shikolo
Member
- Apr 18, 2012
- 72
- 21
not yet made deep friendship with anybody, for now have no one to meet ,
any one curious to meet me..???
I'm curious to meet u
not yet made deep friendship with anybody, for now have no one to meet ,
any one curious to meet me..???
hahaha jamani sweetlady mm hata cmtaki huyo mm nataka kukutana na .....anajijua
sijawai kukutana na hata mmoja ila kuna mmoja natamani kumuona sana
heheeh tayari kuna
kadada kamoja kameniPM eti kameniota jana nakunywa juisi ya mapera.
Nitakufowadia hii PM
Nilikuwa namfahamu huyu jamaa hadi kwa majina ya mtaa. alikuwa akiitwa Mwesiga Baruti. Jamaangu sana.Kuna jamaa (rip) alinipatia kazi nimfanyie akanipatia na advance payment! Nipo bz na kazi kuingia jf nikakuta tangazo msiba wake! Sikujua b4 kama naye alikuwa memba hapa! Rip kandambilimbili
Me kuna mmoja humu JF n'na usongo nae sana.
We jitokeze tu unitaje,au kwa kuwa unaikumbuka ile siku uliyonikimbia pale Bar bila kulipa Bill?
Jitokeze tu,ile Bill nilishailipa siku ileile.
Ila cku ingine usijifanye matawi na pia vilevile uwe unatembea na ATM card..!!!
Mwe..!!!
We shemeji wewe! Nitts na kadogoo hawajambo?klorokwini - niko nae hapa Bishanga - uonavyo avatar yake ndivyo alivyo cacico - ndie aunt ezekiel Kaizer - ni mrisho mpoto Asprin - ni mbabu haswa
Wengine nimewasahau nikikumbuka ntakuja kuongeza list.
ahaaa,Sobhuza!nimekukumbuka!,we c ndie yule niliekutana na wewe pale kwa Wahaya M/nyamala jana?
Au nimekufananisha?
Ni bishanga,eti eh?sijawai kukutana na hata mmoja ila kuna mmoja natamani kumuona sana