Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

Mi nilikuwa naambiwa nataka nizae na wewe ntalea mwenyew.Baada ya kuzaa mambo yamekuwa tofauti.Hamna mwanamke kati ya wote niliozaa nao niliyepanga kuzaa naye.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Plan za kuzaa siku zote inabidi zianzie kwa mwanaume, then ndio iwe mada ya pamoja na mwenzi wako. Kinyume na hapo, ndio hizi fujo tunazoziona mitaani.
 
Kwamba na wewe ukaamua kweli kutoa mbegu zako zawadi? Haikugusa nafsini mwako kwamba unazalisha watoto ambao hutokuwa sehemu ya maisha yao, hutokuwa baba kwao?
Wengi huwa tunafikiri kuwa baba wa mtoto ni ile hali ya kutungisha mimba kwa mwanamke then akapatikana mtoto.

Ila ukweli unaweza tungisha mimba, DNA results pia zikathibitisha ilo, still usiwe baba wa huyo mtoto. Kuwa baba haianzii kwenye utungishaji mimba tu, bali inaanzia rasmi pale mwanamke anaposhikwa na uchungu then ukampeleka labor.
 
acha uongo wewe mwanamke
Kabla sijakimbia shule, tulifundishwa kuwa mwanamke ana chromosomes X peke yake, wanaume ndio tuna X na Y. Hivyo jinsia ya mtoto inategemea sana mbegu zinazotolewa na mwanaume siku ya utungishaji mimba.
 
Ukifikiri (kwa kichwa kikubwa) hii hoja ina mantiki sana. ila sasa "wakati ule" ukifika hicho kichwa kikubwa hakifanyi kazi, kinaacha kazi zooote zifanywe na kichwa kidogo
Kila kitu ni uhamuzi broh. Demu hata awe mkali vipi, ukishaambiwa list la watu aliopita nao na wenye ngoma, wala huwezi msogelea. Hapo ni kwavile unajali afya yako.

Ukijali na afya za wanao, hata ili linawezekana mkuu.
 

Kaka yako anajua kabisa kuwa napachikwa majina humu na watu..
Ila anajua jinsi ninavyompenda na nilivyo mwaminifu..
I love that man acha kabisa , tena ile bahati inaweza mdondokea.
Unasemaaa.......??
 
Natamani ushee kidogo stori yako jamani

Ukweli ni kwamba hapa watajikaza tu kukataa lakini alichoongea mtoa mada ni Cha kweli kabisa na anajua anachokiongea maana naye yupo kwenye hilo kundi(samahani Analyse)
nimecheka sana mchumba. Wala mm sio mmoja wao.
 
Ila it depends na baba mwenyewe anko wangu kaunganisha watoto wote kazaa na wanawake karibu 7 ana watoto km 11 lakini wanapendana hao hatari yaani wanakagrupu chao km chao tu!wako well organized yaani km wamama mmoja ,mama zao wakijaribu kuwatenganisha watoto wanashikana mpk raha.Mhimu baba awapende watoto wote kwa usawa
 
Back
Top Bottom