Mengi: Manji anatoa wapi kiburi na ujasiri?

Mengi: Manji anatoa wapi kiburi na ujasiri?

Kama ndio hivyo acha Bwana Pombe awakomeshe tu tuone hivyo viburi vyao viatishia wapi!
 
Huyu kaiweka siri kali yote mfukoni mwake kwa jinsi anavyowamwagia michuzi, na anajua hawezi kufanywa lolote ndio maana anakuwa na kiburi cha hali ya juu.

Nashangaa mahakama haikumwamuru alipe gharama zote za kesi alizoingia Mengi. Si ajabu alishamwaga ngawira hata huko pia.
Sasa hivi kaiweka Chadema yote mfukoni mwake, huyu ni mmoja wa wanamikakati wa lowassa ambaye ndiye anayewalipa pesa kuleta propaganda mitandaoni. Aiiibu, aibu yako ..........hata wewe?
 
Huyu kaiweka siri kali yote mfukoni mwake kwa jinsi anavyowamwagia michuzi, na anajua hawezi kufanywa lolote ndio maana anakuwa na kiburi cha hali ya juu.

Nashangaa mahakama haikumwamuru alipe gharama zote za kesi alizoingia Mengi. Si ajabu alishamwaga ngawira hata huko pia.
Unasemaje leo kwa Magufuli kuhusu Manji?
 
Sasa hivi kaiweka Chadema yote mfukoni mwake, huyu ni mmoja wa wanamikakati wa lowassa ambaye ndiye anayewalipa pesa kuleta propaganda mitandaoni. Aiiibu, aibu yako ..........hata wewe?


Ufipa akili ndogo Sana.
 
asante sana jamii forum......
maana kuna watu wamegeuka kauli zao wanaona kama chalii anaonewa sana na ni mtu asiyekuwa na hatia..
na hii ilikuwa 2008..
 
W
Waheshimiwa sana heshima yenu.

Ninajua mjadala huu wa Kiburi cha Manji ni muhimu sana ingawaje sioni ni kwa jinsi gani wanaJF watajikuta wakishiriki kwa pamoja na kwa wingi zaidi ili kinachosababisha tatizo katika kiburi chake kiweze kung'olewa.

Ninakumbuka enzi za mvutano mkubwa baina ya hawa watu wawili Manji na Mengi kuhusu vyombo vya IPP Media kuandika kuhusu ufisadi wa huyo mkubwa kwenye mikataba ya vichekesho iliyowagharimu wafanyakazi wa Tanzania wanaochangia mifuko ya PSPF na NSSF.

Hasira ya Manji dhidi ya Mengi ilikuwa kwa nini vyombo vyake vilithubutu kuandika habari iliyohusu dhuluma na ufisadi ambao alikuwa akiifanyia nchi ya Tanzania.

Ninakumbuka hata pale alipojikuta kwenye hoja nyingine ya aina yake iliyomhusisha Mengi huyo huyo na Mhe. Adam Malima mbunge wa Mkuranga. Kulitokea maneno ambayo Mbunge wa Moshi Mjini Mhe. Philemon Ndesamburo aliona kwa heshima ya bunge si busara kuyanyamazia. Maneno haya yalitolewa kwa Mhe. Ndesamburo na aliyekuwa Waziri Mkuu wakati ule Mhe. Edward Ngoyai Lowasa. Katika maneno yake Lowasa alimwambia Ndesamburo kuwa Manji ametoa rushwa kubwa kwa wajumbe wa kamati ya Maadili ya bunge ili kupindisha haki na kuhakikisha kuwa Mengi analazimika kumwomba radhi Mhe. Malima na bunge. Mhe. Lowasa alikuwa na nia ya kumshawishi Ndesamburo naye aridhie kuwa Mengi asulubiwe kwa kosa la kuwapa changamoto wakubwa.

Ndesamburo alipotoka na hoja hiyo kwa ujasiri na uzalendo mkubwa alirudi katika vikao vya kamati ya bunge na kutaka apewe taarifa za kugawiwa kwa rushwa kulikofanywa na Yusuf Manji kama alivyoambiwa an Lowasa (WM) Mheshimiwa Ndesamburo alikataa kila mpango wa kumsuluhisha ama kumpoza. Wakati viongozi wengine wa serikali na bunge wakihaha kumbembeleza Ndesamburo Manji aliandika TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI ikiwa na kichwa kilichosomeka NDESAMBURO UNA NINI NA MIMI?
Ndani ya habari hiyo kulisheheni vijembe vya kutosha vyenye dharau kubwa kwa mtu mzima kama Ndesamburo ambaye Yusuf Manji ni mtoto wake wa kumzaa.

