Mengi: Manji anatoa wapi kiburi na ujasiri?

Huyu Mengi naye ni mtu anayependa Public Sympath. Anataka tumwone kwamba kila anachofanya yeyeni sawa tu, akifanyiwa yeye kidogo antuonesha kwenye media zake kwamba kaonewa. Huu ni upuuzi kabisa
 
Mengi hana haja ya kujibisha na kijana ambaye ni sawa na mtoto wake aachane nae ila kama anajua watu wanaompa jeuri hiyo aweke wazi ili tujue kama ana ubia na plot no 1 pale ferry.
 
Huyu Mengi naye ni mtu anayependa Public Sympath. Anataka tumwone kwamba kila anachofanya yeyeni sawa tu, akifanyiwa yeye kidogo antuonesha kwenye media zake kwamba kaonewa. Huu ni upuuzi kabisa

Kipi ni upuuzi? Gembe aliuliza haya:


Wakuu habari za leo,
Jana Baada ya kutolewa kwa shauri kati ya madai ya Manji kukashifiwa na ITV katika moja ya taarifa zake za habari,ila ITV wameshinda kwa kutokuonekana na hatia yoyote kutokana na shauri hilo.
Baada ya Kutoka ndani ,Mzee mengi akihojiwa na waandishi wa habari,aliiuliza watanzania,Hiki Kiburi na ujasiri aliona Manji nani anampa?Mzee mengi alisema “antoka wapi nguvu hizi?”.hii ni baada ya Manji kukosekana pale katika siku ya kutoa maamuzi ,hii mzee Mengi aliona kama ni dharau kubwa kwake.Manji aliwakilishwa na wakili wake.

Najua mna mambo mengi ila naomba tujibu swali la Mzee Mengi,Je Manji anatoa wapi kiburi cha na namna hii na ujasiri mkubwa kiasi hiki??nani anampa?nani yuko juu yake??
Huu ndio ulikuwa mjadala.



Na haya ndio mambo yanayotia kichefuchefu
Luteni Makamba ammiminia mabusu mfadhili wa miradi
2005-07-21 14:57:21
Na Maabad Msuya, Temeke

Baada ya kushindwa kujizuia kuonyesha furaha yake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Luteni Yusuph Makamba, amejikuta akimfagilia mfadhili wa miradi mbalimbali wilayani Temeke Bwana Yusuph Manji na kumtaka agombee ubunge wa jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya CCM.

Kama vile haitoshi Mkuu huyo wa Mkoa kwa kuonyesha ni jinsi gani alivyovutiwa na kufurahishwa na ufadhili huo, aliamua kumpa mabusu Bw. Manji kama ishara ya shukrani na furaha.

Luteni Makamba ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo, baada ya kuvutiwa na mwamko wa wakazi wa eneo hilo, naye ameahidi kuchangia Sh. milioni 1.5, kati ya hizo, milioni moja ikitoka mfukoni mwake na laki tano kwenye mfuko wa ofisi yake.

’Kusema kweli umenifurahisha sana na ili kukuonyesha ni jinsi gani umenifurahisha nakuomba usogee tena hapa karibu yangu ili nikupe busu la furaha,’ akasema Mkuu huyo wa Mkoa na kisha akaanza kumimina mabusu mfululizo.

Source: Alasiri



.
 
ila bado tunajiuliza nani anayempa kiburi Manji,Je ni huyu aliyempiga Mabusu tu au kuna Mwingine juu ya mengi.

Na hii tabia ya Mzee Mengi kulia lia kama mtoto ameitoa wapi,kama anaona anaonewa kwanini asiwataje hao ambao wanampa kiburi Huyu kijana kuliko kutoa Speculation tu ?

