Mengi anatisha

Ni Doctor Reginald Mengi yule mmiliki wa makampuni ya Ipp media ameamua kuwajali wafanyakazi wake wote kwa kujali maslahi yao. Ni kwamba sisi wafanyakazi wa kawaida ametupandishia mshahara. Kima cha chini ni Tsh 450,000/=, TUNAMSHUKURU SANA, kwa upendo wake kwa wafanyakazi wake. Tunamuombea baraka tele,

Serikali iige iache kukandamiza wafanyakazi kwa kuwapa kima cha chini 120,000/=.

Hii Habari niliisikia Juzi kwenye vyombo vya habari hila anauza hisa zake kwa wafanyakazi wake then ndio atawalipa pesa hyo na ana wafanyakazi zaidi ya 900 na ushee!!
 
Ni Doctor Reginald Mengi yule mmiliki wa makampuni ya Ipp media ameamua kuwajali wafanyakazi wake wote kwa kujali maslahi yao. Ni kwamba sisi wafanyakazi wa kawaida ametupandishia mshahara. Kima cha chini ni Tsh 450,000/=, TUNAMSHUKURU SANA, kwa upendo wake kwa wafanyakazi wake. Tunamuombea baraka tele,

Serikali iige iache kukandamiza wafanyakazi kwa kuwapa kima cha chini 120,000/=.

Hongera sasa kwakulipwa hizo TSH: 450,000! Lakini nakusikitikia sana angalia hapa chini:

Total-450,000.
Kodi ya nyumba kama sikosei unaishi vyumba viwili: Sh: 40,000 kwa mwezi.
Usafiri wa daladala kwa siku kwenda na kurudi siku 27 ndani ya mwezi: Sh: 16200
Budgeti yako ya kula kama sikosei unafamilia ya watu watatu, mke na watoto wawili kwa mwezi: 200000
Matumizi ya dharura kwa mwezi: kuugua na mambo mengine ya ziada: 150000.
Natumaini unasimu ya mkononi fanya kwasiku unatumia dola 2 sawa na Sh 2000 x 31 = 62000.

Jumla ya gharama zote hapo juu ni Sh 468200! Hongera sana kwakulipwa Sh 450,000:clap2:
 
BIG UP MENGI, inaonekana amesikia madongo na makelele yaliyokuwa yanatolewa na watu kwamba yeye ni bingwa wa kutoa misaada lakini anawapunja sana wafanyakazi wake mishahara.
 
Hongera sasa kwakulipwa hizo TSH: 450,000! Lakini nakusikitikia sana angalia hapa chini:

Total-450,000.
Kodi ya nyumba kama sikosei unaishi vyumba viwili: Sh: 40,000 kwa mwezi.
Usafiri wa daladala kwa siku kwenda na kurudi siku 27 ndani ya mwezi: Sh: 16200
Budgeti yako ya kula kama sikosei unafamilia ya watu watatu, mke na watoto wawili kwa mwezi: 200000
Matumizi ya dharura kwa mwezi: kuugua na mambo mengine ya ziada: 150000.
Natumaini unasimu ya mkononi fanya kwasiku unatumia dola 2 sawa na Sh 2000 x 31 = 62000.

Jumla ya gharama zote hapo juu ni Sh 468200! Hongera sana kwakulipwa Sh 450,000:clap2:

no money is enough lakini at least itasaidia punguza shida ndogondogo kuliko mshahara wa awali waliokuwa wanalipwa.

vilevile usibeze mishahara au kipato cha wengine.

Anastahili kupongezwa wka kusikia kilio cha wafanyakazi wake.
 

Mkuu Ndallo,

450,000/=

NSSF Contribution = 45,000/=

PAYE = 45,000/=

Balance = 360,000/=

Baada ya hapo weka gharama nyingine.

Hiyo 450,000/= ni Basic salary bado makato kama hayo niliyokuonyesha ambayo yako kwa mujibu wa sheria za nchi.Zipo kodi nyingi eg SDL ambazo mwajiri anawajibika kuzilipa lakini PAYE na michango ya NSSF mwajiriwa [mfanyakazi]anawajibika kuzilipa.


