Member mwenzetu YO YO yuko matatani

Sheria zipo ili zitumike,na mpaka zitumike lazima zivunjwe. Yo Yo nakupongeza kwa kufanya sheria zetu zitumike. Mkuu mbona wanakunyanyasa?mi nkikamatwa naishia kulipa elf5,10. Sasa we wanalamba mpaka 50elf?kweli unazo za bure. Ila next time punguza kutanua!
 
Safi sana tuwape pongezi askari kwa kufanya kazi kwani kaonewa hajaonewa ni haki yake sababu umesimamishwa na askari unaenda ingekuwa huku ninakoishi we utakakuta kakaratasi kamekaa mezani na utatangazwa mwanzo mwisho
Wandugu,

Nimewasiliana na ndugu wa karibu wa member mwenzetu YO YO na ameniarifu kuwa amekamatwa na amefungwa lupango/rumande leo asubuhi. Kwa kosa la kutanua barabarani kutokea maeneo ya mbezi beach akielekea kutafuta mkate wa kila siku. Inasemekana alisimamishwa na trafic lakini hakusimama. Basi traffic police wakawasilina na wenzao kwa redio call ndio wakamtia nguvuni. Kwa hiyo yuko kituo cha O'bay police na juhudi za kumfikisha mahakamani ndio zinafanywa na wanausalama wetu.

Nilikutana nae mara ya mwisho last wk end akiwa na gari yake mpya aliopata baada y Mwenyezi Mungu kumjalia ajira kijana mwenzetu. Nimesikitishwa na kustushwa na habari za ndg yetu huyu.

Tunaomba kama una ndg pale utusaidie kwa kesi hii, YO YO anaweza kunyea SIMTANK na sio NDOO kutokana na kuwa dodge wanausalama. Au kama unaweza kutoa msaada wa kisheria pia tutashukuru. Nitaelekea huko baada ya kupata ruhusa kazini ili tumwekee mdhamana
 
Back
Top Bottom