Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amjibu Shigongo

Shigongo alitengeneza hoja fresh tu kwenda kwa Naseeb Abdul na uongozi wake.

Babu Tale baada ya kujibu hoja kuhusu Diamond yeye kaja kufumua mambo ya Harmonise na show Dar Live mara anayashutumu magazeti ya Shigongo.

Mwanzo sikumuelewa Shigongo na kumuona kavurugwa ila kama haya majibu ya Babu Tale yamenifanya kuona tatizo liko wapi.

Kama Tale angejibu hoja kwanini Diamond anafanya show kwa Milioni 100 angevunja vunja hoja zote za Shigongo ila naona Tale kaamua kupambana kitoto na sio kisomi.
Ajibu kisomi kwani yeye msomi? babu tale ni mjanja mjanja tu hapa mjini hana weledi huo unaoutaka wewe
 
Uingereza gani unasema wewe? Wao wana internet ya uhakika kuliko Bongo, na magazeti yao yote yana websites, Facebook pages na Twitter ambazo ziko busy. Kwa taarifa yako tu, wao hawategemei kuuza copies kama Shigongo ndio wapate pesa. Kuna magazeti mengine yanagawiwa bure asubuhi kwenye vituo vya mabasi na treni. Au mengine unaletewa mpaka mlangoni bila kulipa chochote. Mimi nakubaliana na wadau wanaosema Internet imeua biashara ya magazeti ya udaku hasa Dar es salaam.
Kama wanagawa bure kampuni in a survive VP?
Acha kudanganya watu kijinga bana
 
Shingongo bana akiwa na bifu anataka kila mtu ajue. Kuna kipindi alikuwa na bifu na uwoya kisa wanakijua wao,jamaa akapiga stop kuandika habari za uwoya kwenye magazeti yake huku akijitapa alimpandisha umaarufu na atamshusha. Saiv zamu ya dai na team yake jaman
Atulie tuu kama vip
 
Kama wanagawa bure kampuni in a survive VP?
Acha kudanganya watu kijinga bana


Man, Ulimwengu tunaoishi hivi sasa huwezi kudanganya watu kijinga kama unavyofikiria wewe. Kampuni kupata faida hilo ni swala simple sana kulifahamu, lakini hapa tunaongelea jinsi gani internet imeathiri biashara ya makaratasi. Jamaa kasema ni Bongo tu, lakini mbele watu bado wananunua magazeti, mimi nabisha, wanaonunua magazeti kwasasa ni wachache sana na sababu nimezitoa hapo juu. Sana sana gazeti utalikuta mgahawani unapokwenda kunywa kahawa asubuhi na mara nyingi linakuwa la michezo. Kwenye internet kuna kila kitu kaka.
 
Man, Ulimwengu tunaoishi hivi sasa huwezi kudanganya watu kijinga kama unavyofikiria wewe. Kampuni kupata faida hilo ni swala simple sana kulifahamu, lakini hapa tunaongelea jinsi gani internet imeathiri biashara ya makaratasi. Jamaa kasema ni Bongo tu, lakini mbele watu bado wananunua magazeti, mimi nabisha, wanaonunua magazeti kwasasa ni wachache sana na sababu nimezitoa hapo juu. Sana sana gazeti utalikuta mgahawani unapokwenda kunywa kahawa asubuhi na mara nyingi linakuwa la michezo. Kwenye internet kuna kila kitu kaka.
Enlight me wanapataje faida
Ilhali biashara ya magazeti mbele ni moja ya biashara yeye faida kubwa na mabilionea??
Wala usikimbie swali si umesema wanagawa magazeti
 
wakome hawa si ndo wale waliokua wanatoa remix ya ccm mbele kwa mbele na kukata miuno jukwaani ili kuvutia watu wajae viwanjani na wakome wamenyeke mpaka basi
 
Enlight me wanapataje faida
Ilhali biashara ya magazeti mbele ni moja ya biashara yeye faida kubwa na mabilionea??
Wala usikimbie swali si umesema wanagawa magazeti


Umesema acha kudanganya watu kijinga, nimeshtuka kidogo kwasababu hapa ni JF na huu ni mwaka 2017 unawezaje kufikiria hivyo. Okay, bado kuna magazeti na majarida ambayo bado yanauzwa lakini wateja wake naweza kuthubutu kusema ni wachache sana tena watu wazima tu. Kama unabisha magazeti kugawiwa bure, basi unabisha vitu usivyovua na umezoea kubisha tu. Haya magazeti yanatengeneza faida kubwa kwa matangazo. Labda nikufunue kidogo kama mvivu wa kufikiri, kama kila copy ikiuzwa €1 ni watu wachache watanunua na haya matangazo watasoma watu wachache sana. Lakini kuna vijana wanasimama treni station asubuhi, wanampa copy ya bure kila mtu anaepita karibu yao. Fikiria watu wangapi watasoma? Mimi hapa nyumbani kwangu kwa wiki naletewa free copy magazeti ya aina 3, pamoja na habari lakini mara nyingi huwa napitia matangazo.
 
Shigongo ana roho mbaya sana Mzee huyu halafu anajitia mkristu...


Mbona yeye alikataa kumpunguzia ndugu yangu bei ya kuweka banda la chips kwenye zile frem zake pale roby one , Africa sana.

Alimbania jamaa yetu akimwambia awe analipia eneo kwa siku 25,000 , ila same area kaweka ndugu zake wasukuma tena wengine hata hela hawalipi...