Kweli ndugu yangu. Huyu kaka mengi ananishangaza yeye ana vyombo vya habari tena vilivyokubuhu katika kupata taarifa, sasa anaogopa nini kuwataja hao wanaompa kiburi mla dengu manji. Kila kukicha analia tu. AONGEE BWANA. Naona hana mshauri siku hizi angalau wakati wa Mkewe Mercy alikuwa anamshauri, sasa kaenda kwa Rita oops Rita kapuni, naambiwa ana kimwana mdogoo ( GD ) atamshauri nini? ukiwa na dogodogo na wewe unakuwa dogo unaishia kulia
 
Kawaida..tu!!...Nafikiri Ni Muoga tu...Ndio maana Hakuja..
Mzee Mengi endelea na kazi zako!!....Achana naye...
Mengi na Manji wote ni wana Yanga hao wanapigana vita ya uongozi, inaelekea Mengi alibwagwa......
 
Wakuu habari za leo,

Jana Baada ya kutolewa kwa shauri kati ya madai ya Manji kukashifiwa na ITV katika moja ya taarifa zake za habari, ila ITV wameshinda kwa kutokuonekana na hatia yoyote kutokana na shauri hilo.

Baada ya Kutoka ndani ,Mzee mengi akihojiwa na waandishi wa habari, aliuliza watanzania, ''Hiki Kiburi na ujasiri alionao Manji nani anampa? Mzee mengi alisema “anatoa wapi nguvu hizi?” Hii ni baada ya Manji kukosekana pale katika siku ya kutoa maamuzi. Hii mzee Mengi aliona kama ni dharau kubwa kwake. Manji aliwakilishwa na wakili wake.

Najua mna mambo mengi ila naomba tujibu swali la Mzee Mengi, Je Manji anatoa wapi kiburi cha na namna hii na ujasiri mkubwa kiasi hiki?? Nani anampa? Nani yuko juu yake?
Mkuu Gembe, ile ni kesi ya madai, ukiishatuma wakili wako, huna tena haja ya wewe kuwepo mahakamani!, kesi ambazo mhusika lazima awepo mahakamani ni kesi za jinai!.

Pasco
 
Wakuu habari za leo,

Jana Baada ya kutolewa kwa shauri kati ya madai ya Manji kukashifiwa na ITV katika moja ya taarifa zake za habari, ila ITV wameshinda kwa kutokuonekana na hatia yoyote kutokana na shauri hilo.

Baada ya Kutoka ndani ,Mzee mengi akihojiwa na waandishi wa habari, aliuliza watanzania, ''Hiki Kiburi na ujasiri alionao Manji nani anampa? Mzee mengi alisema “anatoa wapi nguvu hizi?” Hii ni baada ya Manji kukosekana pale katika siku ya kutoa maamuzi. Hii mzee Mengi aliona kama ni dharau kubwa kwake. Manji aliwakilishwa na wakili wake.

Najua mna mambo mengi ila naomba tujibu swali la Mzee Mengi, Je Manji anatoa wapi kiburi cha na namna hii na ujasiri mkubwa kiasi hiki?? Nani anampa? Nani yuko juu yake?
si ilikuwa kesi ya madai? si lazima awepo mahakamani kwani wakili wake yupo
 
Kawaida..tu!!...Nafikiri Ni Muoga tu...Ndio maana Hakuja..
Mzee Mengi endelea na kazi zako!!....Achana naye...
Mzee huyu anataka huruma ya wananchi wote ni wale.wale Maji na Megi mnatubore au mmenyanganyana mademu ?
 
Waheshimiwa sana heshima yenu.

Ninajua mjadala huu wa Kiburi cha Manji ni muhimu sana ingawaje sioni ni kwa jinsi gani wanaJF watajikuta wakishiriki kwa pamoja na kwa wingi zaidi ili kinachosababisha tatizo katika kiburi chake kiweze kung'olewa.

Ninakumbuka enzi za mvutano mkubwa baina ya hawa watu wawili Manji na Mengi kuhusu vyombo vya IPP Media kuandika kuhusu ufisadi wa huyo mkubwa kwenye mikataba ya vichekesho iliyowagharimu wafanyakazi wa Tanzania wanaochangia mifuko ya PSPF na NSSF.

