Atakua alipofika nzega pale ikabidi aende kwanza shinyanga kumsalimia mchepuko ndio yakamkuta.Hivi route ya Moshi to Tabora ipoje
Hot tea.Alikuwa anatokea Moshi kwenda Tabora na ajali akapatia Shinyanga?
Asante kwa taarifa.
Uchawi upo au haupo ?Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.
Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.
Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.
Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.
Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.
Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .
Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Shinyanga alienda tafuta nini?Alikuwa anatokea Moshi kwenda Tabora na ajali akapatia Shinyanga?
Asante kwa taarifa.
Hii kauli inaashiria alipigwa kipapai na si vinginevyoInaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.
Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .
Hawaongelei kuzalisha tu. Hata marketing na uhamasishaji unywaji wa kahawaMkutano wa wakulima wa Kahawa kufanyika Tabora,
Tabora wanalima Kahawa wilaya gani?
Si angepanda basi?Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.
Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.
Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.
Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.
Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.
Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .
Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Cheap is expensive, na maisha ya mtoto wa watu yamepotea.Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.
Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.
Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.
Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.
Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.
Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .
Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Namsifu kwa ujasiri!Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.
Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.
Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.
Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.
Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.
Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .
Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Atakuwa alikuwa anaenda Tabora ya upande wa Kahama, kwakuwa Kahama ni ShinyangaSasa hiro route mbona ngumu kumeza sana. Alikatiza Serengeti au vipi na kwa nini hakupita hakupita ya babati kondoa dodoma au babati hydom Singida then aitafute tabora au mimi sielewi urefu wa hizi route.
Kwenda Tabora unaweza kupitia Kahama, kahama ni wilaya ya shinyanga, mi mwenyewe huwa naenda Tabora kupitia Kahama, huwezi jua labda alitaka apite Ishushimulwa, mambali pote huko wanalima tumbakuTatizo ni hiyo njia ndio inawachanganya watu, mtu atoke moshi kwenda shinyanga, inakuwaje apitie tabora?wakati ni sehemu mbili zilizo kaa kushoto(haziingiliani)?
🤔😂😂Kama Mungu alipanga Ajali hataingekuwaje angepatatu
Kama Mungu alipanga ajali kutokea ingetokea hata bila ya iyo pikipiki mh! Lakini jamaa anamoyo km 700 na ushehee kwa pikpik kweli Mangi kazidi
Picha yake tafadhali tuiprint tuipitishe kwa wadau tumuombee michango ya matibabuUnaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.
Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.
Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.
Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.
Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.
Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .
Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.