Mwambieni leo kuna PIPA lingine lina TOUCH DOWN.I wish you a merry christmas and a speedy revocery!
Ubarikiwe! Nakuachia Mungu mwenye uwezo akuhumu!Mwambieni leo kuna PIPA lingine lina TOUCH DOWN.
ila nashauri msimwambie maana hiyo speedy recovery inapungua.
Mungu wako ndio Mungu wangu ndio Mungu wa Lissu ndio Mungu wa JPM ndio Mungu wa Lipumba ndio Mungu wa Sugu ndio Mungu wa Mbowe ndio Mungu wa Simba ndio Mungu wa Nkana ndio Mungu wa nyoka ndio Mungu wa vibaka ndio Mungu wa majambazi ndio Mungu wa mazuri, vizuri na mabaya, hivyo acha kumchanganya Mungu.Ubarikiwe! Nakuachia Mungu mwenye uwezo akuhumu!
Ni bora kutembelea baiskeli nikawa huru, kuliko kuwa na vyote hivyo, huku ukiwa kama kuku wa kizungu.Mwambieni leo kuna PIPA lingine lina TOUCH DOWN.
ila nashauri msimwambie maana hiyo speedy recovery inapungua.
Namwambia Jiwe kuwa "THE EVILS THAT MEN DO LIVE AFTER THEM". Hili utalilipia huko kaburini utakakokuwa umelala! Mungu hatakuacha hivi hivi!Kwa mapenzi ya watu wasiopenda kukosolewa, leo ni Christmas ya pili, uko nje ya nchi bila hata unafki wa kukusaidia matibabu.
Merry Christmas TAL. Mungu mwema atakulipia
Mimi nimemaliza.Mungu wako ndio Mungu wangu ndio Mungu wa Lissu ndio Mungu wa JPM ndio Mungu wa Lipumba ndio Mungu wa Sugu ndio Mungu wa Mbowe ndio Mungu wa Simba ndio Mungu wa Nkana ndio Mungu wa nyoka ndio Mungu wa vibaka ndio Mungu wa majambazi ndio Mungu wa mazuri, vizuri na mabaya, hivyo acha kumchanganya Mungu.
Naomba ieleweke kuwa kw lissu maombi yangu yalijibiwa.paaaaaa.Namwambia Jiwe kuwa "THE EVILS THAT MEN DO LIVE AFTER THEM". Hili utalilipia huko kaburini utakakokuwa umelala! Mungu hatakuacha hivi hivi!
Ndio maana nimekwambi Mungu wako ndio Mungu wa jpm na wengine, usimchanganye akupendelee wewe na upande wako. Yuko neutral!Namwambia Jiwe kuwa "THE EVILS THAT MEN DO LIVE AFTER THEM". Hili utalilipia huko kaburini utakakokuwa umelala! Mungu hatakuacha hivi hivi!
Usukuma hauleti maendeleo wewe !! . Lissu anawazidi mara 100 sema nyie mnazo hizo bundukiNaomba ieleweke kuwa kw lissu maombi yangu yalijibiwa.paaaaaa.
Lissu The Great .I wish you a merry christmas and a speedy revocery!
Na wafungwa wote pia.. Hasa wa kisiasaI wish you a merry christmas and a speedy revocery!