Member mwenzetu YO YO yuko matatani

Member mwenzetu YO YO yuko matatani

haaaa umenivunja mbavu jamani....
Nyamayao usicheke bana........Pombe za kuamka nazo mbaya sana......nilitoka nae Ubungo, nikaenda mpaka shekilango, nikaingia sinza, nienda hadi lamada, nikarudi mwenge, nikaenda nikaingia survey, nikenda chuo, nilikuwa nataka nimpitishe njia ya changanyikeni ya porini.......nikastuka anaweza kunifanya mbaya. Nikapaki bank, nikajipeleka kuchua kisu kabisaaa, nikarudi nikakuta wenza ke wamefika, nikatukana sanaaaa!! ndo nikakubali kwenda kituoni. Lakini ni mbaya sana.....dont try this.
 
Kwa sasa YO YO anaandika statement yake na pia wameagiza gari yake ikaguliwe. Naona kuna matumaini sasa huyu police mkubwa 1 kasema tutambue kuwa hajala na tangu saa 4 anamshulikia mhalifu wetu

Umeona sasa? kwisha habari yake, mkisha muwezesha kupata breakfast+ lunch atawapa appointment ya kumuwezesha na dinner.

Mkifanikiwa kukamilisha milo yote mitatu, basi na kesi itafia hapo hapo polisi. Hii ndio bongo bwana polisi ndo kila kitu.
 
Kwa sasa YO YO anaandika statement yake na pia wameagiza gari yake ikaguliwe. Naona kuna matumaini sasa huyu police mkubwa 1 kasema tutambue kuwa hajala na tangu saa 4 anamshulikia mhalifu wetu

uarabuni tunasema ngamia kafanya nini...?
 
Nilikuwa sijaonhea na Yo Yo ndio kaachiwa tunapiga story kumbe alikimbia hadi ofisini akajifungia kwa bahati mbaya ofisi yake haiko city center iko mitaa ya kati. Basi wamemchukua mbele ya boss wake kwa sasa anarudi ofisini kumalizana na kesi ya pili ya kuchukuliwa na polisi ndani ya ofisi.

Police mwenye njaa kaimaliza kesi vizuri saana.
 
Kwa sasa YO YO anaandika statement yake na pia wameagiza gari yake ikaguliwe. Naona kuna matumaini sasa huyu police mkubwa 1 kasema tutambue kuwa hajala na tangu saa 4 anamshulikia mhalifu wetu
nimemuona hapa jamvini vipi kashaachiliwa.....
 
Nyamayao usicheke bana........Pombe za kuamka nazo mbaya sana......nilitoka nae Ubungo, nikaenda mpaka shekilango, nikaingia sinza, nienda hadi lamada, nikarudi mwenge, nikaenda nikaingia survey, nikenda chuo, nilikuwa nataka nimpitishe njia ya changanyikeni ya porini.......nikastuka anaweza kunifanya mbaya. Nikapaki bank, nikajipeleka kuchua kisu kabisaaa, nikarudi nikakuta wenza ke wamefika, nikatukana sanaaaa!! ndo nikakubali kwenda kituoni. Lakini ni mbaya sana.....dont try this.

Bigirita, mie ctakagi kero nao, wakinicmamisha nacmama nawackiliza wanatakaje, ctakagi kabisa usumbufu na hawa watu...pole sana my love khaaa na ulimzungusha sio mchezo, ungeenda mdampo mlandizi kabisa....lol
 
kwa sasa yo yo anaandika statement yake na pia wameagiza gari yake ikaguliwe. Naona kuna matumaini sasa huyu police mkubwa 1 kasema tutambue kuwa hajala na tangu saa 4 anamshulikia mhalifu wetu

nimemuona hapa jamvini vipi kashaachiliwa.....

hata mimi nimemuona kapost post 1138 sasa nashindwa kuelewa na huyu jamaa kaanzisha post 1209 alafu ansema tangia saa nne anamshughulikia

Nguli naomba uvumbuzi au wewe ndo YOYO
 
Nilikuwa sijaonhea na Yo Yo ndio kaachiwa tunapiga story kumbe alikimbia hadi ofisini akajifungia kwa bahati mbaya ofisi yake haiko city center iko mitaa ya kati. Basi wamemchukua mbele ya boss wake kwa sasa anarudi ofisini kumalizana na kesi ya pili ya kuchukuliwa na polisi ndani ya ofisi.

Police mwenye njaa kaimaliza kesi vizuri saana.

heee huyu yo yo nae kichwa rec mno, khaaa kama vile walikuwa wanakimbiza mwizi...lol
 
Nilikuwa sijaonhea na Yo Yo ndio kaachiwa tunapiga story kumbe alikimbia hadi ofisini akajifungia kwa bahati mbaya ofisi yake haiko city center iko mitaa ya kati. Basi wamemchukua mbele ya boss wake kwa sasa anarudi ofisini kumalizana na kesi ya pili ya kuchukuliwa na polisi ndani ya ofisi.

Police mwenye njaa kaimaliza kesi vizuri saana.
hongera sana nguli Mungu akubariki kwa kuMPA YOYO USHIRIKIANO
 
Vijana wa bongo matatizo kweli, hivi kulikuwa na sababu ya kumkimbia askari kweli? Mwacheni ajifunze kuheshimu sheria za usalama barabarani... Eti kagari kake alinunua baada ya kupata ajira duh! Ina maana baada ya kupata ajira tu ameona kitu cha kwanza kufanya ni kununua shinda Mkoko?
 
Vijana wa bongo matatizo kweli, hivi kulikuwa na sababu ya kumkimbia askari kweli? Mwacheni ajifunze kuheshimu sheria za usalama barabarani... Eti kagari kake alinunua baada ya kupata ajira duh! Ina maana baada ya kupata ajira tu ameona kitu cha kwanza kufanya ni kununua shinda Mkoko?
acha majungu wewe ,unauhakika gani kama hakuanza kujenga nyumba kwanza?
 
hata mimi nimemuona kapost post 1138 sasa nashindwa kuelewa na huyu jamaa kaanzisha post 1209 alafu polisi anasema tangia saa nne anamshughulikia kumtoa yoyo alafu yoyo ameshikwa asubuhi

nguli naomba uvumbuzi au wewe ndo yoyo

vipi nguli unayo majibu ya post zangu hapo juu
 
Asante kwa taarifa Jabali

ila hawa watu type ya YOYO ndio wanaotugongea watoto asubuhi na jioni wanaokwenda na kutoka shule kwa haraka zao zilizo au zisizo na msingi

nina imani atatoka leo leo maana ndio tunaelekea huko kumnyofoa ila hasirudie tena
 
acha majungu wewe ,unauhakika gani kama hakuanza kujenga nyumba kwanza?

Siyo majungu kijana, kama unafahamu YoYo utanielewa nilichokuwa na maanisha, hata hivyo hayo yalikuwa ni maoni yangu tu.
 
Hii habari sidhani kama ni ya kweli maana Yo Yo amepost thread hapa saa 11:33am leo na haku-post via mobile. Labda kama alitumia internet ya polisi alipokuwa kituoni. Itabidi Mods mmshughulikie huyu mzushi ili kukomesha tabia hii hapa JF. Kama unataka jokes nadhani unalifahamu jukwaa husika. Usipotezee watu mda kujadili issues za kutunga.
 
Hehehehee, Nguli vp mkuu mbona kimya? Huyo YOYO inasemekana ameonekana mitaa flani pande za JF mida ambayo unasema alikuwa Lupango, Una lolote la kuongea kuhusu hilo? Lolz
 
Back
Top Bottom