Men are cruel to single women

Men are cruel to single women

Kumbe nawe haujaolewa, au hiyo stress ya ndoa uliijuaje?
Ushasema kuwa alipokuja huyo kijana at yo 20's hukujua kama ni mpango wa Mungu au laah!! Sasa kama hukujua kwanini umlaumu mtu?

Hivi hakuna waloolewa at their 20's and below na wanajutia leo maamuzi walofanya??? Haya mambo hayana kanuni ndugu, unaweza mpata kajamba nani mwenzio but mkavurugana hatari, na ukampata alie vizuri ukaenjoy tu maisha.

Huwa mnawaongelea walio vizuri kiuchumi as if ni mashetani fulani, na maisha yao hayana jema.

Acheni watu wapate kitu roho inapenda, alie sahihi kwako atakuja kwa wakati uliosahihi,dont live out of yo standards maana wale wanaomeet standard zako watakufikia tu. Ufake eti kisa umfurahishe fulani, au fulani atanionaje!!! Nehiiii!
Ukiolewa na kapuku all is well,Ukiolewa na mambo safi maswali kibao..ni kwanini kuna hii kasumba?
 
Nimesoma sana hapa na mimi naomba nitie kucha kidogo kwenye huu upele

kinadada ambao wamefika 30's bila kuolewa kifupi wengi wao ni wazuri kuliko mamia walioolewa wakiwa 20's kwa hiyo kutokuolewa kwao tatizo sio kwamba wao sio wazuri.

Maringo was the Damn Fucking reason inayowacost Imagination kibao uongo hadithi za saloon na kuishi maisha ya movie kutaka wanaume Gents kama James St Patrick kumbe wale wapuuzi wanaigiza tu.

Mwanaume anakuja anataka kukuoa hutaki kumkubalia ukimngoja Denzel asiyekuja ukifika 33 unaanza kulia lia.

Sikieni wadada ukifika 26 acha kuchagua chagua sana pokea tu "his soul and mind" mtengeneze familia matterial zitakujaga tu mkiweza kuchanganya akili vizuri.

Wasichana waliowahi kuwakataa kina Wizkid wakati huo wakiwa mbaya Ojuelegba wanalia sasa hivi na wanaume tulivyo washenzi sasa (sio wote) tukishapata chapaa hua haturudi tena nyuma kutafuta msichana Mbagala wakati kuna kina Huddah Big Sweet Booty!
Swts naomba tu nikupinge ulichokiongea.

Kutuambia kwamba tukifika 26 tumbebe tu yeyote atakayekuja, that's a big NO kwangu, na sitomshauri mtu awe desperate kwa sababu ya age. What is miaka 26 bana? ?? Afu sielewi why mnaconsider as if kumuoa mwanamke ni kama kumpa offer sijui ni favor ambayo hatakiwi aikatae. Kwamba ukifika tu HS nataka nikuoe basi me naitikia tu kwa shangwe "Ahsante baba angu" shaaa. Mpaka umekuja kwangu, una vigezo vyako vilivyokufanya unichague mimi, so usubiri tuone kama na me vigezo vyangu vitakuchagua wewe. Ndoa ni mutual agreement as far as i'm concerned. Na sioni tatizo mtu akiwa "choosy" as long as anajua what she really needs. (Wants Vs Needs). Kuna vitu ni vyema mtu acompromise na kuna vingine si vya kucompromise, visije vikakutesa huko mbeleni

Cha msingi mtu akifikia stage amejua nini kusudi lake ndani ya ndoa, na amempata mtu "wanayeoana" na kusudi lao, basi asichezee nafasi hiyo. Ila akiona mtu haeleweki, kwa kweli akatae tu. What matters the most to me sio kuolewa, Ila ku-last kwenye ndoa. It's of no use niolewe leo, Afu after week narudi ndoa imenishinda, ooh mwanaume ana A, B, C. Ni kweli sikuona mapema kuwa hatuendani au niliconcentrate tu na kuitwa "mke", jamii isininyoshee vidole kwa kuwa umri umeenda? ? I aint in a rush or desperate for marriage , I simply need a good lasting marriage, na ntaisubiria tu no matter how long it takes. Above all msisahau, everything happens in God's perfect time. Hata wanawake wote tungekuwa sawa kwa kila kitu, kila mtu angeolewa siku yake. Yes kuna walio-mess up, na kuna ambao wanasubiri tu siku zao zifike. Kwa hiyo nikifika 40s na bado single, haimaanishi nina matatizo sana teh
 
There I said it, its a cruel world for a single woman. I know that for a fact because I am one.

