Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Mar 24, 2012 #3 Hizi ndio suti bwana. Sio mtu unavaa suti lenye koti refu kama gauni bwana.
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Mar 24, 2012 #6 Hazina tofauti na za kizamani, ni fashen zinazokwenda na kurudi, ila hao wavaaji wa leo ndio nnawaona wana tofauti, wana pozi kama ma demu.
Hazina tofauti na za kizamani, ni fashen zinazokwenda na kurudi, ila hao wavaaji wa leo ndio nnawaona wana tofauti, wana pozi kama ma demu.
Maverick JF-Expert Member May 29, 2008 308 11 Mar 24, 2012 #8 Suti hizi zinapatikana wapi? Ningependa kununua