Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Kwanini kisiwepo? Labda tafsiri yake niliyoweka siyo rasmi ndiyo maana unasema hakuna.Hakuna kitu kinachoitwa akili ya sili.
Wote tumesoma darasa moja tumefundishwa na mwalimu mmoja kwa wakati mmoja ila tukifanya majaribio ya tulichofundishwa tunazidiana.
(Nature na nurture) vinaenda kwa pamoja.