Message ya msichana wangu hii hapa naombeni ushauri

Message ya msichana wangu hii hapa naombeni ushauri

MSHINO

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,069
Reaction score
713
Mpenzi wangu leo nimeona nitoe Siri yangu niliachana na mpenzi wangu wa zamani (Boyfriend )ukweli mimi na mpenzi wangu wa zamani tulipendana sana tena sana, alinionyesha upendo kama wewe, ukweli alikuwa na sifa zote kama wewe, isipokuwa katika mahusiano kuna kitu komoja kama sikuridhiana basi hili ndilo muhimu sana, ukweli mimi na yeye hatukuendana.

Kimaumbile mpenzi wangu wa zamani alikuwa na maumbile makubwa kwa hiyo kila tukikutana mimi nilikuwa napata maumivu sana mpaka nilikuwa napiga kelele yaani hata kama kuna watu nje wanasikia. ilinilazimu niende kwa kwa daktari mmoja, kabla sijaenda aliniomba nishike mimba nikakataa hapo ndipo ugomvi ulianzia kwani sikumwambia kama nilikuwa nasikia maumivu, Dakatari alinishauri nijaribu kwa mwanaume mwingine, ndiyo nikaja kwako. Hiyo ndiyo sababu ya kuachana na yeye baba na mpenzi wa zamani.

Dada huyu ni mpenzi wangu wa miaka 3, na tumepata mtoto tulipanga kuoana lkn maneno haya yananichoma sana, nataka kuachana nae, je ni sahihi? naombeni ushauri.
 
Yeye ameamua tu kukueleza haya au wewe ndio ulitaka kufahamu?
 
Sasa kosa nini hapo, kukueleza past yake, kuwa alikudanganya ni bikira au alikuwa kaja na nia ya kujaribu. Mbona mnachagua sana, mtu akiwa mkweli pia shida. Swali langu....kuna mapungufu yeyote katika mahusiano yenu kwa sasa, if no....dont let the past destroy your today happiness.
 
Yeye ameamua tu kukueleza haya au wewe ndio ulitaka kufahamu?


Yeye ameamua tu kunieleza eti ukweli kuhusu X-wake, eti niamini hawezi kurudiana nae.
 
We tulia..
Acha yaliyopita yapite..kakwambia huenda alikuwa yanamuumiza kifuani isiwe sababu ya kumuuacha other wise una sababu nyingine
 
Sasa kosa nini hapo, kukueleza past yake, kuwa alikudanganya ni bikira au alikuwa kaja na nia ya kujaribu. Mbona mnachagua sana, mtu akiwa mkweli pia shida. Swali langu....kuna mapungufu yeyote katika mahusiano yenu kwa sasa, if no....dont let the past destroy your today happiness.


Niliwahi kumkuta akiwasiliana na mtu lsiku za nyuma baada ya kufuatailia nikagundua alikuwa anawasiliana na huyu XX. nikataka kumwacha akaomba samahani. yakaisha.
 
Kwani umeshawahi kumshulu kuwa/kuendelea na uhusiano na huyo X?

Niliwahi kumkuta akiwasiliana nae baada ya kuwa tumetofautiana kidogo akiwa na kachanga 2months.
 
Niliwahi kumkuta akiwasiliana na mtu lsiku za nyuma baada ya kufuatailia nikagundua alikuwa anawasiliana na huyu XX. nikataka kumwacha akaomba samahani. yakaisha.

Kwa hiyo wewe una kibamia?

Labda baada ya kuzaa njia imepanuka anataka ze mandingo ya zamani, chunga sana bro. Haiwezekani akueleze from nowhere
 
ulimkuta bikra, na kama hukumkuta bikra uliwahi kujiuliza nani alianza naye?
Heri yule asiye na mashaka
 
madame b hebu kuja hapa si mnasema hauwapendi wenye vibamia muone mwanamke mwenzio anavyolia kwa muhogo wa jang'ombe aliokutana nao
 
Last edited by a moderator:
kama unamuacha, labda sababu ni kuhisi sio mwaminifu lakini suala la hayo aliyokwambia sio sababu, ila jamani wanaume wengine ving'ang'anizi hadi kero, unaweza kuta bidada kweli kaamua kuwa na wewe ila jamaa bado anampigia sim tu.
 
