Message ya msichana wangu hii hapa naombeni ushauri

Message ya msichana wangu hii hapa naombeni ushauri

Kwa hiyo wewe una kibamia?

Labda baada ya kuzaa njia imepanuka anataka ze mandingo ya zamani, chunga sana bro. Haiwezekani akueleze from nowhere

OOPS KWA MTAJI HUU CHUNGA SANAA HUENDA AMAKUMBUKA JITANGO NA KUMUUDA SASA NA AMEKINAI KIJI...

Niliwahi kumkuta akiwasiliana nae baada ya kuwa tumetofautiana kidogo akiwa na kachanga 2months.

ULIWAHI MKUTA siku usizowahi mkuta hata hatujui na wewe pia hujiu, HAPA pana ule ushairi wa Chungu Tamu ya mapenzi na bila ya suspects sijui haya nogii au ndio chachuu yake.
 


Dada huyu ni mpenzi wangu wa miaka 3, na tumepata mtoto tulipanga kuoana lkn maneno haya yananichoma sana, nataka kuachana nae, je ni sahihi? naombeni ushauri.


Wanaume!!!!
Ushamzalisha unatafuta visababu tu.
 
kazunguka saana mbuyu,kimakavu live anakwambia wewe ni kibamia na humfikishi popote,polee
 
Back
Top Bottom