Meneja KNCU asafiri kwa pikipiki toka Moshi hadi Shinyanga na kupata ajali

Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Uchawi upo au haupo ?
 
Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .
Hii kauli inaashiria alipigwa kipapai na si vinginevyo
 
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Si angepanda basi?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Cheap is expensive, na maisha ya mtoto wa watu yamepotea.
 
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Namsifu kwa ujasiri!
 
Sasa hiro route mbona ngumu kumeza sana. Alikatiza Serengeti au vipi na kwa nini hakupita hakupita ya babati kondoa dodoma au babati hydom Singida then aitafute tabora au mimi sielewi urefu wa hizi route.
Atakuwa alikuwa anaenda Tabora ya upande wa Kahama, kwakuwa Kahama ni Shinyanga
 
Tatizo ni hiyo njia ndio inawachanganya watu, mtu atoke moshi kwenda shinyanga, inakuwaje apitie tabora?wakati ni sehemu mbili zilizo kaa kushoto(haziingiliani)?
Kwenda Tabora unaweza kupitia Kahama, kahama ni wilaya ya shinyanga, mi mwenyewe huwa naenda Tabora kupitia Kahama, huwezi jua labda alitaka apite Ishushimulwa, mambali pote huko wanalima tumbaku
 
Kama Mungu alipanga Ajali hataingekuwaje angepatatu



Kama Mungu alipanga ajali kutokea ingetokea hata bila ya iyo pikipiki mh! Lakini jamaa anamoyo km 700 na ushehee kwa pikpik kweli Mangi kazidi
🤔😂😂
Kwa iyo hata hii ilipangwa,apate ajali uje uandike hivi!?
 
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Picha yake tafadhali tuiprint tuipitishe kwa wadau tumuombee michango ya matibabu
 
Back
Top Bottom