Men's Talk...!!!!!

Men's Talk...!!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
Salam wakuu,
As the title of the top clearly describes itself above, this thread is about us men. Let's share the things ambavyo vinakera ambavyo perhaps umeshawahi kukutana navyo katika mahusiano au umeshuhudia mtu wako wa karibu akifanyiwa ambacho ni kero. As for me, hakuna tabia inayonikera kama ya baadhi ya wanawake kutokua na usiri wa baadhi ya vitu ambvyo vinginevyo ni more private. Forinstance, unakuta mtu una gf wako mnapendana tu fresh lakini kila kitu mnachofanya yaani lazima akawahadithie mashoga zake. Saa zingine mpaka conversation zenu kwa texts anawaonesha wenzake au sometimes anaweza akakuweka kwenye loudspeaker (shit!) Wenzake wakawa wanakuchora. Mimi iliwahi kunitokea nadhani na chat na gf wangu kumpe kampa rafiki yake simu ndo anajibu texts zangu ila baadae nikashtukia chezo kwani kuna baadhi ya vijineno (like code words) ambavyo tulikua lazima tuviongee wakati tunachat hakuweza kuvitambua. Kwa kweli hii ni kero yangu kubwa katika mahusiano, na kero nyingine pia ni kitendo cha wakati mwingine kuingizia story za ex wake (wtf?) Katikati ya maongezi kitu ambacho kinakupa karaha sana. Yeye anadai walisha achana usijali lakini bado ni marafiki (I take this as a dormant volcano kwamba its not dead but rather inaweza one day ikaja ika erupt). Pia kuna swala la kupenda kwenda sawa na marafiki, kuna baadhi ya wanawake wanatabia ya kupenda kushindana na wenzao in terms of dressing, cellphones, bata etc. Ukijaribu kumueleza hali halisi ya baba wa taifa mifukoni kwamba anapumulia oxygen machines inakua ugomvi, viburi vinaanza etc. Je, wewe ume encounter kero gani katika mahusiano?
 
Salam wakuu,
As the title of the top clearly describes itself above, this thread is about us men. Let's share the things ambavyo vinakera ambavyo perhaps umeshawahi kukutana navyo katika mahusiano au umeshuhudia mtu wako wa karibu akifanyiwa ambacho ni kero. As for me, hakuna tabia inayonikera kama ya baadhi ya wanawake kutokua na usiri wa baadhi ya vitu ambvyo vinginevyo ni more private. Forinstance, unakuta mtu una gf wako mnapendana tu fresh lakini kila kitu mnachofanya yaani lazima akawahadithie mashoga zake. Saa zingine mpaka conversation zenu kwa texts anawaonesha wenzake au sometimes anaweza akakuweka kwenye loudspeaker (shit!) Wenzake wakawa wanakuchora. Mimi iliwahi kunitokea nadhani na chat na gf wangu kumpe kampa rafiki yake simu ndo anajibu texts zangu ila baadae nikashtukia chezo kwani kuna baadhi ya vijineno (like code words) ambavyo tulikua lazima tuviongee wakati tunachat hakuweza kuvitambua. Kwa kweli hii ni kero yangu kubwa katika mahusiano, na kero nyingine pia ni kitendo cha wakati mwingine kuingizia story za ex wake (wtf?) Katikati ya maongezi kitu ambacho kinakupa karaha sana. Yeye anadai walisha achana usijali lakini bado ni marafiki (I take this as a dormant volcano kwamba its not dead but rather inaweza one day ikaja ika erupt). Pia kuna swala la kupenda kwenda sawa na marafiki, kuna baadhi ya wanawake wanatabia ya kupenda kushindana na wenzao in terms of dressing, cellphones, bata etc. Ukijaribu kumueleza hali halisi ya baba wa taifa mifukoni kwamba anapumulia oxygen machines inakua ugomvi, viburi vinaanza etc. Je, wewe ume encounter kero gani katika mahusiano?