This post is not a "I am looking for a husband post", I already wrote such a post about a year ago, right here at Jamii Forum, with sad, disheartening results. Not one serious man responded, my inbox was full of jokers, pranksters and alas the married man...

This post is for fellow single women and for some men to have a glimpse of what it feels like to be single. To watch your friends and relatives get married and to have the rest of the world mock you for being single, as if it were your fault, as if you wouldn't change that in an instant if you could. (wouldn't you ladies)

So ladies (and gents), why are we single?
I really don't know. Could it be that the men around us are officially blind? Could it be that their minds are saturated with retouched instagram/facebook pics of women with perfect bodies, gorgeous skin, thin waist, perky breasts and butt. That for real they wouldn't spot a normal natural good looking woman even if an angel descended on earth and personally pointed towards the girl's direction?

Could it be that we girls love too deeply and we trust too much? Tell me what is wrong with loving someone? With believing him when he tells you he loves you and wants to spend the rest of his life with you. Is it our fault that all we get instead is a broken heart and a wet pillow from crying ourselves to sleep?

There must be something wrong with me, you wonder; I am a born again Christian woman who embraces her imperfections and acknowledges that through Christ everyday I become a better me.
Maybe I am too old? Age is nothing but a number so a woman can never be too old. Since you wondered I am thirty years old.
Maybe I am a single mother? I am not. I have never been married and I don't have children. (However even if I was, WHAT IS WRONG WITH BEING A SINGLE MOTHER? why can't you look past that and see the wonderful woman in-front of you?)
Maybe I am always asking a man for money? Nope - I have my own. With a university education and a good highly satisfying job that pays me around 2 million or so per month, I can pay my own bills thank you.
Maybe I can't cook you think? I can cook in a way that would put Jamie Oliver to shame
Maybe I don't clean or wash? Nope that isn't it, I'm clean as clean can be .
Maybe I am short, fat and ugly? I am not bad on the eyes I would like to think, thin body (with an athletic build thanks to aerobics, swimming and some weightlifting here n there to keep me toned), shoulder length hair, good skin and I am ever so comfortable being seen without makeup on my face.

So why am I single? I don't know. But what I do know is Tanzanian men should spot judging us from our marital status but from who we are as human beings. Look at my heart not my body, look at my mind not my ass, look at my education and job accomplishments and for heaven sake stop judging me from my age, or whether or not I have children.

If you dear reader want to be helpful, maybe you can give us single women some pointers on how and where we can meet available men.

As a concluding remark, if Prince Harry can fall in love with a black, divorced woman three years his senior, maybe just maybe there is hope for the rest of us.

"Sonnet"

Update

I am sorry if l offended anyone by posting in English. I didn't mean to make anybody feel left out. Sometimes I use Swahili, Sometimes I use English, Its not me being fake, its just me being myself. Sorry once again.

Samahani kwa kutumia kiswahali, sikutaka mtu yeyote ajihisi vibaya. Wakati mwingine natumia kiswahili na wakati mwingine natumia kiingereza. Sikua na nia mbaya. Nisamehe kwa hilo.

Girl, I think we should not stoop so low as to accept anybody who comes our way even if we have nothing in common with them.
Silently watch and observe him,
-How often does he go to church? (or other place of worship)
-How does he treat you?
-Is he rude, bad mannered and disrespectful to others around him (especially to women,) e.g the waitress serving you food or the askari at the entrance.
-Does he drink alcohol abit too much. (I actually prefer he doesn't drink alcohol at all)
-Don't sleep with him girl. No matter what he says. Even if he calls you "mke wangu" . Hata akikueleza "sema lini nije kujitambulisha" . "Taja mwenyewe tarehe". Once he realises the promise of marriage is not working as you refuse to sleep with him, he will surely disappear. Making way for the right man to come along.
-Before you fall deeply in love do ask him enough questions and carefully read into his answers? They will reveal who he really is.
-Trust your instinct, deep down you know if he is "The One" or the wrong one. Don't ignore that feeling. Not everyman is husband material.
There l said it.
Do you know what you are doing? you are feeding my mind with a new concept: that you being single at 30's, should not deny my right to be your husband. Please, I can't...because with your age & complaints, it is true you have been f*cked up expecting the next f*cker to be the real MOTHERF*UCKER (husband). convice me more, I beg.
 
Nimesoma sana hapa na mimi naomba nitie kucha kidogo kwenye huu upele

kinadada ambao wamefika 30's bila kuolewa kifupi wengi wao ni wazuri kuliko mamia walioolewa wakiwa 20's kwa hiyo kutokuolewa kwao tatizo sio kwamba wao sio wazuri.