Machoona hapo mwana umechukia kwakuwa alikuwa anapitiwa na ndude kubwa uongo?sasa si kawaida tu
 
nakusikitikia na kukuonea huruma, wanawake hawa wana mabalaa yao
 
Niliwahi kumkuta akiwasiliana na mtu lsiku za nyuma baada ya kufuatailia nikagundua alikuwa anawasiliana na huyu XX. nikataka kumwacha akaomba samahani. yakaisha.

Then hapa mna matatizo....bado hajaamove on huyo. Zidi kufanya uchunguzi zaidi kabla ya kuendelea na ndoa....siwezi sema umwache kuna wengine ni wazungu wanakuwa platonic na ex wao. Kama mimi siwezi kuwa na urafiki na ex wangu, may be salamu nikikutana nae njiani, there is no happy ending kwenye relationship ambayo haikuwork out hata mtu akaendeleza urafiki wa kuendelea kuwasiliana nae.


Inawezekana kuna sababu zaidi ya hayo alojieleza sio maumbile kama anavyodai ndo ikamfanya aachane nae, labda huyo ex alicheat na sasa anajaribu kurudisha uhusiano wao. Fanya uchunguzi zaidi...mna mtoto.
 
Yeye ameamua tu kunieleza eti ukweli kuhusu X-wake, eti niamini hawezi kurudiana nae.

Hamna mwanamme mwenye maumbile makubwa wala hamna mwanamke mwenye maumbile madogo eti hadi awe analia wakati wa kugegedana!

Alichokuwa anakosea huyo X ni matayarisho duni na wala alikuwa hampi wet ya kutosha mke wako huyu!

Hata uwe na kibamia kama humtayarishi vyema napo kwako ataondoka sababu ya kumuumiza
 
Then hapa mna matatizo....bado hajaamove on huyo. Zidi kufanya uchunguzi zaidi kabla ya kuendelea na ndoa....siwezi sema umwache kuna wengine ni wazungu wanakuwa platonic na ex wao. Kama mimi siwezi kuwa na urafiki na ex wangu, may be salamu nikikutana nae njiani, there is no happy ending kwenye relationship ambayo haikuwork out hata mtu akaendeleza urafiki wa kuendelea kuwasiliana nae.



Inawezekana kuna sababu zaidi ya hayo alojieleza sio maumbile kama anavyodai ndo ikamfanya aachane nae, labda huyo ex alicheat na sasa anajaribu kurudisha uhusiano wao. Fanya uchunguzi zaidi...mna mtoto.

Thank you!
 
Then hapa mna matatizo....bado hajaamove on huyo. Zidi kufanya uchunguzi zaidi kabla ya kuendelea na ndoa....siwezi sema umwache kuna wengine ni wazungu wanakuwa platonic na ex wao. Kama mimi siwezi kuwa na urafiki na ex wangu, may be salamu nikikutana nae njiani, there is no happy ending kwenye relationship ambayo haikuwork out hata mtu akaendeleza urafiki wa kuendelea kuwasiliana nae.


Inawezekana kuna sababu zaidi ya hayo alojieleza sio maumbile kama anavyodai ndo ikamfanya aachane nae, labda huyo ex alicheat na sasa anajaribu kurudisha uhusiano wao. Fanya uchunguzi zaidi...mna mtoto.

Madame X umenena vema sana, afanye utafiti wa kina atajua yaliyomo, ukubwa wa ukuni sio tatizo kwa wanawake wengi, so sio sababu tosha iliyofanya amkimbie....na mawasiliano aliyoanzisha ni ya nini?
 
Back
Top Bottom