1. Kutaka yeye achukuwe nafasi ya mama mzazi, ndugu, marafiki etc etc yaani utafikiri alikukuta peke yako duniani kwamba huna unayemfahamu zaidi yake
2. Utakuta kipato kinajulikana, na vya kununua vinajulikana, lakini yeye atataka mkae kikao mjadili kununua mchele, sijui gesi, DSTV, unga, etc (wakati inajulikana huwa mnanunuaje).
3. Hela zako ni zenu, lakini hela zake ni zake... Yaani ikitokea kanunua kitu home, ujuwe umekopeshwa hicho, lazima uje ulipe...
 
Ukitaka kwenda sawa na mwanamke usimwambie vitu vyako NA epuka kuwasiliana nae mara kwa mara kupitia sim za mkononi unless kuwe na kitu cha ulazima hayo yote utayakwepa. Mwache awe anakutafuta pia use unajua muda wa kuchat nae ukiona anaanza kuchat mapenz wakati wa kazi ujue huko na wenzake anataka kukuchota we mjibu sms moja tu nipo busy tutachat baadae.
 

1. Kutaka yeye achukuwe nafasi ya mama mzazi, ndugu, marafiki etc etc yaani utafikiri alikukuta peke yako duniani kwamba huna unayemfahamu zaidi yake
2. Utakuta kipato kinajulikana, na vya kununua vinajulikana, lakini yeye atataka mkae kikao mjadili kununua mchele, sijui gesi, DSTV, unga, etc (wakati inajulikana huwa mnanunuaje).
3. Hela zako ni zenu, lakini hela zake ni zake... Yaani ikitokea kanunua kitu home, ujuwe umekopeshwa hicho, lazima uje ulipe...

Mkuu ni kama umemaliza kabisa. Kuna wanawake wengine wana roho mbaya, hata kwenye nyumba ndugu zako wakija anakua anachukia ila wakija ndugu zake yeye sasa, wewe huongei kitu. Na ishu ya mpunga ni kweli kabisa mkuu ulivyonena, pesa zako lazima atataka mwende sawa lakini zake sasa, inakua vita!
 
ukiwa na rafiki wa kike ambaye alishakuwa na mahusiano ujue huyo ni mpenzi wa mtu mwenyewe siku akitaka atakula tu!
 
Ukitaka kwenda sawa na mwanamke usimwambie vitu vyako NA epuka kuwasiliana nae mara kwa mara kupitia sim za mkononi unless kuwe na kitu cha ulazima hayo yote utayakwepa. Mwache awe anakutafuta pia use unajua muda wa kuchat nae ukiona anaanza kuchat mapenz wakati wa kazi ujue huko na wenzake anataka kukuchota we mjibu sms moja tu nipo busy tutachat baadae.

True...!!!
 
unajua mwanamke akikupenda anakupenda kweli tofauti na sisi wanaume macho juu!unaweza ukawa na wanawake watatu kila mmoja unamwahidi ndoa mwisho wa siku unaokota mmoja tu,sasa historia inaonyesha mwanamke huachwa ila yeye haachi so unakuta wengi wanaachwa wakiwa bado na mapenzi mazito na hao waachaji,so ukijikuta umeokota mtu ameachwa akiwa bado na penzi zito na huyo aliyemuacha ujue umeliwa siku wakikutana akikumbushia kidogo tu mambo yanaharibika...Kazi kwetu.
 
Ukitaka kwenda sawa na mwanamke usimwambie vitu vyako NA epuka kuwasiliana nae mara kwa mara kupitia sim za mkononi unless kuwe na kitu cha ulazima hayo yote utayakwepa. Mwache awe anakutafuta pia use unajua muda wa kuchat nae ukiona anaanza kuchat mapenz wakati wa kazi ujue huko na wenzake anataka kukuchota we mjibu sms moja tu nipo busy tutachat baadae.


mimi mwanamke jamani, sorry nimeingilia mada yenu.

ila kaka upo sahihi, mie mwenyewe sipendi mwanaume ambaye yupo tayari kuchart na mimi all the time, kwanza nitamdharau na kumuona hana shughuli nyeti za kufanya.
 
unajua mwanamke akikupenda anakupenda kweli tofauti na sisi wanaume macho juu!unaweza ukawa na wanawake watatu kila mmoja unamwahidi ndoa mwisho wa siku unaokota mmoja tu,sasa historia inaonyesha mwanamke huachwa ila yeye haachi so unakuta wengi wanaachwa wakiwa bado na mapenzi mazito na hao waachaji,so ukijikuta umeokota mtu ameachwa akiwa bado na penzi zito na huyo aliyemuacha ujue umeliwa siku wakikutana akikumbushia kidogo tu mambo yanaharibika...Kazi kwetu.