Hasira ya Manji dhidi ya Mengi ilikuwa kwa nini vyombo vyake vilithubutu kuandika habari iliyohusu dhuluma na ufisadi ambao alikuwa akiifanyia nchi ya Tanzania.

Ninakumbuka hata pale alipojikuta kwenye hoja nyingine ya aina yake iliyomhusisha Mengi huyo huyo na Mhe. Adam Malima mbunge wa Mkuranga. Kulitokea maneno ambayo Mbunge wa Moshi Mjini Mhe. Philemon Ndesamburo aliona kwa heshima ya bunge si busara kuyanyamazia. Maneno haya yalitolewa kwa Mhe. Ndesamburo na aliyekuwa Waziri Mkuu wakati ule Mhe. Edward Ngoyai Lowasa. Katika maneno yake Lowasa alimwambia Ndesamburo kuwa Manji ametoa rushwa kubwa kwa wajumbe wa kamati ya Maadili ya bunge ili kupindisha haki na kuhakikisha kuwa Mengi analazimika kumwomba radhi Mhe. Malima na bunge. Mhe. Lowasa alikuwa na nia ya kumshawishi Ndesamburo naye aridhie kuwa Mengi asulubiwe kwa kosa la kuwapa changamoto wakubwa.

Ndesamburo alipotoka na hoja hiyo kwa ujasiri na uzalendo mkubwa alirudi katika vikao vya kamati ya bunge na kutaka apewe taarifa za kugawiwa kwa rushwa kulikofanywa na Yusuf Manji kama alivyoambiwa an Lowasa (WM) Mheshimiwa Ndesamburo alikataa kila mpango wa kumsuluhisha ama kumpoza. Wakati viongozi wengine wa serikali na bunge wakihaha kumbembeleza Ndesamburo Manji aliandika TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI ikiwa na kichwa kilichosomeka NDESAMBURO UNA NINI NA MIMI?
Ndani ya habari hiyo kulisheheni vijembe vya kutosha vyenye dharau kubwa kwa mtu mzima kama Ndesamburo ambaye Yusuf Manji ni mtoto wake wa kumzaa.

Wengi walihoji pia nguvu za Manji hapa zinatokana na nini?

kwa taarifa yenu niwahakikishie tu bila wasiwasi wowote. Manji Ni mmoja kati ya wafadhili kumi bora wa CCM. Wafadhili wa CCM ndiyo waamuzi wa nchi ipelekwe wapi. Hawa wana nguvu juu ya sheria na kila wakati wanalindwa sana na viongozi wa chama na serikali. Wamehodhi sehemu kubwa ya biashara za serikali. Ndio wanaoshinda tenda nyingi serikalini.

Niwahakikishie wanaJF kuwa serikali ya CCM haiwezi kuacha kukumbatia watu (mafisadi) wanaokifadhili chama. Hilo naona lisiwasumbue sana vichwa vyenu. Hapa mtu anayetaka kutoa dawa ya kukwepesha udhalilishaji huu wa utanzania wetu basi aishinikize serikali ya CCM ikubali na kuendesha mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya inayofaa mazingira ya siasa ya vyama vingi.

Kinachoniumiza kichwa mimi ni habari za leo hii kuwa eti CCM wamemkana Chenge kwamba si mwenzao na utajiri wake haukihusu chama. CCM ni chama chenye kuonyesha udhaifu mkubwa mbele ya wahindi. Ufisadi ukimkuta Rostam hakamatwi wala kukemewa. Chama kinajitolea kufa kupona kumlinda Rostam kwa kuwa ni mhindi ingawaje cheo chake ni mbunge wa kawaida tu. Lakini kinashindwa kumlinda Lowasa aliyekuwa na cheo cha Uwaziri Mkuu. Tatizo ni nini. Ufisadi wa Lowasa katika Richmond hauwezi kutenganishwa na Rostam. Hayo ndo yametokea leo kumhusu Mheshimiwa sana Chenge. Yeye si Mhindi CCM imeshamkana tayari.