Maringo was the Damn Fucking reason inayowacost Imagination kibao uongo hadithi za saloon na kuishi maisha ya movie kutaka wanaume Gents kama James St Patrick kumbe wale wapuuzi wanaigiza tu.

Mwanaume anakuja anataka kukuoa hutaki kumkubalia ukimngoja Denzel asiyekuja ukifika 33 unaanza kulia lia.

Sikieni wadada ukifika 26 acha kuchagua chagua sana pokea tu "his soul and mind" mtengeneze familia matterial zitakujaga tu mkiweza kuchanganya akili vizuri.

Wasichana waliowahi kuwakataa kina Wizkid wakati huo wakiwa mbaya Ojuelegba wanalia sasa hivi na wanaume tulivyo washenzi sasa (sio wote) tukishapata chapaa hua haturudi tena nyuma kutafuta msichana Mbagala wakati kuna kina Huddah Big Sweet Booty!
Hivi inapaswa mwanamke akifatwa na mwanaume yoyote akubali?hana/hajui kupenda huyu binti?
 
Ukiolewa na kapuku all is well,Ukiolewa na mambo safi maswali kibao..ni kwanini kuna hii kasumba?
Oooh kafuata pesa tu, mbona kwa kapuku hawaulizi!!! Mie nawadharaugi tu. Ukipenda mwenye pesa people are too judgy,utasikia nenda kachezewe utemwe, utadhani makapuku huwa hawawachezei watu na kuwatema. Maneno tu ya wakosaji.

Just follow yo heart but take yo brain with you.
 
Swts naomba tu nikupinge ulichokiongea.

Kutuambia kwamba tukifika 26 tumbebe tu yeyote atakayekuja, that's a big NO kwangu, na sitomshauri mtu awe desperate kwa sababu ya age. What is miaka 26 bana? ?? Afu sielewi why mnaconsider as if kumuoa mwanamke ni kama kumpa offer sijui ni favor ambayo hatakiwi aikatae. Kwamba ukifika tu HS nataka nikuoe basi me naitikia tu kwa shangwe "Ahsante baba angu" shaaa. Mpaka umekuja kwangu, una vigezo vyako vilivyokufanya unichague mimi, so usubiri tuone kama na me vigezo vyangu vitakuchagua wewe. Ndoa ni mutual agreement as far as i'm concerned. Na sioni tatizo mtu akiwa "choosy" as long as anajua what she really needs. (Wants Vs Needs). Kuna vitu ni vyema mtu acompromise na kuna vingine si vya kucompromise, visije vikakutesa huko mbeleni

Cha msingi mtu akifikia stage amejua nini kusudi lake ndani ya ndoa, na amempata mtu "wanayeoana" na kusudi lao, basi asichezee nafasi hiyo. Ila akiona mtu haeleweki, kwa kweli akatae tu. What matters the most to me sio kuolewa, Ila ku-last kwenye ndoa. It's of no use niolewe leo, Afu after week narudi ndoa imenishinda, ooh mwanaume ana A, B, C. Ni kweli sikuona mapema kuwa hatuendani au niliconcentrate tu na kuitwa "mke", jamii isininyoshee vidole kwa kuwa umri umeenda? ? I aint in a rush or desperate for marriage , I simply need a good lasting marriage, na ntaisubiria tu no matter how long it takes. Above all msisahau, everything happens in God's perfect time. Hata wanawake wote tungekuwa sawa kwa kila kitu, kila mtu angeolewa siku yake. Yes kuna walio-mess up, na kuna ambao wanasubiri tu siku zao zifike. Kwa hiyo nikifika 40s na bado single, haimaanishi nina matatizo sana teh
Kuna jambo nmepata hapa,why do men take a marriage offer kama inamsaidia mwanamke Tu?watu wana assume nini,wanaume wote wanafaa kuwa waume kweli??vijana mjitafakari
 
Do you know what you are doing? you are feeding my mind with a new concept: that you being single at 30's, should not deny my right to be your husband. Please, I can't...because with your age & complaints, it is true you have been f*cked up expecting the next f*cker to be the real MOTHERF*UCKER (husband). convice me more, I beg.
Ndio kuvurugwa au!!!!!
 
Swts naomba tu nikupinge ulichokiongea.

