Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,676
- 19,204
Membe kashika vidume vya lumumba pumbur
Magufuli kaharibu uchumi + diplomasia ya kimataifa...
Magufuli kaharibu uchumi + diplomasia ya kimataifa...
Yeeees umeongea ukweli mtupu ....wasiompenda magu ndani ya chama ni wengi mnoooo kuliko wanaompenda. Kama anataka aendelee kutumia dola kama afanyavyo, binafsi na kadi yangu ya kijani ila huyo dingi yenu hapana ukweli usemwe tuMimi CCM ila magufuri hapendwi kama unavyodhani ushauri hapa ni kujipanga kwa matumizi ya dola hamna ujanja mwingine. CCM tuna virusi/maadui wengi kuliko watiifu hutaki sumbua akili utaelewa tu.
Mimi CCM ila magufuri hapendwi kama unavyodhani ushauri hapa ni kujipanga kwa matumizi ya dola hamna ujanja mwingine. CCM tuna virusi/maadui wengi kuliko watiifu hutaki sumbua akili utaelewa tu.
Waache wajitie wazimu tulioko huku chini tunajua yanayoendeleaJidanganye sasa, walio ajiriwa na Magufuri ndiyo watiifu kwake tu, mtu anaye kula kwa akili na nguvu zake huwezi mkuta anamshabikia Magufuri.
HUJUWI LOLOTE HUWEZI CHIMBA MSINGI KAMA HUNA KIWANJA!Chadema kama watapokea tena mwanachama toka Ccm na kumpa post ya kugombea urais watakuwa ni chama kisichokuwa na mipango ya muda mrefu kwakuandaa wanachama wao wenye kujua vema misingi ya chama chao na viongozi wao nitawaona Mazuzu....kama hawajajifunza kilichowakuta rudieni tena japo Siasa ni upepo but mtairahishia Ccm kampeni na mtaonekana ni chama kisichokuwa na maandalizi
Kwani shule tunajifunza majina ya kisukuma..???= Magufuli
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kadhoofika mwenyewe yuko ICU anapumulia mpira (dola).Unaanzaje kumdhofisha aliyekwisha kudhoofika.Humpendi wewe na wapiga dili uchwara wenzio, ila mamburula mtasubiri sana na harakati zenu uchwara za kumdoofisha JPM. Ila si mnajua Magufuli ni chuma cha reli? Msije geuza maneno tu 2020 mtapogalagazwa.
WAPI MZEE TUPATUPA WA LUMUMBA???HUJUWI LOLOTE HUWEZI CHIMBA MSINGI KAMA HUNA KIWANJA!
Amejiweka kando na jiwe!WAPI MZEE TUPATUPA WA LUMUMBA???
Hata ukisoma huelewi?Kwani shule tunajifunza majina ya kisukuma..???
Hamtaki kuamini kuwa mziki ndani ya ccm ni "ondoa mshamba"?Makamanda wameshawasahau Mbowe, Lowasa na Lisu. Sasa singo ni Membe tu.
Hana jibu adi akamuulize pole pole!Tatizo nini mtu akihama chama?
Kwani huyo Mbowe mbona alishaacha kugombea Urais au kasema atagombea 2020 !!Wenyewe wanasema "atoswe Mbowe apewe Membe"[/QUOTE
!
Hivi mbona unajitukana au hujioni.Ahh wapi
Kijana mdogo chutama uwone kazi ya wanaume kweli
Sio nyinyi wavaa suruali na kupokea kila takataka na kulichezea singeli
Totally pathetic
Dada kwema, za kuadimika mkuu?Tatizo nini mtu akihama chama?
Jidanganye sasa, walio ajiriwa na Magufuri ndiyo watiifu kwake tu, mtu anaye kula kwa akili na nguvu zake huwezi mkuta anamshabikia Magufuri.
Sasa naona unakatiza njia ya michongoma ukiwa peku..! Niulize kitu unachodhani unafahamu na kigeni kwangu..Hata ukisoma huelewi?
Wangapi WA upinzani walibebba bendera zenu?Hizo tabia mnazo nyinyi chadrama mcharuko mizee ya matukio, hamna kazi kutwa kucha kubeba bendera yetu mitaani
NO DIGNITY
JIZEE ZIMA OVYOOOOO
crazy psychopath