Hongera sasa kwakulipwa hizo TSH: 450,000! Lakini nakusikitikia sana angalia hapa chini:

Total-450,000.
Kodi ya nyumba kama sikosei unaishi vyumba viwili: Sh: 40,000 kwa mwezi.
Usafiri wa daladala kwa siku kwenda na kurudi siku 27 ndani ya mwezi: Sh: 16200
Budgeti yako ya kula kama sikosei unafamilia ya watu watatu, mke na watoto wawili kwa mwezi: 200000
Matumizi ya dharura kwa mwezi: kuugua na mambo mengine ya ziada: 150000.
Natumaini unasimu ya mkononi fanya kwasiku unatumia dola 2 sawa na Sh 2000 x 31 = 62000.

Jumla ya gharama zote hapo juu ni Sh 468200! Hongera sana kwakulipwa Sh 450,000:clap2:
 
kumbe Mengi anatisha ,ipp inawapita hata wafanyakazi wa Barrick ,noma wafanyakazi barrick kima cha chini ni. TSH 350,000/= , wageni yaani wafanyakazi wazungu wanalipya kima cha chini USD .10,000/= .AIBU tupu. wabongo wanakufa na sumu za migodini. wazungu wanakula kiyoyozi tu.!!!! poa lakin hamna noma ....CCM hiyo!!! lakin mwisho upo!!!!


Mkuu acha ulongo.. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.. Hyo Barrick ndo mimi nipo, mgodi gani wanaolipa 350,000?? Hyo ilikuwa zamani sa ivi wamepandisha, ni 400,000/= na huo ni mshahara mkuu, ukijumlisha na marupurupu kama hela ya usafiri, muda wa ziada, nyumba n.k unapata mshahara mchafu (gross salary) kama laki 6 na zaidi, ukitoa makato yote unaenda nyumbani na kama laki tano na pointi.. Huo ni wa kuanzia kwa non-proffesions. Japo nakiri bdo tunanyonywa sana na hawa wapuuzi. Kwa kazi ya mshahara huo mzungu anachukua more than 10m.. Ndo CCM hao wanataka ivo!

So kama IPP media hyo laki nne na nusu ndo basic na gross basi bado huwezi linganisha na Barrick. Ina maana makato ya pension fund na Paye wataondoka na kama laki tatu na nusu.

Hongera Mengi hata hvyo umeonesha mfano, Mungu akubariki sana na sana!
 
Hongera sasa kwakulipwa hizo TSH: 450,000! Lakini nakusikitikia sana angalia hapa chini:

Total-450,000.
Kodi ya nyumba kama sikosei unaishi vyumba viwili: Sh: 40,000 kwa mwezi.
Usafiri wa daladala kwa siku kwenda na kurudi siku 27 ndani ya mwezi: Sh: 16200
Budgeti yako ya kula kama sikosei unafamilia ya watu watatu, mke na watoto wawili kwa mwezi: 200000
Matumizi ya dharura kwa mwezi: kuugua na mambo mengine ya ziada: 150000.
Natumaini unasimu ya mkononi fanya kwasiku unatumia dola 2 sawa na Sh 2000 x 31 = 62000.

Jumla ya gharama zote hapo juu ni Sh 468200! Hongera sana kwakulipwa Sh 450,000:clap2:

Duh yaani hata huruma huna???
 
Hongera sasa kwakulipwa hizo TSH: 450,000! Lakini nakusikitikia sana angalia hapa chini:

Total-450,000.
Kodi ya nyumba kama sikosei unaishi vyumba viwili: Sh: 40,000 kwa mwezi.
Usafiri wa daladala kwa siku kwenda na kurudi siku 27 ndani ya mwezi: Sh: 16200
Budgeti yako ya kula kama sikosei unafamilia ya watu watatu, mke na watoto wawili kwa mwezi: 200000
Matumizi ya dharura kwa mwezi: kuugua na mambo mengine ya ziada: 150000.
Natumaini unasimu ya mkononi fanya kwasiku unatumia dola 2 sawa na Sh 2000 x 31 = 62000.

Jumla ya gharama zote hapo juu ni Sh 468200! Hongera sana kwakulipwa Sh 450,000:clap2:
Ndallo we unataka kazi ikumalizie shida zako zote?
Hujui more money more problems.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom