Niaje niaje humu ndani.
Kuna mtoto najaribu kumuweka sawa hapa kwa message yani sound linamuingia mpaka raha, maana anaelewa mno, face to face inakuwa ngumu kidogo si rahisi kudanganya lakini kwenye message unatiririka tu kama kawaida.
Na pia chance ya kuwa rejected ni chache sana maana unamwaga uongo wote kwa maandishi.
No offence just an opinion.
Kuna mtoto najaribu kumuweka sawa hapa kwa message yani sound linamuingia mpaka raha, maana anaelewa mno, face to face inakuwa ngumu kidogo si rahisi kudanganya lakini kwenye message unatiririka tu kama kawaida.
Na pia chance ya kuwa rejected ni chache sana maana unamwaga uongo wote kwa maandishi.
No offence just an opinion.