadae kuona kama mmenitafsiria.
Hilo jukwaa lako la siasa na hoja zako za kuyatetea majizi ndio umeona uko vizuri sana
Unamuacha wakati amekusifia jamani hapo sasa wewe unamatatizo.Mpenzi wangu leo nimeona nitoe Siri yangu niliachana na mpenzi wangu wa zamani (Boyfriend )ukweli mimi na mpenzi wangu wa zamani tulipendana sana tena sana, alinionyesha upendo kama wewe, ukweli alikuwa na sifa zote kama wewe, isipokuwa katika mahusiano kuna kitu komoja kama sikuridhiana basi hili ndilo muhimu sana, ukweli mimi na yeye hatukuendana.
Kimaumbile mpenzi wangu wa zamani alikuwa na maumbile makubwa kwa hiyo kila tukikutana mimi nilikuwa napata maumivu sana mpaka nilikuwa napiga kelele yaani hata kama kuna watu nje wanasikia. ilinilazimu niende kwa kwa daktari mmoja, kabla sijaenda aliniomba nishike mimba nikakataa hapo ndipo ugomvi ulianzia kwani sikumwambia kama nilikuwa nasikia maumivu, Dakatari alinishauri nijaribu kwa mwanaume mwingine, ndiyo nikaja kwako. Hiyo ndiyo sababu ya kuachana na yeye baba na mpenzi wa zamani.
Dada huyu ni mpenzi wangu wa miaka 3, na tumepata mtoto tulipanga kuoana lkn maneno haya yananichoma sana, nataka kuachana nae, je ni sahihi? naombeni ushauri.