ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 5,311
- 6,090
Kampe si wewe unazo?
Membe hana pesa fukara tu huyo
Membe hana pesa fukara tu huyo
Si ajiriki maana I'm very expensive..Kama wewe unayewaza kusoma ili uajiliwe like ni kuwaibie wananchi, tena masikini hahaha. Pole bro fanya kazi utoke kimaisha.
Si ajiriki maana I'm very expensive..
Bila shaka ana uhusiano wa karibu na musiba pia ana vinasaba vya kike yani Dume jike!Wanashindana umbea na Musiba
Kwanza ujui unachokiandika unababiababia tu maneno. Tunachotaka watanzania ni UONGOZI WA KUFUATA HAKI. WATANZANIA WANATAKA KATIBA MPYA ISIYOMPA RAIS MADARAKA MAKUBWA. WANANCHI WANATAKA UONGOZI UTAKAOSIMAMIA HAKI SIYO UONGOZI UNAOLINDA BAADHI YA WATU. SIYO UONGOZI WA KUONEA, SIYO UONGOZI WA KUTUGAWA KUWA HUYU NI MSUKUMA HUYU NI MHAYA. UONGOZI WA KULINDA HAKI NA AMANI YA WATANZANIA. SIYO UONGOZI WA KUCHAGUA SEHEMU PA KUPELEKA MAENDELEO, SIYO KIONGOZI WA KUSEMA USIPELEKE MAWNDELEO KILIMANJARO KWASABABU HAWAKUNICHAGUA, SIYO KIONGOZI ANAYESEMA USIPELEKE MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YA OPPOSITION. WALIOKO OPPOSITION WOTE NI WATANZANIA NA WANALIPA KODI ZAO KWA NCHI YAO, HIVYO NAO WANASTAHILI KUPATA MAENDELEO. TUNAMTAKA KIONGOZI ANAEPENDA MAENDELEO KWA WATANZANIA WOTE BILA KUJALI ITIKADI ZAO ZA KIVYAMA. HIVYO HAIJALISHI ANATOKA OPPOSITION AU CHAMA TAWALA. TUNATAKA TANZANIA YENYE KURUHUSU UHURU WA KILA MTU, TUNATAKA TANZANIA YENYE VYAMA VIWILI VIKUU VINAVYOSHINDANA KWA HOJA SIYO KWA RISASI.Habari hizi nilizikia tangu 2016 nikiwa pale Makao Makuu ya CHADEMA. Ilisemekana kuwa Nape, Membe na wengineo wanapanga kuhamia CHADEMA.
Mwaka huo huo nikakutana na ndugu mmoja aliyekuwa makao makuu ya CCM lakini alikosa uteuzi wa wakuu wa wilaya na alikuwa kwenye mtandao wa Membe nikamjulisha habari za Membe kuhamia CHADEMA alishtuka kwa furaha. Akaniambia Membe ana dola nyingi ameficha ambazo alizipata kwa Gadafi.
Mwaka 2017 rafiki yangu mmoja mbunge kijana wa CHADEMA aliniambia kabla ya 2020 kutakuwa na uhamaji wa Wabunge kutoka pande zote. Aliniambia siasa za 2020 zitakuwa kama za Kenya. Siasa za muungano wa watu maarufu sio Umaarufu wa Vyama tena.Mwezi uliopita kuna rafiki yangu mwingine wa CHADEMA aliniambia umehama ila 2020 hamuwezi kushinda maana mtakimbiwa na wana CCM wengi.
Aidha Miaka mitatu sasa baadae nikifuatilia yanayoendelea ndani ya CCM na hatua mbali mbali za serikali kudhibiti fedha haramu kwenye maduka ya kubadilishia fedha na benki zetu naamini pasi na shaka kuwa huenda kweli zipo dola zimefichwa mahali zinataka kuingia kwenye mzunguko.
Taarifa za uhakika kutoka vyanzo vya ndani vya CHADEMA ni kuwa Membe anahamia CHADEMA. UKAWA unakufa kunakuja kitu ambacho Zitto amekuwa akikitangaza kinachoitwa ADF (Alliance for Democratic Front).