Hii ndiyo kiburi ya Manji. manji anajua wazi kuwa kwanza yeye ni mfadili wa CCM na viongozi wa CCM kibinafsi. Kwa hiyo ulinzi wa kawaida na kukumbatiwa na viongozi wa chama na serikali ni haki yake ya msingi kabisa katika siasa za kipuuzi zinazoendeshwa na CCM hapa Tanzania. Pili Manji anajijua kuwa yeye ni Mhindi na hivyo lazima atapata ulinzi wa ziada ambao wahindi hupewa pale inapobainika kuwa wameboronga.
KWA HAYA HANA SABABU YOYOTE YA KUMHOFIA MTU YEYOTE HAPA TANZANIA NA WALA HAIHITAJI KUWA NA TAHADHARI.

Kwaherini
Mkuu huwezi amini saivi wanaomtetea manji aliemtukana mstusi ya nguoni Mheshimiwa Ndesa Mburo R.I.P ni wanachama wa Chadema japo na mimi ni mwanachama lakini nashangaa sana huu uzumbukuku wa hawa wenzetu.
 
Huo ni ushabiki wa kipumbavu unapinga mashambulizi kwa adui yako kisa anayempiga naye ni adui yako mwisho wa siku unaonekana mpumbavu tu
Tatizo la vijana wengi hawana AKILI HURU wanaendesha mijadala kwa kutegemeana na viongozi wao wamesema nini au wametoa msimamo gani, inapotokea viongozi wao wamekuwa kimya inakuwa JANGA kubwa sana maana hata kumbu kumbu inaonekana kwao ni ndogo sana au ni ujasiri tu wa UNAFIKI mtu anajikana mpaka VIDEO
 
Tatizo la vijana wengi hawana AKILI HURU wanaendesha mijadala kwa kutegemeana na viongozi wao wamesema nini au wametoa msimamo gani, inapotokea viongozi wao wamekuwa kimya inakuwa JANGA kubwa sana maana hata kumbu kumbu inaonekana kwao ni ndogo sana au ni ujasiri tu wa UNAFIKI mtu anajikana mpaka VIDEO
Hii ni fact Mkuu Sina la kuongeza thank you.
 
Waheshimiwa sana heshima yenu.

Ninajua mjadala huu wa Kiburi cha Manji ni muhimu sana ingawaje sioni ni kwa jinsi gani wanaJF watajikuta wakishiriki kwa pamoja na kwa wingi zaidi ili kinachosababisha tatizo katika kiburi chake kiweze kung'olewa.

Ninakumbuka enzi za mvutano mkubwa baina ya hawa watu wawili Manji na Mengi kuhusu vyombo vya IPP Media kuandika kuhusu ufisadi wa huyo mkubwa kwenye mikataba ya vichekesho iliyowagharimu wafanyakazi wa Tanzania wanaochangia mifuko ya PSPF na NSSF.

Hasira ya Manji dhidi ya Mengi ilikuwa kwa nini vyombo vyake vilithubutu kuandika habari iliyohusu dhuluma na ufisadi ambao alikuwa akiifanyia nchi ya Tanzania.

Ninakumbuka hata pale alipojikuta kwenye hoja nyingine ya aina yake iliyomhusisha Mengi huyo huyo na Mhe. Adam Malima mbunge wa Mkuranga. Kulitokea maneno ambayo Mbunge wa Moshi Mjini Mhe. Philemon Ndesamburo aliona kwa heshima ya bunge si busara kuyanyamazia. Maneno haya yalitolewa kwa Mhe. Ndesamburo na aliyekuwa Waziri Mkuu wakati ule Mhe. Edward Ngoyai Lowasa. Katika maneno yake Lowasa alimwambia Ndesamburo kuwa Manji ametoa rushwa kubwa kwa wajumbe wa kamati ya Maadili ya bunge ili kupindisha haki na kuhakikisha kuwa Mengi analazimika kumwomba radhi Mhe. Malima na bunge. Mhe. Lowasa alikuwa na nia ya kumshawishi Ndesamburo naye aridhie kuwa Mengi asulubiwe kwa kosa la kuwapa changamoto wakubwa.