Wengi walihoji pia nguvu za Manji hapa zinatokana na nini?

kwa taarifa yenu niwahakikishie tu bila wasiwasi wowote. Manji Ni mmoja kati ya wafadhili kumi bora wa CCM. Wafadhili wa CCM ndiyo waamuzi wa nchi ipelekwe wapi. Hawa wana nguvu juu ya sheria na kila wakati wanalindwa sana na viongozi wa chama na serikali. Wamehodhi sehemu kubwa ya biashara za serikali. Ndio wanaoshinda tenda nyingi serikalini.

Niwahakikishie wanaJF kuwa serikali ya CCM haiwezi kuacha kukumbatia watu (mafisadi) wanaokifadhili chama. Hilo naona lisiwasumbue sana vichwa vyenu. Hapa mtu anayetaka kutoa dawa ya kukwepesha udhalilishaji huu wa utanzania wetu basi aishinikize serikali ya CCM ikubali na kuendesha mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya inayofaa mazingira ya siasa ya vyama vingi.

Kinachoniumiza kichwa mimi ni habari za leo hii kuwa eti CCM wamemkana Chenge kwamba si mwenzao na utajiri wake haukihusu chama. CCM ni chama chenye kuonyesha udhaifu mkubwa mbele ya wahindi. Ufisadi ukimkuta Rostam hakamatwi wala kukemewa. Chama kinajitolea kufa kupona kumlinda Rostam kwa kuwa ni mhindi ingawaje cheo chake ni mbunge wa kawaida tu. Lakini kinashindwa kumlinda Lowasa aliyekuwa na cheo cha Uwaziri Mkuu. Tatizo ni nini. Ufisadi wa Lowasa katika Richmond hauwezi kutenganishwa na Rostam. Hayo ndo yametokea leo kumhusu Mheshimiwa sana Chenge. Yeye si Mhindi CCM imeshamkana tayari.

Hii ndiyo kiburi ya Manji. manji anajua wazi kuwa kwanza yeye ni mfadili wa CCM na viongozi wa CCM kibinafsi. Kwa hiyo ulinzi wa kawaida na kukumbatiwa na viongozi wa chama na serikali ni haki yake ya msingi kabisa katika siasa za kipuuzi zinazoendeshwa na CCM hapa Tanzania. Pili Manji anajijua kuwa yeye ni Mhindi na hivyo lazima atapata ulinzi wa ziada ambao wahindi hupewa pale inapobainika kuwa wameboronga.
KWA HAYA HANA SABABU YOYOTE YA KUMHOFIA MTU YEYOTE HAPA TANZANIA NA WALA HAIHITAJI KUWA NA TAHADHARI.

Kwaherini
Wafadhiri wa chama tawala wameanza kusomeshwa namba za kirumi!
 
Sasa hivi kaiweka Chadema yote mfukoni mwake, huyu ni mmoja wa wanamikakati wa lowassa ambaye ndiye anayewalipa pesa kuleta propaganda mitandaoni. Aiiibu, aibu yako ..........hata wewe?
Huyo BAK mrija wa aibu ulishakata, ni mnafiki Kubenea na Kipanya wakasome
 
Sasa hivi kaiweka Chadema yote mfukoni mwake, huyu ni mmoja wa wanamikakati wa lowassa ambaye ndiye anayewalipa pesa kuleta propaganda mitandaoni. Aiiibu, aibu yako ..........hata wewe?
Acha kuwa kama umerukwa na akili!ukwekukweli mnaujua kabisa Ya nani alikuwa anampa kiburi Manji na hao wakuu wawili waliyomaliza muda wao ndy alikuwa anapiga nao deal sasa Nenda lushoto na msga kawauliza wale mabwana wawili waliyokuwa wanamkimbia kifua manji....nyie lumumba mtaacha lni unafki

Ova
 
Manji ni mtoto mdogo sana,hawezi kuwa na SIRI kali na Nchi,Sema anatumiwa na nchi baada ya wao mambumbumbu kuhongwa pesa za chafu.

Mwisho wao ni hivi karibuni wala siku si nyingi,siku ambyo watanzania watapata Neema,watafurahi kuangushwa kwa hawa wamaojaribu kuiweka Nchi rehani,Machozi yananitoka sababu naomba mwalimua rudi aje aone uozo huu unaoendela katika nchi yetu


Mkuu Gembe, hatimaye sasa jeuri ya Manji imeanza kuyeyuka.

