Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Bhagosha wane,
Ivi kweli viongozi wetu wafanyapo mambo na waamuapo wao na kutoa hoja zao hufilia alama za nyakati au? au wanajua siku mambo yakija haribika wao watakuwa wameisha kufa ivyo izo hukumu au lawama zita waangukia vizazi vijavyo?? wajue haya mambo huwa yana mwisho na yatawafikisha watu kwenye kiti cha hukumu siku moja hata kama watakuwa na miaka 70 na kuendelea siku izo haita jarisha ati ni fulani ndio alito yale maamuzi ila nawe ulikuwepo kwa lile jopo tuwe makini sana ipo siku itakuwa Tanzania sio ya wadanganyika tena.
Pili
Ivi kweli hawa viongozi wetu wanadhani kuwa sisi hatujui? kuwa wao wanajua wakisemacho wananchi wanakijua fika, nikiburi kimewajaa kuwa wanajua fika twaelewa yote. wataka kuniambia hii nchi haina hivi vitengo?
DHS (Department Of Defense and Homeland Security)
DOJ (Department Of Justice)
DOD (Department Of Defense)
Nikuwa serikali inavuruga mambo hapo na isisingizie ati usalama wa taifa, mbona huko Ughaibuni Security Agency zikichemsha viongozi wanawajibika na kujiuzulu juu kwa utumiaji mbovu wa fedha za walipa kodi na uongozi mbovu iweje hata kwetu wanajifanya wao wanajua Usalama wa taifa wakati, Crime scene nchii zimejaaa kupita kiasi na police ndio hao huwasili kwenye maeneo ya matukio baada ya masaa 2 au 3 eg majuzi kule Mwanza Igoma wezi wameteka mtaa 30mins na police wakaja after 2 hours na Dar huko masaki jana police wamefika after 3hours jamani huo usalama tunao utetea ni upi?? nkwanza ndani ya nchi yako i mean homeland security tu ku i handle ni kazi iwe iyo ya DOD itakuwaje sasa?
inauma sana jamani watu kukubali wazi wazi pesa za walipakodi kutojadiliwa na kuwekwa bayana. na je CAG wakikuta uozo humo ndani nani aadhibiwe? au na report haitatolewa itawekwa kapuni basi wasinge itanga iyo issue nzima na wakaifanya basi kiusalama kimya kimya kama ni wakati wa uwazi hata swala la pesa budget yao nayo yakuficha??
tukutane 2010. kwa mnao tetea majimbo yenu.
Ivi kweli viongozi wetu wafanyapo mambo na waamuapo wao na kutoa hoja zao hufilia alama za nyakati au? au wanajua siku mambo yakija haribika wao watakuwa wameisha kufa ivyo izo hukumu au lawama zita waangukia vizazi vijavyo?? wajue haya mambo huwa yana mwisho na yatawafikisha watu kwenye kiti cha hukumu siku moja hata kama watakuwa na miaka 70 na kuendelea siku izo haita jarisha ati ni fulani ndio alito yale maamuzi ila nawe ulikuwepo kwa lile jopo tuwe makini sana ipo siku itakuwa Tanzania sio ya wadanganyika tena.
Pili
Ivi kweli hawa viongozi wetu wanadhani kuwa sisi hatujui? kuwa wao wanajua wakisemacho wananchi wanakijua fika, nikiburi kimewajaa kuwa wanajua fika twaelewa yote. wataka kuniambia hii nchi haina hivi vitengo?
DHS (Department Of Defense and Homeland Security)
DOJ (Department Of Justice)
DOD (Department Of Defense)
Nikuwa serikali inavuruga mambo hapo na isisingizie ati usalama wa taifa, mbona huko Ughaibuni Security Agency zikichemsha viongozi wanawajibika na kujiuzulu juu kwa utumiaji mbovu wa fedha za walipa kodi na uongozi mbovu iweje hata kwetu wanajifanya wao wanajua Usalama wa taifa wakati, Crime scene nchii zimejaaa kupita kiasi na police ndio hao huwasili kwenye maeneo ya matukio baada ya masaa 2 au 3 eg majuzi kule Mwanza Igoma wezi wameteka mtaa 30mins na police wakaja after 2 hours na Dar huko masaki jana police wamefika after 3hours jamani huo usalama tunao utetea ni upi?? nkwanza ndani ya nchi yako i mean homeland security tu ku i handle ni kazi iwe iyo ya DOD itakuwaje sasa?
inauma sana jamani watu kukubali wazi wazi pesa za walipakodi kutojadiliwa na kuwekwa bayana. na je CAG wakikuta uozo humo ndani nani aadhibiwe? au na report haitatolewa itawekwa kapuni basi wasinge itanga iyo issue nzima na wakaifanya basi kiusalama kimya kimya kama ni wakati wa uwazi hata swala la pesa budget yao nayo yakuficha??
tukutane 2010. kwa mnao tetea majimbo yenu.