Vyovyote itakavyokuwa Magufuli ameshamaliza harakati hizi kwa mambo aliyoyafanya mpaka sasa. Kumshinda ni ndoto za mchana. Atabeba kura **** anakusanya senene au kumbikumbi.
Yaliyomkuta TOBO yatamhusu mhaini anayetaka kuhamisha boma kutoka pale mgombaniWenyewe wanasema "atoswe Mbowe apewe Membe"
Subconscious mind kama nyie ndiyo unaweza kutembea nyuma medula mkishangilia upuuzi..! Mimi CCM ila siongozwi na medula kufanya decision.Ur expensive? 4which thing! Umeishiwa manenoeh! Pole sana.
Aliyewaroga wafuasi wa chadema huenda akawa binadamu mwenye dhambi nyingi kuliko mtu yyt duniani. Haiwezekan hawa viumbe wasijue nini wanasimamia, leo hii akiibuka mwingine huko ccm utasikia tunaenda naye.Chadema wako bize kumpotosha Membe kama walivyompotosha Lowasa.
Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!
Kamanda mimi bado naamini Lowasa ndio rais wetu wa mioyoni.Hamtaki kuamini kuwa mziki ndani ya ccm ni "ondoa mshamba"?
Mtaelewa somo siku mtu anapigwa chini na NEC ya ccm kama Zuma au Mbeki walivyo pigwa chini na NEC ya ANC
= MagufuliSasa naona unakatiza njia ya michongoma ukiwa peku..! Niulize kitu unachodhani unafahamu na kigeni kwangu..
Kwanza ujui unachokiandika unababiababia tu maneno. Tunachotaka watanzania ni UONGOZI WA KUFUATA HAKI. WATANZANIA WANATAKA KATIBA MPYA ISIYOMPA RAIS MADARAKA MAKUBWA. WANANCHI WANATAKA UONGOZI UTAKAOSIMAMIA HAKI SIYO UONGOZI UNAOLINDA BAADHI YA WATU. SIYO UONGOZI WA KUONEA, SIYO UONGOZI WA KUTUGAWA KUWA HUYU NI MSUKUMA HUYU NI MHAYA. UONGOZI WA KULINDA HAKI NA AMANI YA WATANZANIA. SIYO UONGOZI WA KUCHAGUA SEHEMU PA KUPELEKA MAENDELEO, SIYO KIONGOZI WA KUSEMA USIPELEKE MAWNDELEO KILIMANJARO KWASABABU HAWAKUNICHAGUA, SIYO KIONGOZI ANAYESEMA USIPELEKE MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YA OPPOSITION. WALIOKO OPPOSITION WOTE NI WATANZANIA NA WANALIPA KODI ZAO KWA NCHI YAO, HIVYO NAO WANASTAHILI KUPATA MAENDELEO. TUNAMTAKA KIONGOZI ANAEPENDA MAENDELEO KWA WATANZANIA WOTE BILA KUJALI ITIKADI ZAO ZA KIVYAMA. HIVYO HAIJALISHI ANATOKA OPPOSITION AU CHAMA TAWALA. TUNATAKA TANZANIA YENYE KURUHUSU UHURU WA KILA MTU, TUNATAKA TANZANIA YENYE VYAMA VIWILI VIKUU VINAVYOSHINDANA KWA HOJA SIYO KWA RISASI.
Subconscious mind kama nyie ndiyo unaweza kutembea nyuma medula mkishangilia upuuzi..! Mimi CCM ila siongozwi na medula kufanya decision.
Huna uccm wowote wewe, we nyum***b toka Serengeti. Kwani ukijiita bavicha unakufa?Subconscious mind kama nyie ndiyo unaweza kutembea nyuma medula mkishangilia upuuzi..! Mimi CCM ila siongozwi na medula kufanya decision.
😂😂😂😂😂Eti na wewe unajiona mtu wa muhimu hapa nchini, "eti rafiki yangu mbunge" we ni takataka tu.