Ndesamburo alipotoka na hoja hiyo kwa ujasiri na uzalendo mkubwa alirudi katika vikao vya kamati ya bunge na kutaka apewe taarifa za kugawiwa kwa rushwa kulikofanywa na Yusuf Manji kama alivyoambiwa an Lowasa (WM) Mheshimiwa Ndesamburo alikataa kila mpango wa kumsuluhisha ama kumpoza. Wakati viongozi wengine wa serikali na bunge wakihaha kumbembeleza Ndesamburo Manji aliandika TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI ikiwa na kichwa kilichosomeka NDESAMBURO UNA NINI NA MIMI?
Ndani ya habari hiyo kulisheheni vijembe vya kutosha vyenye dharau kubwa kwa mtu mzima kama Ndesamburo ambaye Yusuf Manji ni mtoto wake wa kumzaa.

Wengi walihoji pia nguvu za Manji hapa zinatokana na nini?

kwa taarifa yenu niwahakikishie tu bila wasiwasi wowote. Manji Ni mmoja kati ya wafadhili kumi bora wa CCM. Wafadhili wa CCM ndiyo waamuzi wa nchi ipelekwe wapi. Hawa wana nguvu juu ya sheria na kila wakati wanalindwa sana na viongozi wa chama na serikali. Wamehodhi sehemu kubwa ya biashara za serikali. Ndio wanaoshinda tenda nyingi serikalini.

Niwahakikishie wanaJF kuwa serikali ya CCM haiwezi kuacha kukumbatia watu (mafisadi) wanaokifadhili chama. Hilo naona lisiwasumbue sana vichwa vyenu. Hapa mtu anayetaka kutoa dawa ya kukwepesha udhalilishaji huu wa utanzania wetu basi aishinikize serikali ya CCM ikubali na kuendesha mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya inayofaa mazingira ya siasa ya vyama vingi.

Kinachoniumiza kichwa mimi ni habari za leo hii kuwa eti CCM wamemkana Chenge kwamba si mwenzao na utajiri wake haukihusu chama. CCM ni chama chenye kuonyesha udhaifu mkubwa mbele ya wahindi. Ufisadi ukimkuta Rostam hakamatwi wala kukemewa. Chama kinajitolea kufa kupona kumlinda Rostam kwa kuwa ni mhindi ingawaje cheo chake ni mbunge wa kawaida tu. Lakini kinashindwa kumlinda Lowasa aliyekuwa na cheo cha Uwaziri Mkuu. Tatizo ni nini. Ufisadi wa Lowasa katika Richmond hauwezi kutenganishwa na Rostam. Hayo ndo yametokea leo kumhusu Mheshimiwa sana Chenge. Yeye si Mhindi CCM imeshamkana tayari.

Hii ndiyo kiburi ya Manji. manji anajua wazi kuwa kwanza yeye ni mfadili wa CCM na viongozi wa CCM kibinafsi. Kwa hiyo ulinzi wa kawaida na kukumbatiwa na viongozi wa chama na serikali ni haki yake ya msingi kabisa katika siasa za kipuuzi zinazoendeshwa na CCM hapa Tanzania. Pili Manji anajijua kuwa yeye ni Mhindi na hivyo lazima atapata ulinzi wa ziada ambao wahindi hupewa pale inapobainika kuwa wameboronga.
KWA HAYA HANA SABABU YOYOTE YA KUMHOFIA MTU YEYOTE HAPA TANZANIA NA WALA HAIHITAJI KUWA NA TAHADHARI.

Kwaherini
daa mfadhili wa ccm vipi alikataa kutoa hela nini ndo maana ya hii misukosuko ha ha
 
Back
Top Bottom