Alikuwa ni 'untouchable' aliyeinunua serikali kwa muda mrefu sana.

Angalau sasa Mh Rais Magufuli is doing the needful!

-Kaveli-
 
Sasa hivi kaiweka Chadema yote mfukoni mwake, huyu ni mmoja wa wanamikakati wa lowassa ambaye ndiye anayewalipa pesa kuleta propaganda mitandaoni. Aiiibu, aibu yako ..........hata wewe?
Acha uzushi wewe! Manji bado ni mwana ccm wenu ila kapishana tuu na Mkulu nanyi kama mazombie kila asemacho sizonje huwa mnaunga mkono. Nadhani ukimkuta sizonje anamtukana mama yako bila sababu nawe utaongezea matusi ili mradi tuu afurahi. Ni kama kawalisha limbwata.
Sisi hatukatai kuwa Manji ana makosa mengi sana na anastahili kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, ila hatutaki kubambika bambika kesi kwa njia ya kukomoa ambazo kesho na kesho kutwa zinakuwa sio kesi bali porojo tuu.
BTW ile kesi yako ya kule ya kutwangwa ngumi moja na watu nane inaendeleaje? Stress zinakusumbua sana bibie? Tafuta tiba kwetu utaipata bure.
 
Huyo BAK mrija wa aibu ulishakata, ni mnafiki Kubenea na Kipanya wakasome
Muliza yule aliyetuita malofa na yule aliyesema pesa zile za @@@ syo za umma wao watakupa ukweli wote na imani mpaka sasa wako hoi

Ova
 
Huyu kaiweka siri kali yote mfukoni mwake kwa jinsi anavyowamwagia michuzi, na anajua hawezi kufanywa lolote ndio maana anakuwa na kiburi cha hali ya juu.

Nashangaa mahakama haikumwamuru alipe gharama zote za kesi alizoingia Mengi. Si ajabu alishamwaga ngawira hata huko pia.
Siku hizi mnamtetea bwana Manji, nyie watu wa ajabu sana, si ajabu 2020 mkampa nafasi ya kugombea uraisi kupitia Chadema
 
Mkuu huwezi amini saivi wanaomtetea manji aliemtukana mstusi ya nguoni Mheshimiwa Ndesa Mburo R.I.P ni wanachama wa Chadema japo na mimi ni mwanachama lakini nashangaa sana huu uzumbukuku wa hawa wenzetu.
Nadhan ni kwa upenzi wao na yanga na si chadema, chadema itakuwa inaangalia zaidi haki ya Manji kama binadamu na si kama kada wa CCM. In short CCM mkilaluana Mimi km pro chadema furaha yangu ni zaidi ya kifani
 
Nafikiri ni vizuri tukimjua huyu Manji in details! Most of the things i hear about him are like town gossips lakini sina uhakika yeye ni nani haswaaa....
please...

You dont have to look far to knw manji..angalieni board of directors ya NSSF..Link it to the present cabinet...mtamjua manji anatoa wapi kiburi!
 
Waheshimiwa sana heshima yenu.

Ninajua mjadala huu wa Kiburi cha Manji ni muhimu sana ingawaje sioni ni kwa jinsi gani wanaJF watajikuta wakishiriki kwa pamoja na kwa wingi zaidi ili kinachosababisha tatizo katika kiburi chake kiweze kung'olewa.

Ninakumbuka enzi za mvutano mkubwa baina ya hawa watu wawili Manji na Mengi kuhusu vyombo vya IPP Media kuandika kuhusu ufisadi wa huyo mkubwa kwenye mikataba ya vichekesho iliyowagharimu wafanyakazi wa Tanzania wanaochangia mifuko ya PSPF na NSSF.

Hasira ya Manji dhidi ya Mengi ilikuwa kwa nini vyombo vyake vilithubutu kuandika habari iliyohusu dhuluma na ufisadi ambao alikuwa akiifanyia nchi ya Tanzania.