Huyu jamaa ni mnafiki sana... Asidhani hatumjui sema hatuna platform ya kumsema kama yeye anavyotumia hivyo vo jarida vyake kusema watu hovyo
 
Mambo yamebadirika sana UMBEYA WOTE EXCUSIVE unapatikana INSTAGRAM na BLOGS za UDAKU, Hardcopy HAZIUZI KABISA Yale yale ya NOKIA na BLACKBERRY Kama hakuwekeza upande mwingine ajiandae KURUDI BUSEGA Maana nasikia kawekeza pia kwenye HOTEL ambazo kwa sasa zinapitia MTIKISIKO MKUBWA
Watanzania wana maneno!
 
Uingereza gani unasema wewe? Wao wana internet ya uhakika kuliko Bongo, na magazeti yao yote yana websites, Facebook pages na Twitter ambazo ziko busy. Kwa taarifa yako tu, wao hawategemei kuuza copies kama Shigongo ndio wapate pesa. Kuna magazeti mengine yanagawiwa bure asubuhi kwenye vituo vya mabasi na treni. Au mengine unaletewa mpaka mlangoni bila kulipa chochote. Mimi nakubaliana na wadau wanaosema Internet imeua biashara ya magazeti ya udaku hasa Dar es salaam.
Baadaye Journalism itakuwa si profession?
Kama kila mtu atatoa habari yake mwenyewe?
 
Umejitahidi kujaribu kubomoa biashara yangu kenye magazeti yako kwa kila aina ya uchafu kuwazushia na kuwaandika wasanii wangu tumekaa kimya. Baada kufeli kuwabomoa wasanii wangu na kuona magazeti yako sasa hayauzi, watu wapo instagram Naona unajitahidi kujaribu kubomoa biashara yangu kupitia instagram yako.

Siku zote nimekuheshimu na sijawai kuku vunjia heshima hata kwa kuteleza, ila unapoelekea Sina budi ya kukupa unacholazimisha kukipata ili kesho ukawaambie vizuri waandishi wa magazeti yako wanitungie kashfa, uongo na kunitukana kama mnavyofanya kwa wasanii wangu, wasanii wwengine na watu mbalimbali.... tafadhali heshimu biashara yangu kama inavyokuheshimu.

Umekazana wiki nzima kuandika vitu vya uongo juu ya Diamond ila sie tumekaa kimya na kujifanya unazunga eti unatushauri. Kweli mtu unasema unampenda unamshauria instagram, ama unamwita ofisi au nyumbani kumshauri?

Mbona sie hatujawai kuingilia biashara yako wala kukupangia bei juu ya kuuza bidhaa yako yoyote labda kusema gazeti uuze kwa shilingi mia au hamsini? Na kuonesha hatukuwa na tatizo kabisa na wewe, juzi tu tumetoka kuongea na wewe kufanya show ya @Harmonize_tz DARLIVE na tukakubaliana asilimia, na hadi kupost tumepost ila baada ya kuona watu wameipokea kwa ukubwa teaser ya show umetubadilikia na kutaka asilimia kuuuubwa wewe, eti sisi tuchukue asilimia ndogo kabisa tukaona tukae tu kimya, na hatujakulalamikia wala kukuandika popote kiubaya juu ya kutaka asilimia kubwa.

Hivi kweli hata kama kuweka wasanii karibu na mashabiki zao hii ndio kuwaeka karibu wasanii na mashabiki zao kama usemavyo ama kuwaibia wananchi wanaodunduliza kuwasapoti wasanii wao na wewe kujifaidisha kwa kuendelea kuwanyonya wasanii na kutajirika wewe mwisho wa siku wasanii waishie kuambulia jina, na kula Madawa yote kutafuta sababu Msanii akikataa ama kudai aongezewe mapato Ukawaamuru watu wako wakamtungie kashfa na skendo za uongo na kweli ili kum'bomoa msanii kupitia magazeti yako.

Tafadhali heshimu heshima yetu kwako. "Mh Magufuli tafadhali Ulipo Kaza legeza, ona Wakubwa wanaanza kutaka kupora hadi watoto vidogo vyao.
Mameneja wa kibongo bwana...kazi ipo!
Unless kuna lingine?
Meseji ya Shigongo ilikuwa ushauri, ila maamuzi ni juu ya anayeambiwa.

Shigongo ni businessman, entrepreneur kitambo anajua haya mambo, ila kama jamaa wanaona amefilisika sawa, wacha tuendelee!
 
Huwa nachukia sana kauli za "Tulisema, nilisema" ila kwa leo ngoja na mimi niseme kuwa jana nilisema hili ni suala la biashara, Tanzania kuna watu wanapenda sana Kuwatumikisha wengine kama watumwa bila kujali una jina umelitengeneza kwa shilingi na gharama gani na muda. Harmonize was nobody and no body gave a **** abt him leo ametengenezwa amepata jina mtu anajipa MAMLAKA YA UTABIRI kwa kutaka kukutumia BURE tu

- Aiyola (Video + Audio 35M )

- Bado ( Video + Audio 40 )

- Matatizo ( 8M )

Bado kuna gharama za muda, utunzi, kukesha muda na ubunifu, LEO MTU ANATAKA KUKUTUMIA BURE TU Ka kisingizio eti anakuweka karibu na MASHABIKI na watu wanaoongoza kufanya haya ni SHIGONGO na CLOUDS, Ukibuma ndo WANAKUCHEKA NA HAKUNA ATAKAYEKUJALI
Kwasasa imekula kwao
 
Back
Top Bottom