BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
hahaahahhaaaa lolest....
Last edited by a moderator:
Khaaaa!!!! kuna watu macho kodo hapa nikiwaambia tu watakuiba.....kama Erotica sina imani nae kabsaaa.
Yan sio swali ukizingatia ndio njia ya hm lolhapo nshakujaga kama mara 3 nikakosa nafasi.....leo najisikia kujiachia sana.....tufuate mwanga bdae nini.....?
Yan sio swali ukizingatia ndio njia ya hm lol
lazma nipitie hata saa moja tu...leo ni raha day
Tatizo unaweza kutana na mtu baadaye ukaja kujutia. Binafsi sijawahi wala sifikirii kukutana na mtu. Nilishawahi kubadilishana namba na mmoja, kwa kweli aligeuka kuwa matatizo. Siyo wana Jei Efu wote ni watu wema..
ingawa wapo wana JF ambao ninafahamiana nao humu, na wanajua id yangu, nami ninazijua id zao...