Ninakumbuka hata pale alipojikuta kwenye hoja nyingine ya aina yake iliyomhusisha Mengi huyo huyo na Mhe. Adam Malima mbunge wa Mkuranga. Kulitokea maneno ambayo Mbunge wa Moshi Mjini Mhe. Philemon Ndesamburo aliona kwa heshima ya bunge si busara kuyanyamazia. Maneno haya yalitolewa kwa Mhe. Ndesamburo na aliyekuwa Waziri Mkuu wakati ule Mhe. Edward Ngoyai Lowasa. Katika maneno yake Lowasa alimwambia Ndesamburo kuwa Manji ametoa rushwa kubwa kwa wajumbe wa kamati ya Maadili ya bunge ili kupindisha haki na kuhakikisha kuwa Mengi analazimika kumwomba radhi Mhe. Malima na bunge. Mhe. Lowasa alikuwa na nia ya kumshawishi Ndesamburo naye aridhie kuwa Mengi asulubiwe kwa kosa la kuwapa changamoto wakubwa.

Ndesamburo alipotoka na hoja hiyo kwa ujasiri na uzalendo mkubwa alirudi katika vikao vya kamati ya bunge na kutaka apewe taarifa za kugawiwa kwa rushwa kulikofanywa na Yusuf Manji kama alivyoambiwa an Lowasa (WM) Mheshimiwa Ndesamburo alikataa kila mpango wa kumsuluhisha ama kumpoza. Wakati viongozi wengine wa serikali na bunge wakihaha kumbembeleza Ndesamburo Manji aliandika TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI ikiwa na kichwa kilichosomeka NDESAMBURO UNA NINI NA MIMI?
Ndani ya habari hiyo kulisheheni vijembe vya kutosha vyenye dharau kubwa kwa mtu mzima kama Ndesamburo ambaye Yusuf Manji ni mtoto wake wa kumzaa.

Wengi walihoji pia nguvu za Manji hapa zinatokana na nini?

kwa taarifa yenu niwahakikishie tu bila wasiwasi wowote. Manji Ni mmoja kati ya wafadhili kumi bora wa CCM. Wafadhili wa CCM ndiyo waamuzi wa nchi ipelekwe wapi. Hawa wana nguvu juu ya sheria na kila wakati wanalindwa sana na viongozi wa chama na serikali. Wamehodhi sehemu kubwa ya biashara za serikali. Ndio wanaoshinda tenda nyingi serikalini.

Niwahakikishie wanaJF kuwa serikali ya CCM haiwezi kuacha kukumbatia watu (mafisadi) wanaokifadhili chama. Hilo naona lisiwasumbue sana vichwa vyenu. Hapa mtu anayetaka kutoa dawa ya kukwepesha udhalilishaji huu wa utanzania wetu basi aishinikize serikali ya CCM ikubali na kuendesha mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya inayofaa mazingira ya siasa ya vyama vingi.

Kinachoniumiza kichwa mimi ni habari za leo hii kuwa eti CCM wamemkana Chenge kwamba si mwenzao na utajiri wake haukihusu chama. CCM ni chama chenye kuonyesha udhaifu mkubwa mbele ya wahindi. Ufisadi ukimkuta Rostam hakamatwi wala kukemewa. Chama kinajitolea kufa kupona kumlinda Rostam kwa kuwa ni mhindi ingawaje cheo chake ni mbunge wa kawaida tu. Lakini kinashindwa kumlinda Lowasa aliyekuwa na cheo cha Uwaziri Mkuu. Tatizo ni nini. Ufisadi wa Lowasa katika Richmond hauwezi kutenganishwa na Rostam. Hayo ndo yametokea leo kumhusu Mheshimiwa sana Chenge. Yeye si Mhindi CCM imeshamkana tayari.

Hii ndiyo kiburi ya Manji. manji anajua wazi kuwa kwanza yeye ni mfadili wa CCM na viongozi wa CCM kibinafsi. Kwa hiyo ulinzi wa kawaida na kukumbatiwa na viongozi wa chama na serikali ni haki yake ya msingi kabisa katika siasa za kipuuzi zinazoendeshwa na CCM hapa Tanzania. Pili Manji anajijua kuwa yeye ni Mhindi na hivyo lazima atapata ulinzi wa ziada ambao wahindi hupewa pale inapobainika kuwa wameboronga.
KWA HAYA HANA SABABU YOYOTE YA KUMHOFIA MTU YEYOTE HAPA TANZANIA NA WALA HAIHITAJI KUWA NA TAHADHARI.

Kwaherini
It worth reading
 
Sasa kwa misukosuko hii inayomkumba Manji hivi sasa biashara na madili ya wale wastaafu wawili waliokuwa wakubwa sana nayo si ipo ktk hali tete?
 
Back
Top Bottom