Men lets be fair kwa kweli

Kwa sredi hii walau leo nimeweza kujua rika lako...

Uwe na siku njema...

mimi nimekuja na suluhuu ya hili mwanume akikuomba picha ya papauchi mwambie atume picha ya kalio lake in details...... akiomba picha ya nyonyo mwambie atume na yeye dushe......
 

...nitumie hata copy yake tu...
 
Wasichana ni muda sasa mzuri wa kuacha kutumiana picha za utupu,me akihitaji hizo picha mwambie atume yeye kwanza halafu wewe unakausha na akiwa king'ang'anizi mwambie akuoe ili aione papuchi yako kila siku
 
yani wakati wewe unasema hutumi ng'oo kuna wenzio wanatamani waambiwe watume ata sa iv, tena sio picha tu ata video watarekodi.......hapana chezea watu kwa kweli....
 


na sometime I wonder..! anataka picha ya papuchi akupigia nyeto au anafnyia nini?
coz kama ni mtu wako na anataman kuiona ni suala la kuangalia nafas zenu mkutane aione over...!
au ndo hao yuko na demu mwingine ili mzuka ukae sawa anatakiwa aone ile aipendayo...! daaaah shida sana...! eti nitume picha ya papuchi..! hata nikiwa nimevaa puchi tu hupati hutaki kwendaaaaaaaaaaaa
 
Wasichana ni muda sasa mzuri wa kuacha kutumiana picha za utupu,me akihitaji hizo picha mwambie atume yeye kwanza halafu wewe unakausha na akiwa king'ang'anizi mwambie akuoe ili aione papuchi yako kila siku

ha ha ha ha ha uwiii mahaba hayo
 
ndo ukweli huo ndg, nifiche nin sasa. Mpenzi wangu mwenyewe.

Let's say simu yako ikapotea, ushawahi fikiria itaangukia mikononi mwa nani? Atazitumiaje picha za mpenzio?...akiamua kuziweka mitandaoni aibu itakua yako au ya mpenzio? Utu wa nani utakua umedhalilika wako au qa mpenzio?...mpenzi ni wako..kwani akiwa na wewe hauoni ukaridhika?..if the case ni umbali. ...oaneni muonane kila siku
 
mkuu we bado upo Middle stone age,.,

Kwa hili wacha niwe huko

Kuna mambo mengine unaweza kujiuliza kama binadamu mwenye akili timamu kama anaweza kuyafanya

Kuvaa suruali makalioni ni maendeleo
Kutoa tigo ni maendeleo
Kusuka nywele ni maendeleo

Na wote ambao hawafanyi au kutoyaunga mkono hayo wanadaiwa ni watu wa kizamani na wamepitwa na wakati,leo tunaambiwa ni wa "stone age"

Haya vijana kila la kheri na hayo mnayofanya,wacha sisi tuendelee kuwa tupo stone age!
 
duh!...watu wana moyo aisee..
maana papuchi ilivyo na sura mbaya...kama ngozi ya goti..bado unalisave simuni..na kulitazama..!!!!!
Ptuuuuuuuuuuuuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…