walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,520
Mkuu amna tatizo ngoja nipange hoja zangu alafu nirudi tena nilete mifano halisiMifano hai ingesaidia sana kuraise awareness mkuu. Share baadhi
Mkuu amna tatizo ngoja nipange hoja zangu alafu nirudi tena nilete mifano halisiMifano hai ingesaidia sana kuraise awareness mkuu. Share baadhi
ndugu bado huwajui vizuri wanawake bado kidogo muda utaongeaTake time, chagua mke atayekidhi vigezo vyako. What if ukienda kujaribu nje, ila nako ukatoa watoto wajinga then unagundua ujinga unatoka kwako na sio kwa mama watoto?
mhn! hii idadi ya wanawake na watoto mbona kama huyu mtu namjua! lakini haiko poa kihivyo kama unavyofikiria subiri uncle aondoke utaona mziki wake baada tu ya miaka 3 baada ya unle kuondoka uje utwambieIla it depends na baba mwenyewe anko wangu kaunganisha watoto wote kazaa na wanawake karibu 7 ana watoto km 11 lakini wanapendana hao hatari yaani wanakagrupu chao km chao tu!wako well organized yaani km wamama mmoja ,mama zao wakijaribu kuwatenganisha watoto wanashikana mpk raha.Mhimu baba awapende watoto wote kwa usawa
Vizurinimecheka sana mchumba. Wala mm sio mmoja wao.
Kumbe ana mtu mwingine tofauti na mimi? Eti mchumba, hebu nikane tena mbele ya jamaa hapa nikusikie
Nina mchumba mmoja tuUnasemaaa.......??
AiseeIla na michepuko yao ipo humu humu mchumba
Dah mchumba mm umenitema?Nina mchumba mmoja tu
Jack Palladino
ungemnasa vibao tu huyo malayaDunia hii ina kila aina ya matukio.
Wakati nasoma huu ujumbe, kuna Dada katoka kuniomba ushauri. Yeye ni mke wa mtu na mume wake amesafiri kikazi huu ni mwezi wa tatu yupo Mkoa mwingine. Dada amechanganyikiwa ametoka kupima amekutwa ana ujauzito. (Ni ujauzito wa mchepuko).
Ushauri niliompa: Nimemwambia aende huko alipo mumewe akamuonjeshe wiki nzima kisha arudi, halafu baadae aje amwambie mumewe kuwa ana ujauzito.
Dada kakubali ushauri wangu, pia ameniambia kuwa hata mtoto wake wa kwanza sio wa mumewe ni wa jamaa mwingine.
Aisee, wanawake Mungu anawaona.
wakipiga bei si mali yao???Bwana wee muda mwingine mitoto anayototolesha mke ni mijinga bora ukajaribu bahati nje huko.
Alafu hili suala la urithi, pale ambapo kuna watoto zaidi ya mmoja tegemea kabisa hizo mali kupigwa bei maana kila mtu na mtazamo wake na mipango yake maishani.
yaani niuze mali yangu kwa ajilibya mtu aliyeona raha kukojoa hovyo...Kuna uncle wetu mmoja, alikuwa ana mke karibia kila mkoa utafikiri jogoo wa kuazima...
Sasa alipofariki ishu ikawa ndugu kuanza kusomesha watoto wa marehemu, wanandugu wengine ikawalazimu hadi kuuza mali zao ili watoto wa kaka walau wasome...
Hii ni kweli kabisa na mimi imetokea kwangu pia baada ya mzee kufariki watoto wa nje ambao ni wakubwa kunizidi wakataka vitu viuzwe pia ulikua msimamo wa ukoo ili nao wapate haki ya baba yao, na hawa wote wameolewa wanafamilia so mkubwa wetu ambae ni bro akaja na wazo.
aliitisha kikao akasema yale maamuzi ya ukoo sisi kama familia tusiuze vitu tuwaachie madogo wauze pesa ziwasaidie shule sisi wakubwa tusichukue, bwana wee sikuamini wadada waliposema KUSOMA KWAO SISI HAKUTUHUSU kila mtu afe na chake. Wakachukua ingawa bro alitugaia za kwake.
Mwaka wa 10 huu siongei nao na sitarajii tunakutana kwenye misiba tu kijijini halafu Buyu zito ile kauli mbaya sana siisahau yani.
Mpaka leo sitamani kuzaa hovyo asee mnaacha watoto wasiopendana hata.
inawezekana mumewe ana tatizo!!!!Dunia hii ina kila aina ya matukio.
Wakati nasoma huu ujumbe, kuna Dada katoka kuniomba ushauri. Yeye ni mke wa mtu na mume wake amesafiri kikazi huu ni mwezi wa tatu yupo Mkoa mwingine. Dada amechanganyikiwa ametoka kupima amekutwa ana ujauzito. (Ni ujauzito wa mchepuko).
Ushauri niliompa: Nimemwambia aende huko alipo mumewe akamuonjeshe wiki nzima kisha arudi, halafu baadae aje amwambie mumewe kuwa ana ujauzito.
Dada kakubali ushauri wangu, pia ameniambia kuwa hata mtoto wake wa kwanza sio wa mumewe ni wa jamaa mwingine.
Aisee, wanawake Mungu anawaona.
yaani niuze mali yangu kwa ajilibya mtu aliyeona raha kukojoa hovyo...
i see!!!!
Nke akikupa stress wewe mpige mimba tu ahangaike nayoNazungumzia swala la watoto mkuu. Kwan ukichepuka lazima uzae?
Let say mke nyumban anakupa stress kwa namna moja au nyingine, ww ukaamua kutafuta mchepuko wa kukuliwaza, ni lazima na huko uzae? Why usipoge tu, then ukitaka watoto unarudi home kwa mama?
Watoto wa kike ni Asset, Wala sishangai, Nina watoto wa kike tupu na wananipenda balaa, ndio faraja yangu na furaha Yangu. Sina mpango wa kuzaa nje eti nitafute wa kiume. Waweza kwenda kumpata huyo wa kiume na ndio aje kukusumbua, namshukuru Mungu Kwa mabinti hawa na i am very happy as a responsible DadNishashuhudia case kama hii, mzee wa kanda ya ziwa alizaa watoto wanne ila wakike tupu. Akaamua kutafuta mke mwingine, akaongeza wawili, nao akapata wakike tupu. Akaamua kutulia tu asijefikisha idadi ambayo itamshinda kulea.
Now ana watoto 6 wakike tupu.