Ahsante sana! Ndiyo maana msemakweli! Ahsante kwa compliment ya wanawake kuwa na mapenzi ya kweli!
 
Kama wanawake wabaya hivi, si muoe wanamme? Khah, mtuwache tupumue na uji.nga wetu.
Nyie tunawagegeda tu hatuwaoi...
Eti utakuta mwanamke anapotaka kuolewa utamsikia... ALL MEN ARE THE SAME, NI KAMA WAMEZALIWA NA MAMA MMOJA.... lakini still yet wanahangaika kuchagua Mr perfect..

 
Hali ya baba wa taifa mbaya anapumulia machine ,pesa mbele kama tai
 

1. Kutaka yeye achukuwe nafasi ya mama mzazi, ndugu, marafiki etc etc yaani utafikiri alikukuta peke yako duniani kwamba huna unayemfahamu zaidi yake
2. Utakuta kipato kinajulikana, na vya kununua vinajulikana, lakini yeye atataka mkae kikao mjadili kununua mchele, sijui gesi, DSTV, unga, etc (wakati inajulikana huwa mnanunuaje).
3. Hela zako ni zenu, lakini hela zake ni zake... Yaani ikitokea kanunua kitu home, ujuwe umekopeshwa hicho, lazima uje ulipe...

Hapo bold hela zake ni za kununua kiwanja na kujenga kwa siri eti anajiandaa kwa maisha ya kujitegemea.....Ujinga mtupu tena wanaume wengi wana huu msiba, wewe unapambana na familia mwenzio anapambana kutafuta rasilimali zake.....Kuna wanawake wabinafsi sana na nashangaa hili kundi linakuwa siku hadi siku....Wanadanganywa na Joyce Kiria huku yeye ametulia na kuheshimu ndoa yake kama mwanamke na sio mwanamme.
 
unajua mwanamke akikupenda anakupenda kweli tofauti na sisi wanaume macho juu!unaweza ukawa na wanawake watatu kila mmoja unamwahidi ndoa mwisho wa siku unaokota mmoja tu,sasa historia inaonyesha mwanamke huachwa ila yeye haachi so unakuta wengi wanaachwa wakiwa bado na mapenzi mazito na hao waachaji,so ukijikuta umeokota mtu ameachwa akiwa bado na penzi zito na huyo aliyemuacha ujue umeliwa siku wakikutana akikumbushia kidogo tu mambo yanaharibika...Kazi kwetu.
Ilikuwa zamani ndugu yangu wa sasa hivi ni kama wanaume uliosema hapo juu, wanawapanga wanaume hata sita na wote wanategemea kumwoa...Hushangai yule mkenya aliyeamua kuolewa na wanaume wawili??????????
 
Hapo bold hela zake ni za kununua kiwanja na kujenga kwa siri eti anajiandaa kwa maisha ya kujitegemea.....Ujinga mtupu tena wanaume wengi wana huu msiba, wewe unapambana na familia mwenzio anapambana kutafuta rasilimali zake.....Kuna wanawake wabinafsi sana na nashangaa hili kundi linakuwa siku hadi siku....Wanadanganywa na Joyce Kiria huku yeye ametulia na kuheshimu ndoa yake kama mwanamke na sio mwanamme.
Tena hapo kwenye kujiandaa na maisha ya baada ya kuachana wapo wengi saaanaaa... Yaani mtu yupo ndani ya ndoa halafu anajiandaa kuacha, yaani utafikiri ameajiliwa halafu anajiandaa kuacha kazi... KAAAZZIIII KWELI KWELI..

 
Back
Top Bottom