Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una roho mbaya kama Rostam......nipo shega sina kesi ya kujibu.....Tulishamwambia hapa bangi na pombe za kwenye visadolini bila msosi zitampeleka pabaya... ona sasa anaendesha gari utafikiri Kajima walimjengea barabara yeye... anaanza kusumbuana na wanausalama wetu!! Hope atapata mdhamana... mkulu Nguli wahi ukamsaidie huyu ndugu yetu tafadhali... mpe pole zake. Lakini mambo ya kutoa kitu kidogo usithubutu...tusijesikia nawe umesweka ndani kwa mlungula, maana jamaa sikuhizi wana vimobitel vyenye kamera pale.
Mkuu ulwezaje kutuma hii post 1138 kwani ulishikwa saa ngapi https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/104437-michubuko-baada-ya-kula-chumvi-2.html#post1524467una roho mbaya kama Rostam......nipo shega sina kesi ya kujibu.....
thanks Nguli
una roho mbaya kama Rostam......nipo shega sina kesi ya kujibu.....
thanks Nguli
yah man nilishaanza kumwaga sera JF mbona......si wajeda wakakamata mkoko kwenye parking....unajua mkuu hawa jamaa siku moja nilikuwa na mshikaji mmoja akatanua pale moroco wakala 50k pale pale na it was friday.....leo niko peke yangu nikasema hawapati kitu.....Mkuu ulwezaje kutuma hii post 1138 kwani ulishikwa saa ngapi https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/104437-michubuko-baada-ya-kula-chumvi-2.html#post1524467
Typical you.
Nilikuwa sijaonhea na Yo Yo ndio kaachiwa tunapiga story kumbe alikimbia hadi ofisini akajifungia kwa bahati mbaya ofisi yake haiko city center iko mitaa ya kati. Basi wamemchukua mbele ya boss wake kwa sasa anarudi ofisini kumalizana na kesi ya pili ya kuchukuliwa na polisi ndani ya ofisi.
Police mwenye njaa kaimaliza kesi vizuri saana.
PM please Rose.....hawajanifilisi kihivyo.....pole jaman
we mwambie akitoka anitafute nimpe POLE YA MAHABUSU..manake kule nako kuna mambo..lolote laweza kutokea ni segerea nusu..akitoka anione pls nimfanyie welcome hm beb
mkuu ukifata sheria barabara za huu mji utalia kila siku.....hat hizi fine za kila siku sometimes zinakera gari uazime,uibiwe power window ulipe,ulipe parking,wese bado kimeo......na trafiki utanue umpe mkwanja??? hell nooUshauri kwa yoyo na wengine wanaopenda kuvunja sheria kwa kujua ama pasipo kutarajia, usiwakimbie polisi hata siku moja. Muhimu ni kuwa na ujasiri wa kusema nao tu, huwa hawashindwi kuelewa somo hata kama una kima cha chini kiasi gani.
mkuu ukifata sheria barabara za huu mji utalia kila siku.....hat hizi fine za kila siku sometimes zinakera gari uazime,uibiwe power window ulipe,ulipe parking,wese bado kimeo......na trafiki utanue umpe mkwanja??? hell noo
Mkuu, issue ni moja tu, ndio kavunja sheria, kwa hiyo asisaidiwe? mleta topic ametoa taarifa na kusema **** kuna mtu anaweza kumsaidia afanye hivyo, sio kwa maana ya kushabikia au kuhalalisha kutanua. mm mwenyewe nikiona watanuaji natamani nipasue vichwa kama alivyofanya marehemu mzuzuri.But that is very true Birigita. Ni sheria zimewekwa na lazima zifuatwe. Umewahi kuona waenda kwa miguu wanavyoteseka na hawa wanaotanua? Nilishuhudia mdada akigongwa maeneo ya Ubungo Tanesco sababu ya kutanua. Kwa kweli ni kutokuwa na uvumilivu sababu wote tunaelewa tatizo la foleni katika barabara zetu. Tukiwa wavumilivu foleni zitakuwa zinaenda kwa mpangilio. Utakuta mtu anatanua anaenda kuchomekea kwa mbele, kwamba hawa wengine waliofuata foleni hawana haraka au? Nachukiaga.
Watanzania tujifunze kama tuna haraka sana tuwe tunatoka nyumbani mapema kuepuka bughudha.
By the way, napma pole sana YO YO kwa kukumbwa na mkono wa sheria.
Duh wewe ndiyo hasara kweli tukio lilikuwa mchana limeshapita sasa ni history jifunze kusoma full issue kabla haujachangia watakucheka watukwanini hakusimama in the first place sasa unataka asaidiwe nini
Wandugu,
Nimewasiliana na ndugu wa karibu wa member mwenzetu YO YO na ameniarifu kuwa amekamatwa na amefungwa lupango/rumande leo asubuhi. Kwa kosa la kutanua barabarani kutokea maeneo ya mbezi beach akielekea kutafuta mkate wa kila siku. Inasemekana alisimamishwa na trafic lakini hakusimama. Basi traffic police wakawasilina na wenzao kwa redio call ndio wakamtia nguvuni. Kwa hiyo yuko kituo cha O'bay police na juhudi za kumfikisha mahakamani ndio zinafanywa na wanausalama wetu.
Nilikutana nae mara ya mwisho last wk end akiwa na gari yake mpya aliopata baada y Mwenyezi Mungu kumjalia ajira kijana mwenzetu. Nimesikitishwa na kustushwa na habari za ndg yetu huyu.
Tunaomba kama una ndg pale utusaidie kwa kesi hii, YO YO anaweza kunyea SIMTANK na sio NDOO kutokana na kuwa dodge wanausalama. Au kama unaweza kutoa msaada wa kisheria pia tutashukuru. Nitaelekea huko baada ya kupata ruhusa kazini ili tumwekee mdhamana
Wana Jf ni vizuri tusiwe na double standards katika mambo ya sheria.Mkuu, kosa la kutanua faini yake ni 250,000 au 300,000 sina uhakika sana kati ya hizo mbili, au jela 2 weeks na faini juu.
Jamaa wakikufikisha mahakamani tu, unasomewa hukumu, sio mashtaka.............Waulizeni madereva wa daladala wanavyoteseka kwa hii sheria ya kishenzi.
Nguli, check na ndugu wa karibu au mshkaji wa karibu wamuwahi kabla ya kwenda mahakamani. Tafadhali.