Mbona ni mengi yamesemwa humu jamvini lakini hakuna kilichofanya na Serikali juu ya Meremeata,Tangold na Deep Green Finance.Nafikiri umefika wakati muafaka wa kuchukua hatua ili serikali ijue watanzania sasa wamenuia kuiadibisha kwa sababu wabunge tuliowatuma wamekwenda likizo.
Natumai tukijiunga na asasi zisizo za kiserikali na kuandamana nchi nzima kushinikiza waziri mkuu ajiuzuilu,mafisadi wa meremeta,tangold,deep green,mwananchi,kagoda wachukuliwe harua za kufikishwa mahakamani na pia kutaka mabadiliko ya msingi serikalini,hatua zitachukuliwa.Hivi tutaendelea kuongea mpaka lini si wataendelea kudharau kama vile Sumari alivyoonyesha dharau kwa Dr.Slaa.
Hima hatua zichukuliwe ili kuiadibisha serikali,vinginevyo ule msemo kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kupata usingizi zitakuwa za kweli.
Natumai tukijiunga na asasi zisizo za kiserikali na kuandamana nchi nzima kushinikiza waziri mkuu ajiuzuilu,mafisadi wa meremeta,tangold,deep green,mwananchi,kagoda wachukuliwe harua za kufikishwa mahakamani na pia kutaka mabadiliko ya msingi serikalini,hatua zitachukuliwa.Hivi tutaendelea kuongea mpaka lini si wataendelea kudharau kama vile Sumari alivyoonyesha dharau kwa Dr.Slaa.
Hima hatua zichukuliwe ili kuiadibisha serikali,vinginevyo ule msemo kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kupata usingizi zitakuwa za kweli.