Kutuambia kwamba tukifika 26 tumbebe tu yeyote atakayekuja, that's a big NO kwangu, na sitomshauri mtu awe desperate kwa sababu ya age. What is miaka 26 bana? ?? Afu sielewi why mnaconsider as if kumuoa mwanamke ni kama kumpa offer sijui ni favor ambayo hatakiwi aikatae. Kwamba ukifika tu HS nataka nikuoe basi me naitikia tu kwa shangwe "Ahsante baba angu" shaaa. Mpaka umekuja kwangu, una vigezo vyako vilivyokufanya unichague mimi, so usubiri tuone kama na me vigezo vyangu vitakuchagua wewe. Ndoa ni mutual agreement as far as i'm concerned. Na sioni tatizo mtu akiwa "choosy" as long as anajua what she really needs. (Wants Vs Needs). Kuna vitu ni vyema mtu acompromise na kuna vingine si vya kucompromise, visije vikakutesa huko mbeleni

Cha msingi mtu akifikia stage amejua nini kusudi lake ndani ya ndoa, na amempata mtu "wanayeoana" na kusudi lao, basi asichezee nafasi hiyo. Ila akiona mtu haeleweki, kwa kweli akatae tu. What matters the most to me sio kuolewa, Ila ku-last kwenye ndoa. It's of no use niolewe leo, Afu after week narudi ndoa imenishinda, ooh mwanaume ana A, B, C. Ni kweli sikuona mapema kuwa hatuendani au niliconcentrate tu na kuitwa "mke", jamii isininyoshee vidole kwa kuwa umri umeenda? ? I aint in a rush or desperate for marriage , I simply need a good lasting marriage, na ntaisubiria tu no matter how long it takes. Above all msisahau, everything happens in God's perfect time. Hata wanawake wote tungekuwa sawa kwa kila kitu, kila mtu angeolewa siku yake. Yes kuna walio-mess up, na kuna ambao wanasubiri tu siku zao zifike. Kwa hiyo nikifika 40s na bado single, haimaanishi nina matatizo sana teh
Sweet heart umeongea vizuri
natamani nikujibu kwa kirefu ngoja nijaribu ila kwanza appreciate ulichosema.

Nimejaribu kusema na aina flani ya mabinti wanaopata nafasi ya kuchumbiwa wao wanawakataa sababu ya hali za uchumi za vijana hao (tunaumia sana mjue) za kiuchumi halafu baadaye wanaanza kulalamika na kumlilia Mungu.

Kwa jina la upendo kama mtu umempenda akakupenda kuna haja gani ya kuangalia hali yake ya uchumi, muonekano na alipotoka kama upo kwenye umri sahihi?
 
Kuna jambo nmepata hapa,why do men take a marriage offer kama inamsaidia mwanamke Tu?watu wana assume nini,wanaume wote wanafaa kuwa waume kweli??vijana mjitafakari
Ndugu yangu struggle ya kuoa na kuolewa inatuhusu wote tu. Kuna wanaume ambao washajikatia tamaa ya kuoa kabisa, na wengine wapo desperate hatari. Ila inaonekana kama wanatufanyia favor simply because sisi tuna menopause wao hawana, basi
 
Hivi inapaswa mwanamke akifatwa na mwanaume yoyote akubali?hana/hajui kupenda huyu binti?
Hakuna kitu kama hicho, hapo ndipo wanaume huwa wanakosea, hawajuivkukataliwa hawa, huwa wanajiona they can get every woman they want, ukimreject ndio balaa inapoanzia, na madhaifu yako yooote yataonekana, na laana zote utatwishwa.

Yaani its like women are not supposed to choose, hell NO, cha msingi tu usiwe tooooo choosy(too much is harmfull)ila kila mtu ana vigezo vyake, kama ambavyo wao wana vyao nasi tuna vyetu, maybe ninameet vigezo vyako but yo not. So tupeane nafasi tu, kila mmoja ampate alie sahihi kwake, usifanye jambo kumfurahisha mwingine ilihali unateketea ndani.
 
Sio wote upendo lazima kiwe kipaumbele.

ila wapo wanaomess-up kwa imagination wakisubiri wanaume wa aina flani
ambao wapo kwenye novel na movie tu.
Huwa mnahisi tu hivyo kwakuwa umekataliwa, yawezekana anaemtaka ni kijana fulani ambae ni kapuku tu wa mali lkn sio kapuku wa kichwa. Kwakuwa umekataliwa unahisi atakuwa anamtaka mwenye nazo.
 
Hahahaaaa! Nacheka kama mazuri. Ila kuna single 2 ikumbukwe. Kuna SINGE LIKE SERIOUSLY SINGLE. NA KUNA SINGLE YETU YA KIMJINI MJINI AKITOE MTU MWANAUME WA MAANA ANAELEWEKA OFCOURSE YOU ARE SINGLE, HATA AWEPO BABY DADY, FIANCE SINGLE IS CRUCIAL. Sasa sijajua uko SINGLE ipi?
Hahahhahaha
 
Back
Top Bottom