Meneja Wa Shule Anahitajika

Meneja Wa Shule Anahitajika

Nashukuru. Naona sasa hivi usingizi umekolea. Nenda kalale na uache fitina.
Hahahaa shule ina muda mrefu ila haifanikiwi then mnabadili manager?? Endeleeni kupiga mark time. Am out.😀😀😀
 
Mkihitaji walimu mniite
Tutahitaji. Sasa hivi tunatafuta meneja kwanza. Miongoni mwa watakaoomba hii nafasi pia tutampata Deputy Head Master. Maana yake ni kuwa tunahitaji watu wawili mahiri.
 
Tutahitaji. Sasa hivi tunatafuta meneja kwanza. Miongoni mwa watakaoomba hii nafasi pia tutampata Deputy Head Master. Maana yake ni kuwa tunahitaji watu wawili mahiri.
Ungeweka vigezo mkuu
 
Ungeweka vigezo mkuu
Watakaokuja nitawaeleza vigezo. Maana tutaongea nao kwanza kisha waelewe lengo halafu wataitwa rasmi kwenye interview.
Kigezo kikubwa kwa sasa ni uwezo wa kubadili au kupandisha kiwango cha ufaulu na kuiweka shule kwenye kiwango kinachokubalika.
Pia kupandisha morali ya wafanyakazi wote wa shule.
 
Waku habari za leo.
Kuna shule ya sekondari ni ya muda mrefu na imekuwa haifanyi vizuri sana. Ipo Dar. Mmiliki ameamua kufanya TRANSFORMATION. Sasa anahitaji meneja wa kusimamia mabadiliko makubwa shuleni. Kusimamia mitaala, mafunzo na kukuza uwezo wa kujieleza wanafunzi na kujua hisabati. Atawasimamia waalimu akiwemo mwalimu mkuu yaani headmaster.
Nahitaji kukutana na mtu mwenye uwezo wa kuyafanya hayo kisha nimpeleke kwa mmiliki akabidhiwe majukumu.
Naomba unitumie namba yako pm kisha tutapanga ni wapi tukutane tuongee kwa undani.
Asante.
Wewe ni dalali au?
 
Back
Top Bottom